Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Chonde chonde wabunge wa CCM msichague Tulia Ackson kuwa Spika, tayari ameshaonesha udhaifu wa kutosimamia katiba ya JMT. Hafai kabisa kuwa spika

Naunga mkono hoja, wanaosema, waache waseme, tayari kuna sauti imesema Spika ajaye ni Tulia.
P
Kama ulishindwa kupata uteuzi kutoka kwa ndugu yako jiwe basi usitegemee kuteuliwa tena
 
Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.

Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.

Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?

Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Unajisumbua...hivi hamelewagi???
Alokwambia wabunge ndio wanachagua spika nani?
Kwani awali huyo tulia niwao walimtaka???
Prezda anasema wabunge wanafanya kazi imeisha muwe mnaelewawa khaa!
 
Mimi nakipenda sana Chief, sababu ya kukipenda ni kwamba kimexist, kile kingine kimepotea kabisaa! Huwa napenda vitu vinavyoevolve kutokana na mazingira yaliyopo
Hicho kinalindwa
 
Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.

Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.

Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?

Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Atachaguliwa kwa 100%

CCM ni ile ile..
 
Tulia hatufai kabisa kuwa Spika. Maturity level yake iko very low, yeye ni zao la mfumo usiofuata demokrasia. Isitoshe ana harufu mbaya kama KIGWANGALA
 
Sisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
TULIA Hana TOFAUTI na NDUGAI wote ndio wale wale Waliopitisha Sheria Mbovu ALIZOZITAKA MAGUFULI kwa MANUFAA YAKE
HAFAI KUWA SPIKA

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi walivyo wengi wanachama Wa chama cha mazuzu(ccm),watampitisha huyo turia na hapo ndo itakuwa rahisi Kwa nchi kupigwa mnada maana hakuna Wa kuhoji tena Kwa kuwa ameonesha msimamo kuwa rais si lazima afuate anachoshauriwa na bunge.
 
Back
Top Bottom