Mbona vitisho tena mzee? Kwani hao watakuwa wa kwanza kufukuzwa?Sawa Chongolo, wafukuzeni tu. Lkn kumbuka huyo mzanzibari soon atarudi kwao. Hapo ndipo utakapojua kwanini huku bara kunaitwa TANGA- na- NYIKA.
Hivi katibu mkuu wa chama ana mamlaka ya kusimamisha uzalishaji wa gazeti?
marehemu mzee pombe.Nani kamtuma apite huko?!
Yaani CCM inaamua kwa nguvuKwa hiyo chanjo ni maamuzi ya chama sio taifa?
Katibu mkuu si ndio mwenye chama kaka; na gazeti ni mali ya chama so mwenye gazeti kafungia gazeti lake, hapo sijaona tatizo loloteHivi katibu mkuu wa chama ana mamlaka ya kusimamisha uzalishaji wa gazeti?
Chanjo ni hiariKatibu mkuu wa CCM ndugu Chongolo amesema mchakato wa kuwashughulikia kinidhamu viongozi wa CCM wanaopinga chanjo kinyume na maelekezo ya chama umeshaanza na karibu utakamilika.
Mtasikia hivi karibuni hatua tulizowachukulia amesema Chongolo.
Chanzo: Channel ten
Ongeza na watatu ni wa chanjo ya uviko.Kumbe Polepole anayaishi maneno toka kinywani mwake?.
Hapa kuna watu wawili tofauti yule wa Tume ya Warioba na Katibu mwenezi wa chama.
Chama ndio taifa bwashee!
Wazalendo halisi ndani ya nchi ya Tanzania wako wachache mno wanaosimamia misingi bila kubadilishwa na mvumo wa upepo. CCM kwa sasa sio sehemu ya mtu muungwana kwenda nayo na kwavile wamemdhalilisha hayati JPM, HP, BAKakurwa, LOS, aliyekuwa kamanda wa Takukuru, aliyekuwa mkurugenzi wa TCRA, mkurugenzi wa TPA, nk hakuna atakayeunga mkono kwa vyovyote vile.Sawa Chongolo, wafukuzeni tu. Lkn kumbuka huyo mzanzibari soon atarudi kwao. Hapo ndipo utakapojua kwanini huku bara kunaitwa TANGA- na- NYIKA.
Nakubaliana kwa asilimia kubwa na mawazo yako. CCM kwa Sasa ni dubwana lisiloaminika.Wazalendo halisi ndani ya nchi ya Tanzania wako wachache mno wanaosimamia misingi bila kubadilishwa na mvumo wa upepo. CCM kwa sasa sio sehemu ya mtu muungwana kwenda nayo na kwavile wamemdhalilisha hayati JPM, HP, BAKakurwa, LOS, aliyekuwa kamanda wa Takukuru, aliyekuwa mkurugenzi wa TCRA, mkurugenzi wa TPA, nk hakuna atakayeunga mkono kwa vyovyote vile.
Hata kama watatumia dola, ulaghai na aina yoyote ya mbinu 2025 hawashindi kwa vyovyote vile, aliyewafungia kwenye chumba kaondoka na funguo, wakichonga funguo haitafungua kwa kuwa haina 'sensor' ya utambulisho. Laana itawatafuna mpaka watataja tu maovu yao kama alivyoanza kujidhalilisha msanii mmoja akidai alinyimwa kuambatana na makamu wa rais kwenye kampeni.
*Mgogoro ufuata ni kati ya CCM Vs SerikaliVsWatumishiVsBungeVsWabungeVsRaisVsWananchiVsTzVsZnz
Uadui wa kuangamizana waja haraka sana ndani ya chama chao na adui yako anahamasisha wasio na madaraka ya madaraka hayo washughulikiwe ipasavyo
Acheni mawazo mfu, nguvu za Rais wa nchi yetu siyo za binafsi ni za kitaasisi na taasisi ya urais hajabadilika kwahiyo ebu tuache kujidhalilisha wenyewe. Rais hawezi kuwa na nguvu kama hana support ya watu wake na hii inamaana kuwa wewe mmoja unapoacha kum support Rais aliyepo madarakani, unakuwa msaliti kwa nchi yako kabla ya yule aliyesimama katika nafasi ya urais.Usimlinganishe JPM na Samia. Mama hawezi kuwa hata na theluthi tu ya courage ya JPM. Sasa hivi Western superpowers wakimkomalia hata swala la same-sex marriage lazima atafanya U-turn!
Waache tu wanamdanganya mama wasije kumsababishia ya Joyce Banda.Sawa Chongolo, wafukuzeni tu. Lkn kumbuka huyo mzanzibari soon atarudi kwao. Hapo ndipo utakapojua kwanini huku bara kunaitwa TANGA- na- NYIKA.
Msimlishe maneno kasema kauli kinzani hajasema chanjo...wachonganyishi hamjambo....CCM ni taasisi inajua kujiendesha vizuri.
Wanataka kuleta udikiteta nchi yenyewe bado imeparaganyika.Nami ndio nashangaa!
Maana chanjo ni hiari na kama waliopata wanaweza kuwaencourage wengine kupata hivyo hivyo na wasiopata wana haki ya kueleza wanachofikiri.
Lakini, si ni hawa hawa ambao msimamo wao walikataa kuwa corona haipo na chanjo hazitakiwi?? Sasa ni msimamo upi anaongelea.
Kweli nchi haiko katika mikono salama au ndio kama Lema alivyoandika ni kuchepusha mawazo ya watu juu ya mahojiano kama mahojiano
Okay blaza Polepole-akiba ya maneno muhimu.
Wanajiona wamekuwa maarufu Sana.Huyu katibu anajiona Sasa yeye ni maarufu Kama Kinana.Yani mnaamua kuiua CCM kwa Sababu ya chanjo? This is very bad kwa kweli. Hivi mnajifunzaga kwa Nani? Duniani kote kuna Makundi yameikataa hii chanjo.mmesikia wakifukuzana?
Kwa taarifa yenu akipatikana mwanasheria nguli akaishtaki serikali hamtapata pakutokea. I tell you. Acheni kuisambaratisha CCM. Labda Kama kuna laana inawatafuna.