Bado unahitaji kutulia na kuandika upyaLily Tony mpenzi nimesha edit rafiki.
Hawa watu ninahasira nao sana. Mtu umemaliza shughuli iliyokupeleka makao makuu ya Chama na Serikali, umevumilia kutoonja mvinyo kabisa ili usiharibu kazi ya watu. Umefanikiwa. Unaenda kulala ili asubuhi safari ianze kwenda kituokingine.
Mwanaizaya anaruka ukuta wenye waya za umeme na wapenzi, ana slide kipo na kukupulizia hayo madawa nakuomba kila kitu.
Hivi utaacha kuwa na hasira?
pole sana mpenzi,relax God is in controlLily Tony mpenzi nimesha edit rafiki.
Hawa watu ninahasira nao sana. Mtu umemaliza shughuli iliyokupeleka makao makuu ya Chama na Serikali, umevumilia kutoonja mvinyo kabisa ili usiharibu kazi ya watu. Umefanikiwa. Unaenda kulala ili asubuhi safari ianze kwenda kituokingine.
Mwanaizaya anaruka ukuta wenye waya za umeme na wapenzi, ana slide kipo na kukupulizia hayo madawa nakuomba kila kitu.
Hivi utaacha kuwa na hasira?
Inawezekana ile pangaboy ya juu ipo safe zaidiMkuu me niki lala na fen huwa ina nichosha Sana mwili!
dadeki"" Ripoti ya vyanzo vya habari kutoka nchini Uganda zinasema kuna baadhi ya maeneo nchini humo watu wanaomiliki mabucha wamekuwa na tabia ya kutumia dawa ya kuhifadhia maiti aina ya chloroform kwa kuhifadhia nyama iliyobaki ili isioze""
pole mkuu,hawakukufanya chochote kibaya katika mwili wako?je uongozi wa hotel ulisemaje kuhusu hilo?Kuna wajinga flani nilipokuwa Dodoma nimelala hotelini ambayo kuna geti, Mlinzi na nyanya za umeme!...ila wajinga waliweza "kunilaza" mpaka saa nne asubuhi wakakomba Simu Laptop, chupi, suruali na taulo za hotel wakatokomea nazo.
Usiku ule nililala kama kitanda kipo juu ya maji katikati ya Ziwa!...baridi kali ila kujigeuza siwezi. Walipitia dirisha la kioo ambalo nililifungua ili kupata kahewa ka Jiji na si li AC !
Nitawakamata tu. Wasidhani nimesahau. Huu mwezi wa tatu hiyo Sumsung haijasoma ikisoma tu nalala nao mbereee
Sidhani kama ipo effective kwa hiyo kazi anayodai, achilia mbali kuitumia as a fixative kwenye tissue samplesKwa hiyo wewe unafikiri ina kazi moja tu, hiyo ya kuhifashia maiti? Jaribu kujipaka kwenye mkono wako uone kama hujapata ganzi ya kufa mtu!!
Ha ha haaa. Utakuwa umebaka.naitaka h dawa, kuna manzi ntampa akija gheto kwangu.
Madaktari waje hapa!!,chloroform siyo dawa ya kuhifadhi maiti kweli nahisi UONGO MKALI UKO HAPA.
Madhara hutokea badae ,,inawezekana usione kwa muda huu lkn mbeleni Unaweza pata ugonjwa ambao upo associated na kuwasha fen ..vumbi lake n kubwa MNOKuna watu wanalala na feni throughout hasa kipindi cha joto na hawajapata shida yoyote kwenye mapafu wala upumuaji
Jamaaa anachanganya sana ,dawa ya kuulia nzi amby pia hutumika km marashi ya mait.Mkuu wewe ni miongoni mwa wale waliosoma H kunani Nini? Hii dawa tuliitumia Sana kwenye kuzimisha panya, mende na chura wakati wa kufanya dissection A level. Hakuna uongo aliouandika
HahaaaaaaaRelax mkuu,halafu uandike tena
Hawakunigusa kabisa. Wangeweza kufanya watakacho juu yangu ila hawakufanya. Walisafisha vitu vyangu tu, kilichopona ni wallet ambayo huwa naiweka juu ya chaga chini ya godoro.pole mkuu,hawakukufanya chochote kibaya katika mwili wako?je uongozi wa hotel ulisemaje kuhusu hilo?
Kuna wajinga flani nilipokuwa Dodoma nimelala hotelini ambayo kuna geti, Mlinzi na nyanya za umeme!...ila wajinga waliweza "kunilaza" mpaka saa nne asubuhi wakakomba Simu Laptop, chupi, suruali na taulo za hotel wakatokomea nazo.
Usiku ule nililala kama kitanda kipo juu ya maji katikati ya Ziwa!...baridi kali ila kujigeuza siwezi. Walipitia dirisha la kioo ambalo nililifungua ili kupata kahewa ka Jiji na si li AC !
Nitawakamata tu. Wasidhani nimesahau. Huu mwezi wa tatu hiyo Sumsung haijasoma ikisoma tu nalala nao mbereee
Jicho lako lina tulinda kweli!?? Hhhhhhhhhhaaaaaa natania tu
HHHHHHHHHHHHH... Hadi nime Cheka kwa vina.Kama ni hivyo basi tuliwahi kupuliziwa home, tuliamka saa3 asubuhi tukiwa wachovu hatari sebule nyeupeee na ubwabwa ulobaki wakala, wakabeba na mikate.
Kweli kabisa mkuu na mamlaka zipo tu.HAYA NDIO MATATIZO YA DAWA KUUZWA KIHOLELA BILA UTARATIBU MAALUMU