Chonde chonde wana Mbeya msikubali kutumika, msishiriki hayo maandamano haramu

Chonde chonde wana Mbeya msikubali kutumika, msishiriki hayo maandamano haramu

Ndugu zangu wana Mbeya, mimi ni miongoni mwa wapingaji wakuu wa mkataba wa uwekezaji bandarini, hususani ile IGA. Huo mwingine bado hatujui kama ni mzuri au tumepigwa.

Lakini, kuna njia sahihi na njia isiyo sahihi ya kupinga jambo. Njia sahihi ni kama ile aliyoitumia Lissu kwa kuelezea mapungufu ya mkataba ule kwenye mikutano halali ya hadhara.

Njia nyingine sahihi ni ile waliyotumia Mwabukusi na Mpaula ya kwenda mahakamani. Na wengine pia kama TLS , wadau wa hapa JF, wabunge kule bungeni, TEC pamoja na wananzuoni wengine kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Kwakuwa serikali imeamua kupuuzia ‘concern’ za hao wote, basi njia pekee sahihi iliyosalia ni sanduku la kura katika uchaguzi ulio huru na wa haki. Kwamba, nguvu ielekezwe kwenye kidai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa njia halali na kisha sote tutayatoa maoni yetu kupitia sanduku la kura.

Kuna kipindi mkoa wa Mbeya ni kama ulisuswa na serikali kutokana na tabia za watu wake kupenda ‘ligi’ kwenye kila jambo. Wakati wa JPM na hata sasa walau mambo yameanza kwenda vizuri.

Kwahiyo naomba niwasihi ndugu zangu, msitumike kifanya uhalifu wa maandamano yasiyo na kibali ili tu kupaisha ndoto za kisiasa za Mwabukusi na Mpaula.

Bandari sio mali ya Mbeyapeke yake bali Tanzania yote. Kama wenzenu hawaandamani nanyi hamna haja ya kufanya hivyo. Msijifanye mna uchungu saaana hadi mkaanza kuvunja sheria na kujiharibia bure.

Naamini hakuna atakaye andamana, lakini ni muhimu kukumbushana wajibu wetu kama wananchi wapenda maendeleo na amani.

Unaongea Kama nani?
 
Kwa mujibu wa sheria zetu maandamano halali yanahitaji kibali. Hayo ya Mpaula na Mwabukusi hayana. Hivyo ni haramu.

Nakuunga mkono, tume huru ni takwa letu wananchi, na ndio itakayotupa njia sahihi ya kuiwajibisha serikali pale inapofanya yasiyotakiwa.

Tangu lini maanadamano ya amani yakawa haramu?. Acha unafiki
 
We mwanaume wa Dar tulia tukuonyeshe kwamba Sisi siyo sawa na nyie.Kesho mtatuelewa!
kimsingi hakuna cha mwanaume wala mamake maandamano, ila Mwabukusi anatumia njia ya kishamba sana kutafuta ubunge huko Mbeya sijajua jimbo. Eti Mbeya ndio muwe na unchungu na bandari ya Dar Es Salaam wakati wenyeji hawaandamani, ukiwa na akili ndogo utauhangaisha sana mwili, Mwabukusi kwanza ni mhuni tu na ana akili ndogo sana. Najua hakuna kima atatoa pua yake barabarani labda wataandamana sebuleni na wake zao,
 
kimsingi hakuna cha mwanaume wala mamake maandamano, ila Mwabukusi anatumia njia ya kishamba sana kutafuta ubunge huko Mbeya sijajua jimbo. Eti Mbeya ndio muwe na unchungu na bandari ya Dar Es Salaam wakati wenyeji hawaandamani, ukiwa na akili ndogo utauhangaisha sana mwili, Mwabukusi kwanza ni mhuni tu na ana akili ndogo sana. Najua hakuna kima atatoa pua yake barabarani labda wataandamana sebuleni na wake zao,
Sasa mzaramo,mvivu,mla miguu ya kuku na mihogo
Hajasoma
Anazaa watoto wengi na hajui atawatunza vipi
Aandamane kuhusu nn?
Labda kama anagombania Banda la uani la urithi
 
Pelekeni uchawa wenu CCM . Tatizo wewe ni chawa na unalazimisha wengine wawe chawa Kama wewe.
 
Ndugu zangu wana Mbeya, mimi ni miongoni mwa wapingaji wakuu wa mkataba wa uwekezaji bandarini, hususani ile IGA. Huo mwingine bado hatujui kama ni mzuri au tumepigwa.

Lakini, kuna njia sahihi na njia isiyo sahihi ya kupinga jambo. Njia sahihi ni kama ile aliyoitumia Lissu kwa kuelezea mapungufu ya mkataba ule kwenye mikutano halali ya hadhara.

Njia nyingine sahihi ni ile waliyotumia Mwabukusi na Mpaula ya kwenda mahakamani. Na wengine pia kama TLS , wadau wa hapa JF, wabunge kule bungeni, TEC pamoja na wananzuoni wengine kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.

Kwakuwa serikali imeamua kupuuzia ‘concern’ za hao wote, basi njia pekee sahihi iliyosalia ni sanduku la kura katika uchaguzi ulio huru na wa haki. Kwamba, nguvu ielekezwe kwenye kidai tume huru ya uchaguzi na katiba mpya kwa njia halali na kisha sote tutayatoa maoni yetu kupitia sanduku la kura.

Kuna kipindi mkoa wa Mbeya ni kama ulisuswa na serikali kutokana na tabia za watu wake kupenda ‘ligi’ kwenye kila jambo. Wakati wa JPM na hata sasa walau mambo yameanza kwenda vizuri.

Kwahiyo naomba niwasihi ndugu zangu, msitumike kifanya uhalifu wa maandamano yasiyo na kibali ili tu kupaisha ndoto za kisiasa za Mwabukusi na Mpaula.

Bandari sio mali ya Mbeyapeke yake bali Tanzania yote. Kama wenzenu hawaandamani nanyi hamna haja ya kufanya hivyo. Msijifanye mna uchungu saaana hadi mkaanza kuvunja sheria na kujiharibia bure.

Naamini hakuna atakaye andamana, lakini ni muhimu kukumbushana wajibu wetu kama wananchi wapenda maendeleo na amani.
Nani kakuambia tz kuna uchaguzi huru na haki,bora ujikalie nyumbani
Na kutopiga kura tu

Ova
 
Bado sijapata jibu sahihi, kwa nini CCM inaogopa maandamano namna hii?

mtu anaandamana mwenyewe, njaa yake, jua lake, mvua yake na hata silaha yoyote mkononi mwake hana- sasa wewe kitakupunguzia nini ukimwacha aandamanee kisha asepe zake ?
Wawaache watu waandamane wakimaliza wajirudie majumbani
Mwao,shida nini

Ova
 
Back
Top Bottom