Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Hizi shanga daaah
Nliwahi kuchepuka tuu ili nijue raha yake.

Mwanzoni nlijua kwamba zinatupa raha wanaume, na nliziwazia saana ...(over rating)..
Kumbe zinatumika kumpa raha mwanamke...

Andiko hili limenikumbusha mbali....
Nashukuru nimejua
 
Mimi yaani wala sielewi faida za shanga kwenye mapenzi, kwani nikimpenda mwanamke basi inanipa ashki tu kubwa ,

Na nikiona mwanamke anashanga basi hata kama nimzuri basi nitamuona ni malaya tu ana mwanaume zaidi ya mmoja,
 
Lol...maajabu ya shanga hayo..sijawah pata mwanadada mwenyekuvaa hzo shanga
 
brother mshana jr.katika ubora wake,usiombe ukapata toto la kirangi au linyaturu aafu awe anajua kuzitumia hapo lazima utelekeze familia[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
unaonekana unauzoefu na dushe zinazovalishwa shanga
 
Halafu mie niliambiwaga shanga azione mume wangu tuu, sasa mie nikienda kazini navua ila unaweza kuona mdada kwa bahati mbaya kainama zinaonekana sasa sijui ni sahihi kuvaa muda wote au ni mimi sikuelewa unyagoni na zile akili za kitoto??
Si sahihi wanakosea sana
 
ataniwia radhi mkuu ni katika kuchangamsha genge tu
[emoji3] [emoji3] haina shida niko full version hapa jukwaani kwasababu yake[emoji8] [emoji8] [emoji8] huyo ndio shemeji yenu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…