Si tupo busy na kuvumbua nguvu za kiume.Wazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.
Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao
Wanatazama kesho yao, ni jambo jema, sisi ni hand to mouth.Wazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.
Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao
Mfumo wa elimu yetu unatuandaa kwa hiloWakati wenzetu wako serious na ugunduzi wa maana. Sisi tuko bize na kugundua misuli na mishipa gani ya tako inaweza kunasa na bitiView attachment 1705922
Hiyo kanuni ilikua applied kipindi hicho, hapo juzi tu kuna bilionea wa japan alipanga kufanyia honeymoon kwenye moonMUNGU alishaweka kanuni ya uumbaji.
Mtaishi duniani na mtafukiwa ardhini..
Sayari ambayo haina maji wala MITI ni ngumu kwenda kuishi
Bora madawati, hata hivyo viroba vya kutandika chini kukalia watoto ni shida kuvipata, lakini ukisema tununue shangingi ni mara mojaHuku sie bado tunapambana na wanafunzi wakae kwenye madawati...
Hiyo kanuni ilikua applied kipindi hicho, hapo juzi tu kuna bilionea wa japan alipanga kufanyia honeymoon kwenye moon
Watu kama wewe wapo pia katika page za NASA, wamegeuka kituko na kichekeshoSawa sawa sisi huku mafuta ya kupikia na sukari bado changamoto...
Ndio naamini sana tuWewe nae unaamini huo uongo [emoji23][emoji23]
Sio nguvu nyingi kwenye mambo ya anga tu. Wamewekeza kwenye sayansi kwa ujumla. Na kuishi kwako leo,madawa unayotumia leo pia kulitokana na kitu ambacho ungekuwepo kipindi hicho ungekiita wanahangaikia vitu visivyo na maana. Maprofesa wenu wanahangaikia mishahara minono ili wawe na matumbo makubwaWazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.
Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao
huu ni uongo. wametoa video wanashangilia eti ndio tuamini. wana msemo if you cannot make it fake it
Wamarekani uwaga ni waongo,, uwaga ni Photoshop...
Mfumo wa elimu yetu unatuandaa kwa hilo
Kuna jamaa zangu walikaa hapa duniani wakaona hawaelewi wakaenda mars wakaishi huko kwa muda mrefu tu nako wakaona hawaelewi wakaondoka sasa hivi kuna mahala wapo amaizing sana na siisemi.Huko mars itakuwa sehemu ya kutalii kwa matajiri lakini haitowezeka kwa POTUS NA POPE kuishi huko.
Hapana,Sio wote wataenda huko mkuu, wale wakwasi wenye uwezo wa ku afford hiyo gharama ndio watakua na access
Afu kitu kingine ambacho ni very bored ni kwamba mpaka unafika unakua umetumia miezi sita njiani.
Sasa hiyo miezi sita inamaana chombo kitakua kina ukubwa gani wa tank la mafuta kiasi cha kukaa miezi sita bila kuishiwa? Na ukumbuke hakuna ku land mpaka unafika
Sijui a sana wanashindwa kuwekeE kwenye salaried hiidola 1bl tu tutorage miti kila tulip photo I na kuongeza matumizi ya green energyWazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.
Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao