Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema wajitayarishe kuwapokea Pole Pole na GwajimaKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maele!ezkezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika...
🤣🤣🤣Muulize mama D na Jumbe Brown siempre siempre
Kumbe Polepole anayaishi maneno toka kinywani mwake?.Ukada au uanachama wa chama chochote haujawahi kuwa muhimu kuliko afya ya mhusika.
Na hapa ndo tutawaona wanafiki wasioyaishi maneno ya vinywa vyao.
Na kwa msimamo huu wenye akili tumeanza kuelewa kwamba kumbe chanjo si hiari bali ni lazima.
Chanjo si ni jambo la hiyari!? Sasa kama wapo wale wenye kuhamasisha watu wenye hiyari wajitokeze kuchanjwa. Je! Kuna ubaya gani kuwepo pia watu wenye mtizamo tofauti kupaza sauti zao kuzipinga chanjo hizi?Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maele!ezkezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika...
Hiki chama hakiishi vituko.Kwa hiyo chanjo ni maamuzi ya chama sio taifa?
CCM ni kichwa ngumu, tuache wafu wazikane.Wametoa maoni yao kuhusiana na chanjo ya uviko -19,hakuna sehemu yoyote wamevunja katiba ya chama cha mapinduzi au ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania....
Hili neno .Chama kinapoteza mwelekeo .Raisi kusema chanjo hiari maana yake Nini ruksa kukubali au kupingaKwa hiyo chanjo ni maamuzi ya chama sio taifa?
Huyu amesha chizika, chanjo haziwezi kutolewa kiholela kama pipi,zilipotoka zimesha hakikiwa, Pili Wabongo hatuna uwezo wakuchunguza chanjo, malaria tu inatushinda ijekuwa chanjo, kwetu ni majaliwa tu
Sayansi huwa inabishiwa kila siku, ila ni kwa njia za kisayansi...na ndio maana tunazidi kusonga mbele...tatizo ni pale wanapobisha kwa kutumia wanacho amini !Hawana hoja yoyote hao akina Gwajima na Polepole ni wapumbafu tu, Sayansi huwa haina kubishana nayo, Sayansi siyo ulimwengu wa kiroho