Sina hofu yoyote ile zaidi ya huyo kilaza magu na kauli zake za upotoshaji. Mataifa tajiri duniani kwa kushirikiana na WHO na baadhi ya mabilionea wanajua fika ilI kuishinda COVID ni lazima chanjo ifike nchi zote hivyo hadi jana walikuwa wameshakusanya $2 billions ili kufanikisha hilo.
kwann wanalazimisha nchi maskini kuliko zao hebu waanze kwanza huko walipo kisha watuletee chanjo za ukimwi na malaria. Napenda anachofanya magufuli kuliko kuishi kwa hofu hofu.
Na wewe unaamini kabisa kungekua na evil intentions behind basi jamaa wangejianika kweupe namna hiyo, right?View attachment 1688534
Ni kwamba kichwani huwa mnakuwaga patupu kabisa, au huwa inakuwaje kuwaje? Mbona mi sielewi? Umeiona Egypt, Tunisia, Libya, Algeria au Morocco kwenye hizo nchi?
Mamlaka ya kuamua wananchi wake wateketee hata kwa maelfu? Sheitwani wewe, pumbavu zako.Hama nchi, mbwa wewe, huijui mamlaka aliyonayo Rais juu yako? Kaanzishe nchi yako ujipangie, mpuuzi mkubwa wewe
Kwa maoni yangu hiyo dawa kuandikwa hivyo sio kwamba ndio haifai,bali kama unavyojua dawa/vifaa/bidhaa nyingi zinazokua msaada au zinazotakiwa kuuzwa kwa bei flani(especially nafuu)huandikwa hivyo maeneo maalum zinapotakiwa kupelekwa/kuuzwa kwa lengo la kwamba isije uzwa/pelekwa maeneo ambayo haikulengwaView attachment 1688326WaTanzania sio panya wa majaribio, ieleweke hivyo!!!!
Hizo dawa za UKIMWI mnazopigana vikumbo kuzigombea mlizitengeneza wenyewe? Mattacko yako wewe kijana.Idiot, hawawezi kuuwa wote maana wanawahitaji, ila hawahitaji muwe wengi, hivyo wanafanya population control, sio extermination, we unaamini hakuna chanjo ya malaria ila ya Covid ipo? Hilo suala linaingia akilini mwako?
Hawa jamaa ni kuwapiga nyundo tu hakuna kingine, waelezwe ukweli na wajue hatudanganyiki tena!Watanzania tuwe makini sana na haya mambo ya kinga, mengi yanasemwa kuhusu huu ugonjwa wa C ya 19 kuhusu chimbuko lake lakini watanzania tuwe makini tusijiweke 'front line' kupinga hii kitu na kuieleza dunia sisi tunaipinga.
Tutambue Dunia hii haiendeshwi kwa mijadala huru bali ni mabavu ya wenye nguvu. kama huna nguvu inabidi kutumia busara.
C ya 19 iliibuka ikapoa, mara kinga ilivyopatikana ikaibuka tena na hapa ikisemekana ni mbaya kuliko ya kwanza.
tunaweza kukataa kinga kimya kimya na tukawa salama lakini kupiga kelele ni sawa na kuwachalenji waliotengeneza kwamba wanaendesha kitu haramu.
Shida inaweza kuwa, wenye kuchukua kinga na walioikataa wakikaa salama wote basi itaonekana kweli biashara yenyewe ilikuwa haramu.
ili biashara isiwe haramu inawezekana baada ya wa kupata kinga kumaliza kupata kinga inaweza kuibuka toleo la tatu ambao linaweza kupukutisha ambao hawakuchukua kinga na kuonekana kwa kila mtu kuwa kinga ilikuwa muhimu.
Hatari ni kubwa zaidi kwa wale ambao wanafanya promosheni ya kusema sisi hatuchukui kinga ili dunia nzima ijue na hao ndiyo wanaoweza kupukutika kufahamisha dunia kuwa kinga ilikuwa muhimu.
Yapo mengi yanasemwa kuhusu kinga na busara kutoichukua tunaweza kutumia njia zetu na tukawa salama, cha msingi tusifanye taifa letu kuwa uwanja wa majaribio
Wapi walipolazimisha? Kwani chanjo za surua, polio na TB nazo zililazimishwa? Madawa mbali mbali ya magonjwa tunayotumia kwa miaka mingi ikiwemo ARV walilazimisha? π³
View attachment 1688326WaTanzania sio panya wa majaribio, ieleweke hivyo!!!!
Hizo chanjo unazotaja zilitoka zamani bila mafungu kama ya chanjo ya korona kubagua za mabeberu na waafrika.#COVID19 - Shirika la Afya Duniani (WHO) laitaka Tanzania kujiandaa kupokea chanjo ya Corona
Siku moja baada ya Rais wa Tanzania, John Magufuli kutaka wizara ya afya kutokukimbilia chanjo ya Corona, Shirika la Afya Duniani WHO imeitaka nchi hiyo kujiandaa na chanjo ya Corona kama mataifa mengine duniani. Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwa njia ya mtandao, mkuu wa WHO...www.jamiiforums.com
Tatizo mna kelele sana ndo maana mnajishtukia na kupanic. ARV ilipotoka hawakutumia nguvu kubwa kama chanjo ya korona halafu hii sio chanjo ni kidonge mkuu. Marekani wamegundua kimoja kwa mwezi na wala hawatumii nguvu kulazimisha matumizi yake kwa wote
Huna hata uwezo wa kutengeneza tooth pick.... Let alone mambo makubwa ya chanjo....View attachment 1688326WaTanzania sio panya wa majaribio, ieleweke hivyo!!!!
Duuuh, kwahiyo hata kutu dhahiri kama hicho unabisha, ππππ, sina namna zaidi ya kukuacha, kwenye hizo nchi hata Libya tu haipo, zote ni mablaki, πππNa wewe unaamini kabisa kungekua na evil intentions behind basi jamaa wangejianika kweupe namna hiyo, right?
Kwamba wanajua kabisa wana intentions zao mbovu, yet waweke hadharani kiasi hiko
As if hawawezi tu wakazalisha chanjo ama dawa fake for Africans (kama mnavyoamini hizi conspiracies) then wakazi label For Africa & Europe uses halafu sasa wakazi ship moja kwa moja hapa in a way kwamba hawata create doubt zozote?
Tupende kuwa critical thinkers ati
Kwahiyo hiyo michanjo yenu feki ya kuja kuua watu huku ndio ulitaka iachwe? idiotMamlaka ya kuamua wananchi wake wateketee hata kwa maelfu? Sheitwani wewe, pumbavu zako.
ahahahahah, Jesus christ!Kwa maoni yangu hiyo dawa kuandikwa hivyo sio kwamba ndio haifai,bali kama unavyojua dawa/vifaa/bidhaa nyingi zinazokua msaada au zinazotakiwa kuuzwa kwa bei flani(especially nafuu)huandikwa hivyo maeneo maalum zinapotakiwa kupelekwa/kuuzwa kwa lengo la kwamba isije uzwa/pelekwa maeneo ambayo haikulengwa
Mfano dozi ya mtu mmoja kutokana na uhitaji ni karibia $43 unadhan kwa Nchi za Afrika kila mtu atamudu bila kua msaada au bila kuandika hivyo ili kila mtu apate kuepusha dawa zote kununuliwa na watu wa ulaya
Hizo ARV zinazoua watu kwa Liver, Heart na kidney failure? π€£π€£π€£π€£ππ Mtu mwenye akili timamu anaweza kugombania ARV kweli?! ππππHizo dawa za UKIMWI mnazopigana vikumbo kuzigombea mlizitengeneza wenyewe? Mattacko yako wewe kijana.
Mkuuu sikujui na sijui unaishi wapi, but nasema ningeweza kukufahamu kwa kweli kama ni bia, soda au wine ingekuhusu.... Hivi kweli kuna mtu hapa duniani mwenye dhamana ya afya yako mwenyewe na familia yako zaidi ya wewe mwenyewe???? [emoji1745] [emoji1745] Eti huko Moshi Meja mzima anaamuru mtu avue barakoa!!! Kweli??? Over my dead body nakuambia!!!Mimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.
Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.
Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.
Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?
Hivi Mtanatuona watoto wadogo au ni outright arrogance? South Africa na Libya nani yuko juu kiuchumi? Mbona Libya haijawekwa kwenye label, ila SA imewekwa?The label "Not for distribution in the United States, Canada and the European Unionβ is to prevent the drug from being sold illegally on the black market.
We think that this photo is part of a malicious campaign to create confusion around this drug.
Gileadβs licensing agreement allows low and low-to-middle income countries to have access to healthcare, according to the company website. In summary, the agreement is meant to keep the price of the drug affordable in the poorest countries and also make sure it can be manufactured as quickly as possible.
The list of countries covered in the Gilead agreement doesnβt include Canada, the United States or any EU member country. It does include some European countries like Georgia, Armenia and Belarus.
Huyo unaemtaja usingemjua bila hao wazunguHah
ahahahahah, Jesus christ!
Et wamewekeza kwenye miundo mbinu...mfano madaraja,,, hospital....shule..ndege na barabaraMimi na familia yangu tunataka kinga/chanjo. Tusipangiane kwenye maisha, ambae hataki iwe juu yake, tunaotaka iwe juu yetu, kila mtu ana maisha yake.
Ni utaahira wa hali ya juu kusema chanjo ya corona haifai, mara sijui wazungu wanaipenda Afrika, sijui Tanzania ni tajiri(utajiri gani, tajiri ccm mmeshindwa kuwafanya watanzania hata 10% kua matajiri kwa miaka 60 ya uhuru?) halafu unatumia madawa yao ya kansa, malaria, kifua kikuu, hiv, kichocho, kipindupindu, ukoma, upovu, sijui magonjwa gani.
Tusipeane hadithi za kitaahira hapa, kama hutaki sawa, tunaotaka msitutishe na hadithi zenu za kufikirika.
Wazungu wakiitaka Afrika wanashindwa kuja kuichukua hadi wasubiri corona?