Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Chombo cha NASA chafanikiwa kutua Sayari ya Mirihi (Mars), kitakusanya na kurudisha sampuli za mawe duniani

Unaelewa kwamba stephen hawking akipingama na earth rotation habari ya black hole inakosa mashiko?
Ni wajinga pekee wanao amini juu ya black hole. Yaani wale mashabiki wa Sayansi.
 
Mimi nimegundua hilo kua haujasoma kitu kutokana na maswali nayokuuliza umeonesha kutoyajua kabisa. Kivipi usome ukaelewa halafu ushindwe kujibu maswali?
Maswali gani hayo ?
 
Wazungu wanawekeza nguvu nyingi kwenye maswala ya anga za mbali ambako hata wakisema wakaishi huko maisha yatakuwa ya gharama kubwa kuliko hapa duniani ambako bado hawajapamaliza.

Sijui kuna nini kwenye hizi mission zao.

Civilization yoyote iliyokomaa lazima iwekeze kwenye space exploration.
Sayari dunia siyo ya kuaminika sana kutunza uhai apocalypse ni anytime.

USA wanafata nyayo za Ancient Egypt Civilization katika utafiti wa anga za mbali.
 
Sasa nilicho copy ni cha uongo kwa mtazamo wako sasa thibitisha hilo. Hili unakwepa sana.
nimekuuliza swali

hwaking ni mwana fizikia ambaye amepata umaarufu kubwa kwa ku discover black holes

sasa kama hawking anapinga solar system niambie anawezaje kuikubali black hole?
Swali langu ni hujajibu darasani waetoa wapi hizo habari za Leon?
wametafiti
Onyesha ya kuwa hizo site ni untrusted na kwanini na je kilichoandikwa sahihi au siyo sahihi ?
hawking ana sifika kwa ugunduzi gani?
Ajabuukweli ni kwamba hizo site ni sahihi zaidi na za kweli kuliko NASA na mfano wake, hi huwezi kukosoa mpaka unakufa.
garbage
Hukumuuliza mwalimu wako ametoa wapi habari za Foucault Pendulum?

Embu nikumbushe hivi Faucault Pendulum ulisoma katika topic ya Mechanics siyo au kidato cha ngapi ? Nacheka sana.

Sasa nitaainisha vipi wakati umecopy jambo la ujumla kwalo lipo katika source nyingi, ni sawa na mimi nikwambie unipe source ya first law of Newton katika motion, kisha nikwambie umeitoa wapi, bila shaka utakataa sababu source za hiyo law ziko nyingi. Usiwe unauliza maswali ya kijinga.
garbage
 
Hakuna swali hata moja, zaidi ya wewe kukimbia na Pendulum, na kuachana na mada ya msingi.

Hili huna uwezo nalo, na humu umethibitisha hilo.
swali gani ambalo nimekuuliza ukajibu sijui?
 
nimekuuliza swali

hwaking ni mwana fizikia ambaye amepata umaarufu kubwa kwa ku discover black holes

sasa kama hawking anapinga solar system niambie anawezaje kuikubali black hole?

wametafiti

hawking ana sifika kwa ugunduzi gani?

garbage

garbage
Kazi yangu nimemaliza.

Ukiwa na hoja mpya nistue.
 
kwani swali gani umeulizwa ukasema hujui?
Jibu swali nililo kuuliza.

Kazi yangu nimemaliza.Nakukumbusha tu ya kuwa ukiwa unaweka jambo hakikisha unalijua na unaweza kulitetea.
 
Kazi yangu nimemaliza.

Ukiwa na hoja mpya nistue.
hujajibu swali hili

nimekuuliza swali

hawking ni mwana fizikia ambaye amepata umaarufu mkubwa kwa ku discover black holes

sasa kama hawking anapinga solar system niambie anawezaje kuikubali black hole?
 
hujajibu swali hili

nimekuuliza swali

hawking ni mwana fizikia ambaye amepata umaarufu mkubwa kwa ku discover black holes

sasa kama hawking anapinga solar system niambie anawezaje kuikubali black hole?
Jibu maswali yangu kisha unithibitishie uwepo wa Black Hole, kisha kutokea hapo uulize swali lako kwa usahihi.
sasa kama hawking anapinga solar system niambie anawezaje kuikubali black hole?
Solar System jambo kando na Black Hole jambo kando, havina uhusiano vitu viwili japokuwa vyote ni dhana na moka wapo ni dhana ya watu wenye kuabudu jua
 
unakumbuka ni swali gani ambalo nilikuuliza ukasema hujui?
Kumbukumbu ninayo, ila fatilia utaliona, huwa nakwambia kila siku ukiwa unajadiliana na mimi hakikisha una tunza kumbukumbu na akili yako iwe nyepesi.


Hii kazi imeiasha nachofanya hapa ni kile nachotakiwa kufanya kwa muda huu, yaani baada ya kumaiza kazi.
 
Usitoke nje ya mada kijana.
habari za falsafa zimeletwa na nani hapa?

Falsafa ni nini?

Sayansi ni nini?

Solar system ni nini?

Na ili kitu kionekana kinahusiana na sayansi ni factor gani zinazingaliwa?
 
Kumbukumbu ninayo, ila fatilia utaliona, huwa nakwambia kila siku ukiwa unajadiliana na mimi hakikisha una tunza kumbukumbu na akili yako iwe nyepesi.


Hii kazi imeiasha nachofanya hapa ni kile nachotakiwa kufanya kwa muda huu, yaani baada ya kumaiza kazi.
kwa hiyo unakubali au unakataa kwamba ulisema hujui?
 
habari za falsafa zimeletwa na nani hapa?

Falsafa ni nini?

Sayansi ni nini?

Solar system ni nini?

Na ili kitu kionekana kinahusiana na sayansi ni factor gani zinazingaliwa?
Kijana hii kazi nimeimaliza, ni kama suala la Foucault Pendulum lilivyo ingia na ukalifanya kuwa mada.

Silei ujinga.
 
Jibu maswali yangu kisha unithibitishie uwepo wa Black Hole, kisha kutokea hapo uulize swali lako kwa usahihi.
hiki nacho kuuliza hapa kinategemeana na jinsi ulivyoelewa zile nukuu ulizo copy.

hujajibu swali hili

nimekuuliza swali

hawking ni mwana fizikia ambaye amepata umaarufu mkubwa kwa ku discover black holes

sasa kama hawking anapinga solar system niambie anawezaje kuikubali black hole?
Solar System jambo kando na Black Hole jambo kando, havina uhusiano vitu viwili japokuwa vyote ni dhana na moka wapo ni dhana ya watu wenye kuabudu jua
dunia inazunguka jua na jua ni moja ya nyota billions of stars kwenye milky way galaxy.

unaelewa kwa point hiyo huwezi kuizungumzia black holes bila kuitaja milky way galaxy?

unaelewa milky way galaxy ime contain solar system?
 
Kijana hii kazi nimeimaliza, ni kama suala la Foucault Pendulum lilivyo ingia na ukalifanya kuwa mada.

Silei ujinga.
nipe post number uliyojibu haya maswali

Falsafa ni nini?

Sayansi ni nini?

Solar system ni nini?

Na ili kitu kionekana kinahusiana na sayansi ni factor gani zinazingaliwa?
 
Back
Top Bottom