Tuliombe bunge letu tukufu kutafuta na kujua mtanzania asili ni yupi watuchanganulie maana hata wao itabidi watoke humoChongolo naye vipi? Yupo vizuri?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliombe bunge letu tukufu kutafuta na kujua mtanzania asili ni yupi watuchanganulie maana hata wao itabidi watoke humoChongolo naye vipi? Yupo vizuri?
Katibu mkuu bogus kuwahi kutokeaNamsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.
Huyu maza ni mwarabu pureKwa kweli hili la babu upande wa baba kuzaliwa Oman, yaani, raia wa Omani ni tatizo kubwa. Labda ndio maana kama inavyosemekana TISS walimtaka Madam President akiwa makamu wa Rais kujiuzulu lakini akagoma kwa ushauri wa mzee wa Ursino.
https://dctransparency.com/fr/share...suluhu-hassan-becoming-president-of-tanzania/
https://www.thenationalnews.com/gul...ssan-becoming-president-of-tanzania-1.1187813
Bichwa kubwa akili kisoda kama yule afisa habari wa UtopoloKatibu mkuu bogus kuwahi kutokea
Heee kumbeKwa kweli hili la babu upande wa baba kuzaliwa Oman, yaani, raia wa Omani ni tatizo kubwa. Labda ndio maana kama inavyosemekana TISS walimtaka Madam President akiwa makamu wa Rais kujiuzulu lakini akagoma kwa ushauri wa mzee wa Ursino.
https://dctransparency.com/fr/share...suluhu-hassan-becoming-president-of-tanzania/
https://www.thenationalnews.com/gul...ssan-becoming-president-of-tanzania-1.1187813
Ndio maana hana uchungu na NgorongoroHuyu maza ni mwarabu pure
Sio kweli, anachokifanya unajaribu kubalansi tu story.Mnaosakama Magufuli kuwa ana ndugu zake Burundi na kuwa ni mrundi mumesikia? Benard Membe umesikia? Huna nduguzo Msumbiji? Unajitia mtanzania mzalendo wakati na wewe kwenu asili yenu Msumbiji
Mwarabu mwenzake yupo paleNdio maana hana uchungu na Ngorongoro
Lile ni fuvu tupuBichwa kubwa akili kisoda kama yule afisa habari wa Utopolo
Nani ni mtanzania halisiZitto Mbembe wa kongo ana chama kinaitwa cha wazalendo wa Tanzania
Nape Nnauye na Membe wamakua wa Msumbiji kelele kibao Sisi ndio wenye nchi na chama wengine washamba tu watu wa kuja
Mbowe mkenya wa Nyeri ana chama chake Chadema
Wageni wanagombania utawala wa Tanzania
Sasa hao wakibaki itakuwa nchi tenaHii nchi wenye haki ya kuimiliki wasio na mchangamano na mataifa mengine ni wagogo tu Hawa ndiyo wenye nchi
Kwa wafrika kawaida tu kuingilianaYaani Tanzania wahamiaji kuanzia wamakua wa Msumbiji akina Membe na Nape Nnauye na Wabembe wa kongo akina Zitto Kabwe nk ndio wanajifanya wazalendo sana kuliko wazawa
Mtaweza kuiendesha nchi nyieHahaha.......
Watanganyika tuko wachache sana
Ukiona mzanzibari hana ndugu Oman basi huyo asili yake ni unywamwezi au msukuma...chill...kawaida sana...[emoji16]Halafu bado mnawalipa TISS WA kazi gani sijui? Nawaambia siku zote taasisi yenye shida kubwa nchi hii si Polisi ni TISS. Kuwa kiongozi wa nchi si Jambo dogo, Leo tunafikia kuwa na Kiongozi wa nchi mwenye ukoo mkubwa nje ya nchi kuliko nchini. Tusisingizie Obama na Marekani, hao vetting yao Inajulikana ilivyofanyika na kabla hata Obama hajaja Kenya dunia yote ilijua kuna Bibi na shangazi yake. Leo Sisi tunashitukizwa Kwa ziara ya Kwa Mjomba?
Usimsahau Jiwe kwao Burundi...[emoji16]Zitto Mbembe wa kongo ana chama kinaitwa cha wazalendo wa Tanzania
Nape Nnauye na Membe wamakua wa Msumbiji kelele kibao Sisi ndio wenye nchi na chama wengine washamba tu watu wa kuja
Mbowe mkenya wa Nyeri ana chama chake Chadema
Wageni wanagombania utawala wa Tanzania
Namsikiliza hapa Katibu wangu redioni anasema suala la Mama Samia kuwa na wajomba sehemu nyingine ya dunia sio kubwa Kama linavyotaka kuaminishwa.
Ameenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Amedai wapinzani wafanye kazi waache kutweet vitu vidogo vidogo.