[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo maana Mbowe na Zitto hawana uchungu wowote na nchi hii, wanalamba asali tu.
Mkuu mbona kama umevurugwa?
Yaani unaandika tu mambo yasiyo na mashiko, pole mkuu tulia sindano ikutibu japo inauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ndiyo maana Mbowe na Zitto hawana uchungu wowote na nchi hii, wanalamba asali tu.
Anawajibu nyie mamluki au mlitaka msijibiwe ili iaminike hivyo?Kama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Basi tukubali kuwa Mzalendo wa kweli ni yule mnaemwita shujaa wa AfrikaBenard Membe mmakua asili take ikatokea Msumbiji yeye na Nape Nnauye lakini ndio vinara wa kujitia nchi hii ndio wao sana wazalendo!! Wazawa wako kimya!! Wao miyowe kibao Sisi ndio wenye nchi wenye chama nk Wakati asili yao nje ya nchi Hata Kinana asili yake Somalia
Kutukana Magufuli kuwa hana asili ya Tanzania kukome
Nchi hii tukiamua kuchambuana hapatatosha.Nyie wamakua wa Msumbiji akina Membe na Nape Nauye na wakongo akina Zitto Kabwe ,Nondo nk mkome kujitia wazawa sana na wazalendo sana nyie wahamiaji tu asili yenu sio Tanzania
Anawajibu nyie mamluki au mlitaka msijibiwe ili iaminike hivyo?Kama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Na mbona alipokuwa hai mlikuwa mnaropoka sana eti ana unasaba na nchi jirani. Sasa Mama yenu ana unasaba na waliowauza utumwani mababu zenu. Hapo vipi?Hata mwendazake ndg zake wengine eti wako chigali.....
Kuna mmoja aligawa tausi wetu.,nimekumbuka kumbe tausi ni ndege siyo mnyama na wao ni jirani zetuHata kama wakiwa na wajomba huko, lakini hawajawahi kuwapa hao wajomba zao zawadi za wanyama wetu bure.
Hii nchi wenye haki ya kuimiliki wasio na mchangamano na mataifa mengine ni wagogo tu Hawa ndiyo wenye nchiBenard Membe mmakua asili take ikatokea Msumbiji yeye na Nape Nnauye lakini ndio vinara wa kujitia nchi hii ndio wao sana wazalendo!! Wazawa wako kimya!! Wao miyowe kibao Sisi ndio wenye nchi wenye chama nk Wakati asili yao nje ya nchi Hata Kinana asili yake Somalia
Kutukana Magufuli kuwa hana asili ya Tanzania kukome
Nchi hii tukiamua kuchambuana hapatatosha.Nyie wamakua wa Msumbiji akina Membe na Nape Nauye na wakongo akina Zitto Kabwe ,Nondo nk mkome kujitia wazawa sana na wazalendo sana nyie wahamiaji tu asili yenu sio Tanzania
Hizi tetesi nazisikiaga tuu hivi kuna ukweli?Hapo kwa Nape umechemsha,huyo asili yake Tukuyu,yule Mzee Musa alibambikiwa tu.
Sio wagogo tu huyo Chongolo katibu mkuu wa CCM hana ndugu hata nje ya nchi ukoo wake ukisikia wana ndugu nje ya mkoa alikozaliwa wako Dar es salaam hawajasoma vibarua wabeba nzege na house girl nkHii nchi wenye haki ya kuimiliki wasio na mchangamano na mataifa mengine ni wagogo tu Hawa ndiyo wenye nchi
NDO NASHANGAA HAPA. OVERKama ni vidogo vidogo mbona anajaribu naye kuvitolea ufafanuzi? Si angeachana navyo tuu
Siasa bhana.... Kazi kweli kweliAmeenda mbali na kusema mababu zake Zitto wakati wanahamia Kigoma wakitokea Bukavu DRC baadhi ya ndugu zao walibaki huko na wanatembeleana mara kadhaa.
Kwa Upande wa Mbowe amedai pia ujombani kwake Wana asili ya Nyeri nchini Kenya na hata akiwa Kenya huwa hakai hotelini, huwa anakaa nyumba za familia lakini bado alipata nafasi ya kuombea urais.
Uko sahihiNdiyo maana Mbowe na Zitto hawana uchungu wowote na nchi hii, wanalamba asali tu.
Uongo sijawahi mtetea LisuLissu naye ana asili ya Gambia
Teh teh 😂😂😂 umenivunja mbavu we teh teh 😂 hii nchi ina vituko Sana.Siasa hizi
2010 kuna Vibabu vya Mchongo viliigiza vinatoka Malawi Lilongwe eti vimeenda Kilosa kumtafuta Mjukuu wao anaitwa Mustafa Mkulo …wakati huo Mkulo ni Waziri wa Fedha
eti aliingia Tanzania na Marehemu Mtoto wao akiwa na Mjukuu wao ambae ndio Mustafa
alipopoteza uwaziri na vile vizee vikayayuka
Mimi sijawahi kubisha hata siku moja unanizuliaShida nyie mlipokuwa mnaambiwa Mwendazake ni mhutu mnabisha kwa nini?