Chonde Chonde Chonde Watanzania tukatae kinga kimya kimya

Chonde Chonde Chonde Watanzania tukatae kinga kimya kimya

Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
acha uoga, unaogopa kwasababu unapenda kuwa depandant,
 
Upuuzi Mtupu! Wazungu kama wangetaka kutuua mbona wangeshatuua zamani na chanjo za polio, kifua kikuu, surua au madawa yao ya magonjwa mbali mbali? Acheni ujinga wenu wa kupotosha kuhusu kinga ya Covid.
Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
 
Mimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.

Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.

Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.

Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?
Yaani chanjo lazima niipate hata kwa kuifata nchi jirani with my family, asietaka asitupangie wala asituamulie, akawapangie familia yake na ukoo wake
 
Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Kutawaliwa na Raisi ambye ni conservative and rigid ni kazi sana, eti wazungu wanataka kutumaliza ili wapate nini? Ni mbinu za CCM kupumbaza wa Tanzania nakuhamisha makosa yao kwa wazungu......
 
Anavyoropoka ropoka ujinga anazidi kutisha shaka kuhusu elimu yake na kuonekana ni kituko si tu na Watanzania bali duniani kote.
Kutawaliwa na Raisi ambye ni conservative and rigid ni kazi sana, eti wazungu wanataka kutumaliza ili wapate nini? Ni mbinu za CCM kupumbaza wa Tanzania nakuhamisha makosa yao kwa wazungu......
 
Mimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.

Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.

Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.

Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?
Hama nchi, mbwa wewe, huijui mamlaka aliyonayo Rais juu yako? Kaanzishe nchi yako ujipangie, mpuuzi mkubwa wewe
 
Mimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.

Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.

Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.

Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?
Mwenyewe umejiona unazo akili kweli kweli duuh kumbe mbumbumbu wa viwango vya lami .Kwanini baada tu ya Chanjo kugundulika huko Ulaya ndiyo Corona Mpya imegundulika.
 
Kwani hii Kinga ina madhara gani?
5B001343-BE96-4EC7-9F39-E9ABAFB8E786.jpeg

Ni kwamba kichwani huwa mnakuwaga patupu kabisa, au huwa inakuwaje kuwaje? Mbona mi sielewi? Umeiona Egypt, Tunisia, Libya, Algeria au Morocco kwenye hizo nchi?
 
Watu hawaelewi chanjo wanayopewa EUROPE ni tofauti na tunayopewa sisi,jamani mi ntachanjwa mwishoni ngoja niangalie upepo kwanza,unajua chanjo ikifail either kufa au kuupata ugonjwa wenyewe
 
Umeona mbali. Chanjo ile ina matabaka,mzungu anayo yake,mwafrika anayo yake pia japo watengenezaji ni hao hao mabeberu
Watu hawaelewi chanjo wanayopewa EUROPE ni tofauti na tunayopewa sisi,jamani mi ntachanjwa mwishoni ngoja niangalie upepo kwanza,unajua chanjo ikifail either kufa au kuupata ugonjwa wenyewe
 
Upuuzi Mtupu! Wazungu kama wangetaka kutuua mbona wangeshatuua zamani na chanjo za polio, kifua kikuu, surua au madawa yao ya magonjwa mbali mbali? Acheni ujinga wenu wa kupotosha kuhusu kinga ya Covid.
Idiot, hawawezi kuuwa wote maana wanawahitaji, ila hawahitaji muwe wengi, hivyo wanafanya population control, sio extermination, we unaamini hakuna chanjo ya malaria ila ya Covid ipo? Hilo suala linaingia akilini mwako?
 
Umepanic bure kama hamtaki vya bure mbona mnalia lia chanjo wakati madarasa tu yanatushinda kujenga. Punguza wenge tupo pamoja na magu anayetaka chanjo akaifate wanapotoa bure mtuletee korona za ajabu

Wewe ndo jinga kubwa kulilia chanjo mitandaoni punguani wahedi mxiiieee
Mchezo gani? Mlitaka mpewe bure, mmetengeneza nyie?

Mna akili kweli nyie?
 
Kutawaliwa na Raisi ambye ni conservative and rigid ni kazi sana, eti wazungu wanataka kutumaliza ili wapate nini? Ni mbinu za CCM kupumbaza wa Tanzania nakuhamisha makosa yao kwa wazungu......
Wapate nini? Hivi kuna ubongo humo ndani ya fuvu lako kweli?
 
Sina hofu yoyote ile zaidi ya huyo kilaza magu na kauli zake za upotoshaji. Mataifa tajiri duniani kwa kushirikiana na WHO na baadhi ya mabilionea wanajua fika ilI kuishinda COVID ni lazima chanjo ifike nchi zote hivyo hadi jana walikuwa wameshakusanya $2 billions ili kufanikisha hilo.

Hapa sioni tunacholalamikia wakati wenye hela wanapata kwa gharama kubwa tusubirie misaada kama kawaida yetu. Chanjo tutaipata tu msiwe na hofu
 
Back
Top Bottom