johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
1(c) ....nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.Mh tuletee kifungu kinachompa mamlaka hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
1(c) ....nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.Mh tuletee kifungu kinachompa mamlaka hayo
No wonder mmewaachia makinikia wazungu mkaanza kukamua wananchi tozo kwenye vocha.1(c) ....nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko.
Alitakiwa kuomba radhi tu kwa niaba ya CCM.Kwa katiba ya CCM mmiliki wa gazeti!
Nami ndio nashangaa!Kwa hiyo chanjo ni maamuzi ya chama sio taifa?
Msimlishe maneno kasema kauli kinzani hajasema chanjo...wachonganyishi hamjambo....CCM ni taasisi inajua kujiendesha vizuri.Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maele!ezkezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.
Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.
Chanzo: Channel ten
Wachukuliwe hatua tu....Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maele!ezkezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.
Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.
Chanzo: Channel ten
Pole pole na gwajimamaKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maele!ezkezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.
Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.
Chanzo: Channel ten
Polepole weee ,Polepole weee,Polepole weee, alisikika marehem SEIF,(R.I.P)
KUFUKUZWA hakujaanza leo...walifukuzwa wabara na Wazanzibari hayati Maalim Seif.....chama hakiendi bila ya NIDHAMU.....Sawa Chongolo, wafukuzeni tu. Lkn kumbuka huyo mzanzibari soon atarudi kwao. Hapo ndipo utakapojua kwanini huku bara kunaitwa TANGA- na- NYIKA.
Ya kupinga fikra za mwenyekitiKwa sheria ipi ?
Viburi wachache hawalitambui hiloChama ndio taifa bwashee!
Chakubanga na KibwetereeeeePole pole na gwajimama