Chongolo: Mbowe ana wajomba zake Nyeri na Zitto baadhi ya baba zake wanakaa Bukavu

Anazungumazia asili .... Maza yeye ni pure Muarabu ..... Na wajomba zake wanaishi Urarabuni. Hiyo ndiyo tofauti yake na Zitto!!
 
Sidhani kama shida ni kuwa na Ndugu..., shida ni Nepotism au viasharia vya Nepotism no matter ndugu wapo wapi?
 
Mwenyewe Chongolo ana ndugu Malawi
 
Na mama anawajomba Omani, kwahiyo!
 
Kumbe zoba ndiyo maana wenzake wamemchomekea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…