Chonde chonde wana Mbeya msikubali kutumika, msishiriki hayo maandamano haramu

Haya majitu yanaitwa Mwabukusi, SLAA na Mdude yana STRESS zao binafsi ndiyo maana wanataka kadamnasi iwasaidie kuondoa stress hizo.

Mambo ya bandari ni mambo ya biashara na kati ya hao watatu hakuna hata mmoja amewahi kufanya hata biashara ya genge au kilabu cha pombe
 
We mchaggah
Lazima uwachukie Wana mbeya
Nyie roho yenu iko kwenye pesa ya dhulma,wizi na utapel
Ndomana mnazaa ma.taahira wengi
Mchaga, pambaf!
Mxxffqffeww......!!
Mie kyusa ninayejuajua maendeleo.
Hapo Mbeya kwangu kwa wastaarabu Sae.
Nyie mnaandamana baada ya kushiba mbaragha na kunywa kimpumu.

Jioni unarudi kibMda chsko cha tope.
Sasa lazima tuambizane, wenye akili kama zenu ndo mnachelewesha kuja uwekezaji wa maana.
Kila siku kimpumu na mnsragha hadi vitambi vya kimasikini.
 

Mzalendo uchwara hawezi kutushauri Wana mbeya
 
Msaliti unastahili kupuuzwa.


Ukibomolewa nyumba unayoishi Leo, utasubiri Sanduku la kura?
 
Sina wasiwasi, nawatahadhalisha ndugu zangu wa Mbeya kuwa wasitumike na wahuni ambao wao watakuwa wamekaa na familia zao majumbani kwao salama salimini.
Hivi unatarajia mtu mwenye akili timamu kabisa, anahitaji ushauri toka kwako?
 
Hakuna maandamano yatatokea Tanzania ya kudai chochote kile,labda kudai pointi za Simba na Yanga zikikatwa
Au labda Simba au Yanga akishushwa daraja au kuonewa,au ya kumpongeza Diamond akichukua tuzo za Grammy
Au kumpongeza mama kwa kuupiga mwingi kwenye mgao wa umeme.
Haya mengine tutaishia kusema “TAYARI YAMEFANIKIWA,SI UMEONA POLISI WAMEANDAMANA,DUNIA IMESHAJUA MADAI YETU”
Hakuna mtu ataandamana barabarani nchi hii kudai Jambo lolote la kiuchumi,siasa au maendeleo ya jamii
Sisi ni kondoo
 
Hivi unatarajia mtu mwenye akili timamu kabisa, anahitaji ushauri toka kwako?
Sio tu mwenye akili timamu bali wote ambao uwezo wao wa kiakili uko above average. Watu wengi wa Mbeya ni vichwa, watazingatia ushauri huu makini.
 
Msaliti unastahili kupuuzwa.


Ukibomolewa nyumba unayoishi Leo, utasubiri Sanduku la kura?
Utaona kama kuna mtu ataandamana. Kuna mambo ya msingi ya kuitisha maandamano, sio kwa sababu tu kuna wapumbavu wanatamani amani ivunjike kwa manufaa yao ya kisiasa.
 
Mzalendo uchwara hawezi kutushauri Wana mbeya
Kama kweli wewe ni mwana Mbeya basi najua fika hautoandamana. Wana mbeya nawafahamu vema, ni watu wasiopelekeshwa, wanaweza kukiwasha kwenye mambo ya msingi na sio eti kumuunga mkono Mpaula na Mwabukusi.
 
Polisi imewachelewesha sana hao, walitakiwa kupigwa rungu mapema.
 
Toka uandamane ili ufundishwe na uliwengu. Ujasiri wenu unaishia mitandaoni.
Mimi kuandamana siwezi bora uniambie nikupige shaba ya kichwa ...maana sipendinkupoteza muda ...maandamano ni kupoteza muda tu. Labda yawe yale maandamano ya kupindua serikali dharimu ya samia sawa naweza shiriki
 
Mimi kuandamana siwezi bora uniambie nikupige shaba ya kichwa ...maana sipendinkupoteza muda ...maandamano ni kupoteza muda tu. Labda yawe yale maandamano ya kupindua serikali dharimu ya samia sawa naweza shiriki
Si huna akili?? njoo tuandamane wewe.acha woga wa kike
 
Asante sana kwa elimu hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…