Hicho kiwanja bado kipo? Jitahidi ukiwekee uzio vinginevyo inakula kwakoKuna wakt nilimshirikisha rfk angu San mshikaji wangu kuhusu kuanza ujenzi wa nyumba yangu Arusha kule na Ni yey peke ake nimemuambia uwezi amini sjijanga hyo nyumba mpk sas
Ajbu nadhani ndani ya week moja baadae aliambia na yey anataka kujenga ktk kiwanja chake alivhopewa na Bab ake kule Moro na alikuwa Hana Kaz yoyote ile Yuko nyumban tu ajabu hat yey pia hukujenga mpk sasa ingawa sas HV Ana kazi yake
Ukweli Ni kuwa mamb ya maendeleo haipazwi kutangazwa kwa watu iwe hat mke wakt mwingine mshirikishe
Hata mi nimecheka mnoJamaa kanichekesha kinoma
Inasemekana mama hutoa laana baba hutoa baraka, kwa hiyo hata iweje mama hawezi toa baraka ndio maana baba nae hawezi toa laana ipo hivyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaahh we jamaaa , Dinazarde pole kwa hii shida [emoji1787][emoji1787]
mama mwambie story za dah mambo ni magumu hatari, ila usiache kumsaidia ni rahisi sana mama kukulaani na usi move on from the lifeKwa hiyo tusiwe tunawaambia mama zetu
Akae kwake, uende kumjulia hali wewe peke yako, kama haipendi familia yako, kuna uwezekano hapendi na mafanikio yako pia! Usimshirikishe nini unafanya maishani mwako, bora unamhudumia, inatosha.Namshukuru Mungu nimejenga nyumba na nilifanikiwa kwasababu niijenga kwa siri kubwa.
Chochote ninachofanya kizuri au cha kimaendeleo nikimjulisha tu mama kinakufa.
Iwe ni ajira, akinitembelea ofisini kama sijaachishwa kazi bila sababu basi kampuni itafilisika, ili mradi tu niharibikiwe.
Nikajizoazoa nikafungua mgahawa, alipokuja tu, kwa siku nikawa napata mteja mmoja au wawili au hawaji kabisa, nikashindwa ku run business kabisa hadi nikafunga.
Nilikima matikiti, yakaota vizuri sana, nikampeleka shamba kuona jitihada zangu, baada ya siku mbili tu, matikiti yote yakaibwa shambani usiku na hawakuacha hata moja.
Hajawahi kumpenda mtoto wangu hata mmoja, wala mzazi mwenzangu yoyote.
Mimi ni mzaliwa wake wa pili, licha ya kwamba kwa baba yangu ni mzaliwa wa kwanza.
Huyo kaka yangu ni teja, lakini ndio kipenzi chake, kazaliwa mwaka 1976 lakini hadi leo anakaa kwa mama, watoto wake wanasomeshwa shule nzuri.
Yaani alivyounganisha nilijikuta nimecheka kwa nguvu mbele za watu 🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan huyo uttoh ashindwee
Amen.Pole sana ! Omba kwa ajili ya vita iliyopo ndani yenu kupitia mama Yako mzazi ! Mungu akuongoze zaidi ...akupe maarifa na hekima zaidi jinsi ya kuamuaa na kuhakikisha usimukwaze mama !! AU AKIJA SEHEMU YOYOTE SEMA MANENO HAYA KIMOYO MOYO "Mungu najua wewe unawajua wazuri wangu na wabaya wangu,Na vunja roho ya uharibifu kwa kile chocolate nilichokianzisha kwa jina la Yesu kristo Amen" .... Mkaribishe kwa Tabasamu lote ila Imani iweke kwa Muumba wako !!
Mim mwenyewe nimecheka sana 😂😂😂Yaani alivyounganisha nilijikuta nimecheka kwa nguvu mbele za watu 🤣🤣
Wafuasi Wa Mfalme Zumaridi na akili za kishirikina.Na wakwako ni mchawi pia
Mkuu pole Sana. Kwa hili ninakuunga mkono. Narudia kuwa hutakaa uendelee kama utamhusisha mama yako mambo yako. Inawezekana kabisa ni mchawi au ana nuksi kali. Nawapeni mfano mmoja wa ukweli. Kulikuwa na mama mmoja na watoto watatu. Wawili wa kiume na mmoja wa Kike. Ufukara ulitawala Sana na pia magomvi na watoto wa kiume na Moja ya sababu huyo mama walimuita mchawi na hao watoto wa kiume wakawa wanamwita mchawi hasa mmoja wa kwanza. Mpaka ikifika kipindi wakamfukuza mama nyumbani. Binti yake alipoona mama amefukuzwa akaamua kumchukua akaishi naye. Hapo ndiyo kosa kubwa. Yaani Yule binti aliandamwa na mikosi na maisha yakaporomoka kabisa. Siku Moja binti akaamua ashirikishe mchungaji mmoja aje kuomba nyumbani angalau apooze machungu. Hakumuambia mchungaji kuhusu mama yake maana hakuwa anawaza kabisa kuwa Ile Hali imetokana na mama. Kifupi hakumuwazia mama yake. Alipofika yule mchungaji aliomba Sana na alimuona Yule mama wa huyo dada. Na alimuombea pia. Siku Moja akamwita Yule dada faragha akamwambia mama yako ana kitu ambacho kama utaendekea kuishi naye hutakaa uendelee kabisa. Alimshauri amwondoe pale nyumbani akamjengee nyumba au ampangishie ili mradi atoke pale nyumbani. Yule dada aliogopa kumuondoa mama yake. Hali ikaendelea kuwa ngumu mafanikio hakuna. Dada akakomaa tu na mama yake. Siku ikafika Yule mama akafariki. Yaani kuanzia siku hiyo Yule dada mpaka na KAZI kubwa ya cheo alipata. Pesa ikatukia ndani. Akaweza kukarabati na nyumba yake. Nilikutana naye akawa na furaha mno akasema mpaka pesa nyingine ameweka fixed account over half a billion.Yaani nimefuatilia tangu kipindi nasoma, siku nikimuambia tarehe ya mitihani huwa ananiambia ataniaombea, huo mtihani hata kama ni mrahisi lazima nifeli. Siku nisipomuambia nitafauli hata kama huo mtihani ni mgumu
Michongo mingi ya kitaa nikimshirikisha lazima iende tofauti.
Mwaka huu nimekuja kuhitimisha kwamba mawazo yangu ni sahihi baada ya kufanya jaribio hili; Nimemshirikisha kwamba nitaotesha alizeti ekari 2 kwenye shamba la nyumbani akaniunga mkono. Nikanunua mbegu ya alizeti inayotosha ekari 4 nikaotesha ekari mbili hapo nyumbani, then nikaotesha ekari 2 kwa siri kwenye shamba la kukodi hapo jirani na shamba letu. Cha ajabu ile ya shamba la nyumbani haikuota lakini ile niliyootesha kwa siri imeota yote na inaendeleanvizuri kabisa. Kumbuka haya mashamba yamekaribiana sana; jiografia ni moja na tabia ya nchi ni moja. Hapo ndipo ni kahakikisha kwamba mawazo yangu ya mda mrefu ni ya kweli.
Kabisa. Wako mama wengine siyo kabisaKuna ule msemo unasema hakuna kama mama kila nikiutafakari naona kuna watu wana bahati sana,lkn kuna sisi wengine tunapitia machungu sana kwa mama zetu na inakuwa ni siri tu unaitunza moyoni bila kumwambia mtu yeyote!,yaani hadi inafika kipindi unajiuliza huyu ni mama yangu kweli!?
aongee nn na hao raia ww ndio tufungue.Dah ..inaezekana tu kuna namna riziki yako hujaijulia vizuri,,,,unaweza ukaganya biashara 100,ile ya 101 ukapiga maisha ila mama ako ndo anakua kama bahati mbaya labda wakati ilipaswa ndo unaanguka labda ndo mama ako akatokea
Alafu umejuaje ni mama ako wakati watu kibao wanakuja mgahawani na huko kazini?
Trust me.
Wengine tushafanya biashara na kuhangaika zaid yako na mambo yakakwama lakini hatuhusishi uchawi mpaka last minute unasema Mungu nifungulie chaka lingine.
Mi nishafeligi kila kitu mpaka nikahisi mambo ya ajabu ajabu tu.ila guess what?
Huwa namuomba Mungu anifungulie mambo yoote mazuri aliyoniandalia,na kufungua minyororo yote iliyofungwa.
Mambo yamefunguka sana ila nilishajifunza kwenye wakati mgumi,kushindwa kila kitu na kuvunjika moyo sio kitoto
Ongea na watu watu,usi draw conclusions kirahisi.
Unaweza ukafikiri ni stor tu ila watu wanakwama sio kitoto na wananyanyuka.
Kuna bajaji napandaga mara kwa mara huyo mzee akaja akawa rafiki yangu..
Siku moja akanipa story alikua na mabus ya mkoani..lakini yalidondoka moja baada ya jingine na hapo ni baada ya kuwekeza mpaka jasho lake la mwisho.
Sasa hivi ana endesha bajaji kama miaka 4 sasa...
Lakin rodini anazo kama 5.anayoendesha yeye ndo imezaa hizo zingine.
Kwa jitihada zake jamaa hajakata tamaa mpaka uzeeeni anapambana,
Visa ni vingi,ongea na watu
Sikuwahi kuota ipo siku nitalaza laki laki mbili kwa siku kwa jinsi nilivyofeli mara kibao kuliko kufaulu.
Nakusisitiza ongea na raia
Ila ONYO:USIENDE KWA MGANGA.
Mimi ni mwana wa manabiiKweli aisee bujibuji uko vizuri.
Husda hizo, watu wanakunja mwenye nafsi zao.Hata kitu ukiwaambia marafiki au ndugu huwa hakifanikiwi sijui kwanin