Chonde Chonde Chonde Watanzania tukatae kinga kimya kimya


Wamekufa alakini siwezi kutoa idad mkuu. Corona ipo na imekuja kwa kac zaidi. Tujilinde na tuepukane na mikusanyiko.
 
Watanzania mnalalamika kuwa SA wamenunua bei kubwa wakati wao washatangaza kutoa chanjo kwa wote endeleeni kupiga kelele za bei kubwa kwenye afya China wanawaangalia tuu wataleta ya bei nafuu...niliposikia bei kubwa eti Tsh 6000 kazi mnayo

Bei rahisi mnoo. Bac tu
 
Rais kanichekesha sna kasema Kuna watu walienda nnje kuchanjwa na kurud na ugonjwa wa ajabu ajabu hapa ...ahahhaah
 
Reactions: BAK
Umeona eh! Sasa kama hawa wangekuwa wana akili sana si wangezuka tayari na chanjo yao? Wa kawaida sana hawa wala si vichwa kiasi hicho.
Mkuu wateule wa mungu nao wanaogopa covid.Nasikiaga humu jf waislael wana akili sana kumbe nao wananunua kinga kama sie kina yakhe tulielaniwa!!
 
What a load of bollocks


Dokta Kihiyo kwenye shift yake wamekufa watu kumi ...... aaahh amin.... ni kazi ya mungu, bwana ametwaa au vipi

Kwahiyo hata hilo Jinga Ikulu, wakifa watu wangapi, nyie mtamsikilza anawaambia ombeni mungu
Basi afunge Hospital zote mueendelee kukesha mkiiomba
 
linapokuja suala la kujaribu/kupata chanjo ni uamuzi binafsi na siyo lazima
wapo wanaotaka na pia wasiotaka maamuzi ni yako tu
ni ngumu kupata washirika kwa wazo kama hilo
 
Confidential
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…