Chonde chonde mwanaume mwenzangu Usimuachie mkeo pesa chumbani

Chonde chonde mwanaume mwenzangu Usimuachie mkeo pesa chumbani

Huwa nafanya hivyo nikipata demu mpya, lengo ikiwa kumsogeza kwa wanangu…. mambo ya uzeeni itajulikana mbele.
 
MWACHIE MBELE YA WATOTO NA UMWAMBIE
NA MATUMIZI YAKE, NA WATOTO WASIKIE USIJE KUISHI MAISHA YA UPWEKE UZEENI
MWANAUME[emoji177]

Unamwachia mkeo hela ya Chakula Chumbani,
Mke Anatoka na Kapu anaenda kununua Chakula,
Anapika, Anawaambia watoto, Njooni Wanangu
Mle Nimewapikia Chakula Kitamu, Watoto
wakishakula Wanasema Asante Mama.
*
MWANAUME*[emoji873]

Unamwachia Mkeo hela ya Nguo za Sikukuu
Chumbani,
Kesho Yake mkeo Anatoka kwenda Kununua
Nguo, Akirudi Anawaambia Wanangu
Nimewanunulia Nguo za Sikukuu Njooni Mjipimie,
Watoto Wakishajipima, Anawaambia Wanangu
Mmependeza Eeee, Simnaona Ninavyowapenda
Watoto wanafurahi na Kusema Asante Mama,
MWANAUME[emoji177]
Kila Aina ya Pesa ya Matumizi Unamwachia
Mkeo Hela Chumbani,

MWANANUME[emoji873]

Ukifika muda wa kutoa Ada Unamkabidhi Mkeo
Hela Chumbani,
Kesho yake Mkeo Anawaambia Watoto kuwa
Anaenda kuwalipia Ada ya Shule, Akirudi
Anawaambia Wananhu nimeshawalipia Ada, Na
gari za Shule Zitakua Zinawapitia, Nataka Msome
Wanangu ili Baadae Mje Mnitunze, Watoto
Wanasema Asante Mama.

KIBAYA ZAIDI[emoji176]

Ukifika muda wa kutoa Adhabu, Mkeo yeye hatoi
Adhabu, Anawaambia Watoto, Ngoja Babayenu
Arudi, Nawewe Ukirudi Unaelezwa na Mkeo
matatizo ya Wanao, Unachukua Bakora
Unawaadhibu Watoto, Bila kujua kuwa Unazidi
Kujenga Uhusiano M'BAYA na Wanao.
NGUMU KUMEZA
Ukifika Uzeeni, Watoto wako Hawana
KUMBUKUMBU Yoyote Ya mema uliowafanyia.

MWANAUME KUWA MAKINI SANA
*_ZINGATIA HAYO KWA MAISHA YA UZEENIView attachment 1884915View attachment 1884916
Hizi ni fikra kandamizi dhidi ya mwanamke.

Huwezi kutoa hukumu kwetu sote kwa sababu ya mkeo mmoja mbinafsi.

Kuna watu wanaishi na wake zao vizuri,wake sio wabinafsi,watoto wanajua kwamba baba na mama ndio wanatuhudumia.

Huu ulioandika hapa ni ubinafsi na unataka kuhamishia tatizo lile lile kwa wanaume sasa.
 
Back
Top Bottom