Chonde chonde wana Mbeya msikubali kutumika, msishiriki hayo maandamano haramu

Mbowe na huko kwao Hai wamekaa kimyaaa huku kwenye keyboard mnaparurana.
Chadema hovyo kabisa.
 
Uzuri Wana mbeya Wana ghala la chakula
Hawana njaa
Huwa wanakula wanashibašŸ˜‚šŸ¤£
Wana shibe na nguvu
Sio wanaume wa buguruni wanaoshindia miguu ya kuku na maji ya kandorošŸ¤£šŸ˜‚
Na akili safi wanayo ya kutosha
 
Uzuri Wana mbeya Wana ghala la chakula
Hawana njaa
Huwa wanakula wanashibašŸ˜‚šŸ¤£
Wana shibe na nguvu
Sio wanaume wa buguruni wanaoshindia miguu ya kuku na maji ya kandorošŸ¤£šŸ˜‚
Hakuna shibe kwenye mabomu ya machozi, virungu na maji ya washawasha. Wana Mbeya wanalitambua hilo. Kesho hawatoandamana.
 
Mzalendo uchwara
 
Naona unaliishi jina lako la Mzalendo uchwara. Na ushauri wako ni wa uzalendo uchwara.
 
Siamini. Mbeya haina watu wa namna yako. Wewe ni lazima utakuwa unatoka katika jamii zile zenye tabia za ajabu ajabu.

Jamii za watu wa bara, wengi wao ni watu walionyoka, ukiacha wale wachache walioharibiwa na CCM.
 
Siamini, Mveya haina watu wa namna yako. Wewe ni lazima utakuwa unatoka katika jamii zile zenye tabia za ajabu ajabu.

Jamii za watu wa bara, wengi wao ni watu walionyoka, ukiacha wale wachache walioharibiwa na CCM.
Mzalendo Uchwara ni chawa. Kwanza hata jina lake linaonyesha kwamba jamaa ni fake man, hawa ndio wako tayari hata kuingiliwa kinyume ili tu wapate hata 10,000
 
Wewe kumbe ni wale waliokosa uelewa karibia wa kila kitu! Pumzika hujui chochote.

Hakuna mahali popote ambapo Polisi wamepewa mamlaka ya kutoa kibali cha mikutano au maandamano. Wanapewa taarifa, na jukumu lao ni kuwahakikishia waandamanaji usalama.

Polisi ni waajiriwa wa wananchi. Boss akitaka kuandamana, anamwambia mwajiriwa wake kuwa anataka kuandamana, na yeye polisi aje ahakikishe usalama wa boss.
 
Siamini, Mveya haina watu wa namna yako. Wewe ni lazima utakuwa unatoka katika jamii zile zenye tabia za ajabu ajabu.

Jamii za watu wa bara, wengi wao ni watu walionyoka, ukiacha wale wachache walioharibiwa na CCM.
šŸ¤£šŸ˜‚
Si waliimbaga watu wa bara hawajui meli
Ni kweli manake bara hakuna bahari,Kuna mito ya asili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…