Chongolo na kongamano kubwa la mafunzo ya uongozi na uwajibikaji

Chongolo na kongamano kubwa la mafunzo ya uongozi na uwajibikaji

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
KM CHONGOLO NA KONGAMANO KUBWA LA MAFUNZO YA UONGOZI NA UWAJIBIKAJI- ASUBUHI HII.

Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Daniel Chongolo Leo Jumatano tarehe 13 Julai 2022 atakuwa mgeni rasmi katika Kongamano la Mafunzo ya Uongozi na Uwajibikaji kuhusu Itikadi, Elimu ya Sensa na Makazi, Tehama na usajili wa Wanachama pamoja na Masuala ya Ulinzi na Usalama kwa Viongozi wa Chama.

Kongamano hili linafanyika kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Center kuanzia Saa 2 asubuhi hii na litarushwa Mbashara Mitandao ya Kijamii ya CCM na Televisheni mbalimbali. Usikose muda huu.

#CCMApp
#Kaziinaendelea

IMG-20220712-WA0046.jpg
 
Yaani huyu Katibu Mkuu eti kakalia kiti alichokalia P. Msekwa, R. Kawawa, L. Gama, H. Kolimba, A. Kinana?

Amepwaya sana sana ndio maana CCM ya sasa vijana hawawezi kujenga hoja kama viongozi wao.
 
Yaani ambao hawafuati miiko ya uongozi lakini ndio wanaoandaa kongamano la uongozi.Hiki kichekesho kitaisha lini?
 
Tuendelee kupata update kwa yanayoendelea huko. Mtoa uzi kindly keep posting tujue yanayoongelewa unaweza post nukuu mbalimbali
 
Back
Top Bottom