Chongolo: Tunapigana vita vya kiuchumi, wana pa kukimbilia

Mwelezeni chongolo na wapiga vuvuleza wenzake kuwa hakuna mtu/chama anapinga uwekezaji bandarini. Kinachopingwa ni vipengele vya mkataba wa bandari.
 
🤣🤣🤣uwanja wa shule wa mazoezi korogwe??hao hata shule hawapendi🤔Sasa unajadil nn hapo?
 
Inasikitisha sana kuona mkataba wa kipumbavu sana namna hii unavyotetewa na Watanzania wenzetu!
Ama kweli Rushwa hupofusha (kwa mujibu wa Maandiko Matakatifu).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…