ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kwa sababu Tz inatakiwa itawaliwe na mtz au namimi sijaelewa labda tuzidi kuulizaPanic hii imetokana na nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sababu Tz inatakiwa itawaliwe na mtz au namimi sijaelewa labda tuzidi kuulizaPanic hii imetokana na nini?
Inadaiwa Tundu Lisu babu zake umamani wako EthiopiaLabda Ndugai na Palamagamba kwa kuwa wanatokea katikati ya Nchi
Hayati Iddy Simba aliwahi kuzushiwa Mrundi na mashhidi wa Uongo wakataja hadi nyumba aliyozaliwa Bujumbura wakati ni mzaliwa wa Kigamboni
Ukiona nyani aking'aka ujue kuguswa na kituKama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Kukaa kimya bila kukanusha uongo hugeuka kuwa ukweli.Kama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Si kila kitu ni cha kukanusha..Kukaa kimya bila kukanusha uongo hugeuka kuwa ukweli.
Mimi labda nilisikia vibaya,"Kama Kuna mtu alikuwa na cheti cha mirembe halafu akapewa nafasi kubwa kabisa katika nchi"🤔Benard Membe alisema vetting haikufanyika vizuri kuwa mtu wa asili ya nje Magufuli akapewa uraisi yeye mbona asili yake Msumbiji mbona alipitishwa kugombea uraisi na alipewa vyeo kibao usalama wa taifa?
Wewe wasemaTunajua kelele zinapigwa kwa sababu hizi
1) Ni Mzanzibari
2) Ni Muislam
3) Ni Jinsia Yake
Kwa hili ni sahihi tuache kyongea yasiyo ya msing. Watanzania tunata kusikia na kusoma mikakati ya kujenga nchi kutoka aidha chama chenye dhamana au chama cha upinzani tuamue nani anafaa kupewa ridhaa siyo tukalie siasa mufisilisi zisizo na tijaNamsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.
Mbowe gari ya bunge akiwa kiongozi mkuu wa upinzani bungeni ilikamatwa na polisi Mombasa alikoenda kusalimia ndugu zakeLakini mbowe na zitto hawajawahi kutumia rasilimali za nchi kwa ajili ya kwenda kusalimia wajomba zao na ikulu kupiga piga na kututangazia, pia hawajawahi kuwafurusha watanzania kwenye maeneo yao kwa ajili ya kuwagawia wajomba zao sehemu ya tanzania
Endelea kupigania Maji Usagara, acha kuabudu magufuliMnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na kuwa ni mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Unajitia mtanzania mzalendo wakati na wewe kwenu asili yenu Msumbiji
Zitto Mbembe wa kongo ana chama kinaitwa cha wazalendo wa Tanzania
Nape Nnauye na Membe wamakua wa Msumbiji kelele kibao Sisi ndio wenye nchi na chama wengine washamba tu watu wa kuja
Mbowe mkenya wa Nyeri ana chama chake Chadema
Wageni wanagombania utawala wa Tanzania
Wagogo ni wabantu na hakuna mbatu mwenye asili ya Tanzania.Watu wenye asili ya hapa ni Hadzabe Bushmen,mbuti pygmies ,Sandawe nk.mtu wa Kigoma muulize kabila akikwambia ni mmanyema huyo ukoo wake nusu uko Congo DR au Burundi!! Zitto hawezi kuwa exceptional! ukitaka kuamini chukueni simu yake muone wajomba zake wako wapi!!Mbona pale Kigoma sio stori watu wanaenda kwao DR Congo na Burundi na wa huko wanakuja Kigoma na maboti tu tena bila passport na wanakaa muda wanaotaka na kurudi kwao!
Ila turudi nyuma wa Kilimanjaro kwao Kenya, Mbeya sijui Mbamba Bay kwao nje, wa Ruvuma kwao nje, Tanga kwao nje, Rukwa kwao nje, Kibondo kwao nje, Bukoba kwao nje, Wajaluo?Wanyasa? Wamakonde? Wadigo?Wangoni?Barbaig? Wamasai kwao wapi? nusu ya ukoo zao ziko nchi jirani! Tanga watu wengi nusu ya ndugu zao wako Mombasa na ni raia wa Kenya!na sio stori Tanga mabasi kila siku yanajaza kwenda na kurudi Mombasa!!
Hivi nani ni mtanzania halisi? tuanzie hapo! labda mi naona Ndugai peke yake kutoka kwa wagogo walio katikati ya nchi ndio raia OG na ndo maana Ndugai ana uchungu wa kweli kweli na akakataa "nchi yake" isiuzwe kwa mikopo isiyo na mwelekeo!
Aahha hahaha acha utani aahhaNdugai naye ana asili ya islael ndo Mana kila kukicha anamsakama yesu eti alikuwa na mke
Tatizo Jiwe wenu aliendelea kuwa na roho ya kihutuMnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na jamaa zake hivyo mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Kwa hiyo na wewe tukuite mmakua wa Msumbiji. Huo uzalendo wa Tanzania umetoa wapi wakati wewe asili yako Msumbiji?