Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.
Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.
C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.
tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.
Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.
ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.
Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.
Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.
C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.
tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.
Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.
ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.
Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.
Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio