CHLOROFORM: Dawa ya usingizi inayotumiwa na wezi kuwapulizia watu kabla ya kuiba

Bado unahitaji kutulia na kuandika upya
 
pole sana mpenzi,relax God is in control
 
"" Ripoti ya vyanzo vya habari kutoka nchini Uganda zinasema kuna baadhi ya maeneo nchini humo watu wanaomiliki mabucha wamekuwa na tabia ya kutumia dawa ya kuhifadhia maiti aina ya chloroform kwa kuhifadhia nyama iliyobaki ili isioze""
dadeki
 
Chloroform sio dawa ,ni kemikali ama reagent nakosa neno LA kiswahil hapo
 
pole mkuu,hawakukufanya chochote kibaya katika mwili wako?je uongozi wa hotel ulisemaje kuhusu hilo?
 
Kuna siku wezi walikuja home nadhani na hii dawa. Wakapulizia nyumba nzima. Hao jamaa waliiba kila kitu. Kuanzia kwenye fridge ambako walikomba viporo vyote, kisha wakasafisha sebuleni yote kama walivyotaka, wakaingia stoo wakaiba stoke yote ya viazi, na kila kilichomo. Hiyo siku tunaamka mbwa nao wamelala nikaamini duniani kuna uchawi
 
Wezi kuwachunga ni ngumu wakiamua kuwaibieni hamuwazuii. Hizi waya za umeme wengi wamesoma na wanajua jinsi ya kuzifanya zisipige kelele
 
Kwa hiyo wewe unafikiri ina kazi moja tu, hiyo ya kuhifashia maiti? Jaribu kujipaka kwenye mkono wako uone kama hujapata ganzi ya kufa mtu!!
Sidhani kama ipo effective kwa hiyo kazi anayodai, achilia mbali kuitumia as a fixative kwenye tissue samples
 
Mkuu wewe ni miongoni mwa wale waliosoma H kunani Nini? Hii dawa tuliitumia Sana kwenye kuzimisha panya, mende na chura wakati wa kufanya dissection A level. Hakuna uongo aliouandika
Madaktari waje hapa!!,chloroform siyo dawa ya kuhifadhi maiti kweli nahisi UONGO MKALI UKO HAPA.
 
Kuna watu wanalala na feni throughout hasa kipindi cha joto na hawajapata shida yoyote kwenye mapafu wala upumuaji
Madhara hutokea badae ,,inawezekana usione kwa muda huu lkn mbeleni Unaweza pata ugonjwa ambao upo associated na kuwasha fen ..vumbi lake n kubwa MNO
 
Mkuu wewe ni miongoni mwa wale waliosoma H kunani Nini? Hii dawa tuliitumia Sana kwenye kuzimisha panya, mende na chura wakati wa kufanya dissection A level. Hakuna uongo aliouandika
Jamaaa anachanganya sana ,dawa ya kuulia nzi amby pia hutumika km marashi ya mait.
 
pole mkuu,hawakukufanya chochote kibaya katika mwili wako?je uongozi wa hotel ulisemaje kuhusu hilo?
Hawakunigusa kabisa. Wangeweza kufanya watakacho juu yangu ila hawakufanya. Walisafisha vitu vyangu tu, kilichopona ni wallet ambayo huwa naiweka juu ya chaga chini ya godoro.


Uongozi wa hotel walisikitika tu, tukaripoti polisi na maisha yanaenda!
 
Ji
 
Kama ni hivyo basi tuliwahi kupuliziwa home, tuliamka saa3 asubuhi tukiwa wachovu hatari sebule nyeupeee na ubwabwa ulobaki wakala, wakabeba na mikate.
HHHHHHHHHHHHH... Hadi nime Cheka kwa vina.
Ama kweli wew ni ATOTO... Hhhhhhhhhhhhaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…