Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Huyo njaa ndiyo inamfanya aonekane kama mtoto mdogo.We jamaa ni mkubwa kiumri lakin akili zako bado za chekechea....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo njaa ndiyo inamfanya aonekane kama mtoto mdogo.We jamaa ni mkubwa kiumri lakin akili zako bado za chekechea....
Kama ulishindwa kupata uteuzi kutoka kwa ndugu yako jiwe basi usitegemee kuteuliwa tenaNaunga mkono hoja, wanaosema, waache waseme, tayari kuna sauti imesema Spika ajaye ni Tulia.
PVoices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini...
Wanabodi, Japo siku zote Nabii huwa hakubaliki nyumbani, hili nalijua na litabezwa, na nimeisha lisemea humu TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!. - JamiiForums Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading...www.jamiiforums.com
Hiki kijarida anakisoma nani?
Mimi nakipenda sana Chief, sababu ya kukipenda ni kwamba kimexist, kile kingine kimepotea kabisaa! Huwa napenda vitu vinavyoevolve kutokana na mazingira yaliyopoHiki kijarida anakisoma nani?
Unajisumbua...hivi hamelewagi???Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Hicho kinalindwaMimi nakipenda sana Chief, sababu ya kukipenda ni kwamba kimexist, kile kingine kimepotea kabisaa! Huwa napenda vitu vinavyoevolve kutokana na mazingira yaliyopo
Kabisa!Hata sura yake tu inaonyesha
Mbona na kile kilikuwa kinalindwa? Kwa nini kilishindwa kuendelea kulindwa kama hiki?Hicho kinalindwa
Atachaguliwa kwa 100%Tunajua mpo wengi ndani ya mjengo wa National Assembly. Maana ni karibu ya 98 % ya wabunge wote.
Japokuwa wengi mpo bungeni kimazabe mazabe baada ya uchaguzi mkuu wa 2020 kuwa na maluelue lakini hili la spika kuweni na Uzalendo.
Bunge haliwezi kuwa na spika ambae ataona staha kuisimamia na kudhibiti serikali kuu kisa tu mkuu wa serikali ni amiri jeshi mkuu. Mathalani ukitokea ufisadi wa kutisha kama wa Rischmond je? Aone staha?
Wekeni ushabiki wa siasa kando na msichague spika kama huyu.
Tatizo mjomba katokaMbona na kile kilikuwa kinalindwa? Kwa nini kilishindwa kuendelea kulindwa kama hiki?
Chama Cha MajangaAtachaguliwa kwa 100%
CCM ni ile ile..
Mtu mwenye utuMnamtaka nani?
LukuviMnamtaka nani?
TULIA Hana TOFAUTI na NDUGAI wote ndio wale wale Waliopitisha Sheria Mbovu ALIZOZITAKA MAGUFULI kwa MANUFAA YAKESisi wana CCM kindakindaki tunajua jinsi mama huyu alivyoingia bungeni toka 2015. Tunajua tabia yake ya kujipendekeza ili aoate chochote kitu. Huyu hafai kuwa kiongozi hata wa kata. Tutamkataa kwa nguvu zote.
Si mmesoma Sana mnafeli wapi?Mbeya kwa muda mrefu hatujawah kuwa na kiongozi mkuu Kati ya mihimili mitatu ya nchi it's our time go Tulia