Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

Chombezo la weekend: Matumizi ya shanga kwenye mapenzi

I
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM
That is a MATTER OF OPINION not a MATTER OF FACT.. Kwasababu MIKOA ya PWANI wapo wanawake wanajitunza na bado wameyoboa PUA na SHANGA wanawavalia WAUME zao.. Maneno yako yanakua ya UKWELI kulingana na IDADI ya wanawake uliowaona na hivyo VITU kisha kwakuona TABIA zinaendana ukona wote ni hivyo hivyo..
 

Attachments

  • FB_IMG_16524636332434312.jpg
    FB_IMG_16524636332434312.jpg
    31.8 KB · Views: 12
Ni kweli kabisa, yaani wanaume wanajadili mambo ya ajabu kabisa. Mimi nina bleach kabisa kuchwa kizima na siogopi eti watu wananichukuliaje. As long as mwajiri wangu na mpenzi wangu anaona sawa wala sijali. Kazini kwetu hata uvae vikuku 10 no one cares wanachotaka ni delivarables
Ofisi ya mabeberu huwa hawana time na hivyo vitu ila ofisi ya mmatumbi huwezi kukatisha reception namna hio
 
Tafuta Hela kijana acha makasiriko,
Hao uliowataja ni Wajanja wa Mjini najua kuwapata imekua shida aidha wajishtukia kwa hali yako ama wamekukataa,

#Kila Kiungo cha Mwanamke kinahitaji Urembo, kama ulisikia Mwanamke ni Pambo la Nyumba basi ndio hayooo
Kwahio unauza au sio 😂
 
Mi naona ni mtazamo wako tu. Siku hizi hizo shanga zinavaliwa kama urembo tu. Juzi kati hapa nimetoka kubishana na mr. nae anaona mwanamke kuvaa vikuku ni malaya. Nikamwambia ni vile tu sijawai kivipenda na mi ningevaa. Nilikatwa jicho lile la"ole wako".
Eeh kama umemuoa vaa tu! Ila kama alilipa mahari kwenu kuwa na adabu aisee usije kuita watu wakoloni kijinga jinga.

Vikuku, Tatoo za shingo na ugoko , Shanga za kiuno na vipini ni SI Unit ya malaya kwa Afrika mashariki. Kama mtu unakosa nguo nzuri na kujistiri kwa utuli mzuri basi usiite huo ushenzi wa hapo juu urembo.
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM

Wengine wachawi
 
Wakuu

Malaya utawafahamu vipi hapa jijini Dar es salaam?

Wacha nikufungulie code, mwanamke yeyote aliyotoboa pua huyo ni malaya wa kutupwa

Mwanamke anayevaa vikukuu i mean shanga au cheni miguuni huyo ndio kabisa mpaka nyuma anafanywa

Mwanamke mvaa shanga kiunoni kama mganga wa kienyeji ni malaya haswaa kwani anaamini hayo madude hupagawisha kitandani kumbe sio

Kwa kuongezea, wale wapaka nywele rangi (breach) nao pia malaya.

Ukitokea uko na mwanamke mwenye sifa mojawapo hapo juu tumia KONDOM

Kwa hiyo wamasai /wanawake nao tuwaite malaya?
 
Ofisi ya mabeberu huwa hawana time na hivyo vitu ila ofisi ya mmatumbi huwezi kukatisha reception namna hio
Ni kweli, ila tunakatisha tu huko ofisi za wamatumbi na bleach zetu tena unakaribishwa vizuri sana kisa tuko na mabeberu. Ila wabongo wanafiki kwa double standards aisee, katisha hivyo na bleach na kimini chako uwe umetokea mtaani unahitaji huduma walah utarudishwa espeally ofisi za serikali
 
Back
Top Bottom