Chonde Chonde Chonde Watanzania tukatae kinga kimya kimya

Chonde Chonde Chonde Watanzania tukatae kinga kimya kimya

Ninaweza kujitapa hadharani kuwa siikubali Chanjo lakini sirini nikawaita Madaktari waje kunichanja kimya kimya..

Wewe ukizisikiliza tambo zangu ukachukulia kuwa ni kweli, ukaikataa chanjo, Corona ikikuvamia ukafa ni ujinga wako mwenyewe..
 
Mchezo anaoucheza magu mtauelewa mbeleni. Cheki SA wamekimbilia chanjo wamejikuta wanauziwa bei kubwa zaidi. Tulieni chanjo itakuja tu

Kwaiyo jamaa ackulupuke kuagiza iyo chanjo? I Mean Atulie kwanza watu waendelee kufa mpaka bei iteremuke!!!
 
Ukibishana na wapumbavu watakuleta kwenye kiwango chao na kukushinda sababu ya uzoefu
Mijinga hii imepigwa chanjo kibao tokea utotoni na inatembea na makovu ya ndui, lakini eti leo wameshtuka
Aiseee... Mavi kabisa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Si nimekuwekea hapo uzo wenu mkishabikia chanjo zinazoletwa na who.

Mnalalamika weee huku hamna cha maana. Kama ni chanjo huko ulipo inaruhusiwa chanja hujakatazwa
Kelele kwenye kusema ukweli kuhusu athari za huu ugonjwa ambao umeua watu wengi? Mwenye kelele ni huyo kilaza magu wakati yeye kaikimbia Ikulu kwa wiki tano sasa anaendelea kutudanganya Watanzania kwamba Tanzania hakuna corona au kuna corona kidogo wakati hana ushahidi wowote wa corona kidogo kwa sababu kazuia upimaji wa COVID tangu April 29, 2020 sasa kabaki kuropoka ropoka tu huku ugonjwa ukizidi kuua Watanzania wengi.

Hebu tuwekee ushahidi unaonyesha nguvu ya kulazimisha chanjo ya COVID 19.
 


Ngoja COVID ikupitie au iguse wa karibu nawe ndiyo utatia akili kichwani. Watu wanakufa kwa idadi ya kutisha nchi chungu nzima duniani eti wewe unaona hatusemi cha maana ila huyo kilaza magu ndiye unayeona anasema la maana!!! Mbona kaikimbia Ikulu wiki ya tano hii. Arudi Ikulu badala ya kujificha shimoni chato.
Si nimekuwekea hapo uzo wenu mkishabikia chanjo zinazoletwa na who.


Mnalalamika weee huku hamna cha maana. Kama ni chanjo huko ulipo inaruhusiwa chanja hujakatazwa
 
😂😂😂😂😂😂 Eti chanjo zilitoka zamani bila mafungu!!!🤣🤣🤣🤣🤣hivi unadhani zoezi la kuwapatia watu wote duniani chanjo ya kuzuia polio, kifua kikuu, surua etc inaweza kufanyika bila awamu au kama ulivyodai mafungu? Hebu twambie hizo chanjo “zilizotoka zamani” zoezi la kusambaza dunia yote lilifanyika vipi bila awamu AKA mafungu!?

Hizo chanjo unazotaja zilitoka zamani bila mafungu kama ya chanjo ya korona kubagua za mabeberu na waafrika.

Tatizo mna kelele sana ndo maana mnajishtukia na kupanic. ARV ilipotoka hawakutumia nguvu kubwa kama chanjo ya korona halafu hii sio chanjo ni kidonge mkuu. Marekani wamegundua kimoja kwa mwezi na wala hawatumii nguvu kulazimisha matumizi yake kwa wote
 
Thank you 🙏🏾 Mkuu. Baadhi ya Watanzania wanashangaza sana. MABEBERU kwa miaka mingi sasa wametuletea chanjo na madawa ya kila aina katika kupambana na magonjwa mbali mbali hatari na siku zote chanjo na dawa hizo zimetusaidia sana si Waafrika tu bali wengine kwenye mabara mengine.

Kwenye COVID mara tu wazungu hawatupendi wanasarandia utajiri wetu! Wanataka kutuua blah blah blah lakini MABEBERU wakija na $$$ hawaitwi tena jina hilo bali wanaitwa Nchi za wafadhili!!!!

Bado tuna safari ndefu sana ya kufuta ujinga.

Ukibishana na wapumbavu watakuleta kwenye kiwango chao na kukushinda sababu ya uzoefu
Mijinga hii imepigwa chanjo kibao tokea utotoni na inatembea na makovu ya ndui, lakini eti leo wameshtuka
Aiseee... Mavi kabisa
 
Corona haijawahi kuisha na kila mmoja anafahamu na kuendelea na maisha,mpaka lini tujifungie kwa kuogopa ugonjwa?

Tatizo mnalazimisha visivyowezekana na bado mnaombea watu wafe kwa wingi mpate kile mnachokiita ushindi

Kwenye familia yenu wamekufa wangapi mkuu?
Hayo mimi cjui,,ila corona ipo na watu wanakufa kila cku. Labda haijampata mmoja katika familia yako ndiomana waongea ivyo.
 
Kwenye familia yako imepitia wangapi? Maana naona mnafurahia vifo utadhan mtaishi milele.
Watu wanafariki kila kukicha ni jambo la kawaida kama unaona maajabu nenda mahospitalin ushuhudie idadi za wagonjwa wasiohusika na covid walivyo wengi. Kabla ya covid bado watu walikufa vya kutosha.
Ngoja COVID ikupitie au iguse wa karibu nawe ndiyo utatia akili kichwani. Watu wanakufa kwa idadi ya kutisha nchi chungu nzima duniani eti wewe unaona hatusemi cha maana ila huyo kilaza magu ndiye unayeona anasema la maana!!! Mbona kaikimbia Ikulu wiki ya tano hii. Arudi Ikulu badala ya kujificha shimoni chato.
Wewe ndio uniambie hayo mafungu yalilazimishwa?maana hata chanjo za majaribio mlikua mnabweka balaa ooh tutakosa misaada ooh tutatengwa mara tutapigwa keyboard warriors bana.halafu kumbuka ARV ya juzi juzi hapa na haikutumika nguvu kuilazimisha wala vuvuzela wa mtandaon kulia lia

Unakimbilia polio,kifua kikuu,surua. Haya magonjwa yaliwatandika sana wazungu fasta wakaleta chanjo na hawakulazimisha isambae bali wahitaji waliomba wenyewe.

Acheni kulazimisha maji yapande mlima subirieni yashuke yenyewe.
😂😂😂😂😂😂 Eti chanjo zilitoka zamani bila mafungu!!!🤣🤣🤣🤣🤣hivi unadhani zoezi la kuwapatia watu wote duniani chanjo ya kuzuia polio, kifua kikuu, surua etc inaweza kufanyika bila awamu au kama ulivyodai mafungu? Hebu twambie hizo chanjo “zilizotoka zamani” zoezi la kusambaza dunia yote lilifanyika vipi bila awamu AKA mafungu!?
 
Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Kwa ufupi ni kwamba kwa wakati huo JPM ni hatari kwa wa Tanzania kuliko chanjo ya Covidi na mabepari wenyewe, kwanini anatufanya tuishi kwenye "denial"
Dunia nzima inatushangaa kwa vituko na maajabu ya raisi wetu.
 
Mimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.

Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.

Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.

Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?
Word
 
Watanzania mnalalamika kuwa SA wamenunua bei kubwa wakati wao washatangaza kutoa chanjo kwa wote endeleeni kupiga kelele za bei kubwa kwenye afya China wanawaangalia tuu wataleta ya bei nafuu...niliposikia bei kubwa eti Tsh 6000 kazi mnayo
 
Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Haya sasa WHO, wamesema kuwa watatoa card, ambayo kila aliyepata chanjo atapewa, na bila card hiyo hutaruhusiwa kuingia nchi yoyote ile!!hapo mtaikwepa vipi??mi najiuliza yaani awamu hii ndio mnataka kuifanya TZ, kama ni nchi ya kipekee sana kuwa kila leo wazungu wanaitamani sana!!kwa kipi hasa ambacho kimefanyika kwa miaka hii mitano??kama ni rasilimali kila sehemu hao wazungu wapo, na walishaingia mikataba ya muda mrefu, ??
 
Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Haya sasa WHO, wamesema kuwa watatoa card, ambayo kila aliyepata chanjo atapewa, na bila card hiyo hutaruhusiwa kuingia nchi yoyote ile!!hapo mtaikwepa vipi??mi najiuliza yaani awamu hii ndio mnataka kuifanya TZ, kama ni nchi ya kipekee sana kuwa kila leo wazungu wanaitamani sana!!kwa kipi hasa ambacho kimefanyika kwa miaka hii mitano??kama ni rasilimali kila sehemu hao wazungu wapo, na walishaingia mikataba ya muda mrefu, ??
 
Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.

Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.

C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.

tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.

Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.

ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.

Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Haya sasa WHO, wamesema kuwa watatoa card, ambayo kila aliyepata chanjo atapewa, na bila card hiyo hutaruhusiwa kuingia nchi yoyote ile!!hapo mtaikwepa vipi??mi najiuliza yaani awamu hii ndio mnataka kuifanya TZ, kama ni nchi ya kipekee sana kuwa kila leo wazungu wanaitamani sana!!kwa kipi hasa ambacho kimefanyika kwa miaka hii mitano??kama ni rasilimali kila sehemu hao wazungu wapo, na walishaingia mikataba ya muda mrefu, ??
 
Mimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.

Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.

Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.

Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?
Nasikia huko Uchina kabla ya kudungwa lazima wapapase tak.o wapime kinyesi.....ww unakwenda kudugwa wp!?!
 
Actually,kama hatuna imani na hao jamaa inabidi tukatae chanjo na dawa zao zote siyo za Corona tu.

Tena tuzikatae kwa hekima siyo kuwaharibia masoko yao mengine kwa kuzikandia hadharani as wana namna 1000+ za kutu-outsmart.

Hata hiyo mitambo yenyewe ya kupimia ubora wa dawa hapo TMDA haijatengenezwa Madagascar.

Mfano mimi na familia sijawahi kutumia chandarua za msaada (zilizotibiwa) baada ya kuchekecha ubongo na kuona ni ukichaa.

Ile net ina dawa inayoua mbu kwa miaka mitano pamoja na kufuliwa na ule mfuko wake wa kifungashio ukitumika kufunikia chakula (wali,mihogo) hicho chakula sumu yake siyo ya nchi hii.

Hai-make sense kwamba et wewe unayehemea humo 8hrs daily uko salama!
 
Back
Top Bottom