Dalili zinaonesha nguvu imetumika na vitishoIkiwa kaya zinazohamishwa zimeridhika, je hii hoja itakua na mashiko, twende Handeni kwa ajili ya utafiti then uje u update uzi wako.
Nakumbuka nilipanga nyumba moja hivi ilikuwa na hicho choo cha kukaa. Mbona nilikuwa napanda juu yake halafu ninachuchumaa
Halafu kumbe ni mapori tengefu siyo hifadhi
Pesa zimetoka kwenye mfuko ganjOk lakini pia tujiulize chanzo Cha fedha za ujenzi za hizo nyumba, BOQ ipi imetumika, mkandarasi Nani, mwongozo unasemaje, fedha za kuhamisha watu Hawa zimetoka wapi? michoro ya nyuma, msimamizi wa mradi, mradi umekamilika kulingana na BOQ? Kifupi tupate taarifa kamili za chanzo Cha mradi huu.Tuanzie hapa wakuu.
Mtajitaja wote leoNakumbuka nilipanga nyumba moja hivi ilikuwa na hicho choo cha kukaa. Mbona nilikuwa napanda juu yake halafu ninachuchumaa
Wapare tukoje?Umeongea ila what's your point.
Usiwe kama wapare
Hakika mkuu, umewaza mbali sana,Ushawahi kujiuliza kwanini binadamu umbo lake lina mreji sehemu inayotenganisha makalio!?
Sehemu ya haja imejificha hadi huyo binadamu achutane ndo vionekane?
Hilo peke yake litakupa majibu kwanini unatakiwa uchuchumae
Maji yenyewe yanapatikana?Nani analipa bili za maji za ivyo vyoo vya kuflash ??
Hii imenigusa mkuuKila mtu ana asili yake! Na maendeleo ya mtu ili yawe na maana lazima yaguse asili ya mtu!
Ukimtoa masai umasaini aje aishi masaki, hii siyo maendekeo kwake bali ni kashfa na ni kumuua (kumharibu kiasilia na lazima siku atarudi alikotoka)
Mtu aliyezoea kunjunga haja yake polini ukimjengea choo cha kukaa hawezi kufulahia hata kidogo!
Mfano! Mimi mwenyewe siyo masai, pamoja na kufika mataifa kadhaa lakini raha ya choo cha kuchuchumaa bado naona ni bora sana kuliko choo cha kukaa!
Kwanza utafiti wangu huwa unaniambia choo cha kukaa huwa hakimalizi haja vizuri kama ilivyo choo cha kuchuchumaa!
Ebu waza ukila matunda ya FURU unavyopata tabu kutenga vifungu vifungu huko polini halafu leo ukajisaidie haja kwenye choo cha kukaa hata iweje HAKITOKI hata ukae chooni siku nzima!
Choo cha kukaa ni kwa ajili ya wazee, wagonjwa, vibonge na wala urojo!
Lakini mtu jabari shababi choo cha kukaa hakifai, kwanza huwa kinanichanganya hata nisijue MKONGE uning'inie kwa ndani au uegemee sinki inje!
Wamasai wa loliondo hawakutakiwa kabisa kujengewa nyumba, Bali wangepewa chaguo ili wajenge nyumba zao wenyewe popote wanapotaka kwenda! Yaani watawanyike kila mtu aende kijiji anachokijua yeye mwenyewe!
Hivi Masai aliyezoea choo cha pori kwa pori atamudu vipi usafi wa choo cha kuflashi kweli?
Hiyo bili ya maji na umeme nani atamlipia?
Amezoea nyumba ya dongo na nyasi unamuwekea bati hizo kelele za mvua kwenye bati mnauhakika masai atazivumilia kweli?
Mtu aliyezoea upepo asilia kuanzia chumbani hadi mavazi yake havai hata chupi Leo mnamuwekea dirisha la vioo mnauhakika ataishi humo?
Asilimia 80% masai wanategemea dawa kutoka polini (mitishamba), Leo unamhamisha kutoka LOLIONDO kwenye miti ya tiba aliyozoea unampeleka wapi? Ebu niambie tanga kuna Mkongoraah?
Masai kazoea kuhama nyumba kulimotokea msiba sasa leo hii nyumba ya kudumu ya vioo itakuwa vipi?
Halafu hizo waya za umeme mmeweka vizuri kweli? maana kukiwa kunashoti mkumbuke masai mmoja akifa kwa umeme wote watakimbia hizo nyumba
Tuache utani ,Nina wasiwasi sana kama hiyo project ya kuwahamisha wamasai kama itadumu!
Tunaweza kuwahamisha kimwili lakini kiroho na akili bado watarudi LOLIONDO!
Hesabu za kisayansi zinaniambia masai atahamishwa Leo kutoka LOLIONDO lakini siku si nyingi atarudi LOLIONDO!
Wacha tuone?
Umeongea ila what's your point.
Usiwe kama wapare
Swali au jibu?Pesa zimetoka kwenye mfuko ganj
SwaliSwali au jibu?
Naona wengi wameongea kama leo ndio wameanza kujisaidia
Wengine wanasema eti wamegundua la kuchutama unamalizana na zigo kuliko cha kukaa
Sasa Mbona Haya mambo ya kuchuchumaa yapo tangu ulimwengu uumbwe?
Tangu mdogo unakalishwa kwenye miguu na kina mama
Ila sio kukaa kujisaidia kwa kuchuchumaa kwani hata haja ndogo tumeambiwa tujisaidie kwa kuchuchumaa pia kwani unamaliza mkojo wote ila ukijisaidia umesimama matokeo yake tunayajua ni matone ya mkojo kutoka pindi unatembea tu
Sio ugonjwa bali ni kawaida huwa hauishi kwa kusimama
Turudi kwenye mada yetu hao wamasai wanaweza kujijengea vyoo nje ya nyumba zao au uani kama watataka au kubadili mfumo huo na kuweka choo cha kukaa ambapo unaweza kubadili kwa urahisi tu
Dah [emoji3][emoji23][emoji23]Nakumbuka nilipanga nyumba moja hivi ilikuwa na hicho choo cha kukaa. Mbona nilikuwa napanda juu yake halafu ninachuchumaa
Unapanda juu ya choo,na kuchuchumaa.Lazima uishi kuendana na mazingira,hao wamasai sio wabantu,wanatokea milima ya Golan,Pembe ya Afrika,mbona wamekuja kwa wabantu,na wanaishi,kwenye mazingira ya wabantu.Kila mtu ana asili yake! Na maendeleo ya mtu ili yawe na maana lazima yaguse asili ya mtu!
Ukimtoa masai umasaini aje aishi masaki, hii siyo maendekeo kwake bali ni kashfa na ni kumuua (kumharibu kiasilia na lazima siku atarudi alikotoka)
Mtu aliyezoea kunjunga haja yake polini ukimjengea choo cha kukaa hawezi kufulahia hata kidogo!
Mfano! Mimi mwenyewe siyo masai, pamoja na kufika mataifa kadhaa lakini raha ya choo cha kuchuchumaa bado naona ni bora sana kuliko choo cha kukaa!
Kwanza utafiti wangu huwa unaniambia choo cha kukaa huwa hakimalizi haja vizuri kama ilivyo choo cha kuchuchumaa!
Ebu waza ukila matunda ya FURU unavyopata tabu kutenga vifungu vifungu huko polini halafu leo ukajisaidie haja kwenye choo cha kukaa hata iweje HAKITOKI hata ukae chooni siku nzima!
Choo cha kukaa ni kwa ajili ya wazee, wagonjwa, vibonge na wala urojo!
Lakini mtu jabari shababi choo cha kukaa hakifai, kwanza huwa kinanichanganya hata nisijue MKONGE uning'inie kwa ndani au uegemee sinki inje!
Wamasai wa loliondo hawakutakiwa kabisa kujengewa nyumba, Bali wangepewa chaguo ili wajenge nyumba zao wenyewe popote wanapotaka kwenda! Yaani watawanyike kila mtu aende kijiji anachokijua yeye mwenyewe!
Hivi Masai aliyezoea choo cha pori kwa pori atamudu vipi usafi wa choo cha kuflashi kweli?
Hiyo bili ya maji na umeme nani atamlipia?
Amezoea nyumba ya dongo na nyasi unamuwekea bati hizo kelele za mvua kwenye bati mnauhakika masai atazivumilia kweli?
Mtu aliyezoea upepo asilia kuanzia chumbani hadi mavazi yake havai hata chupi Leo mnamuwekea dirisha la vioo mnauhakika ataishi humo?
Asilimia 80% masai wanategemea dawa kutoka polini (mitishamba), Leo unamhamisha kutoka LOLIONDO kwenye miti ya tiba aliyozoea unampeleka wapi? Ebu niambie tanga kuna Mkongoraah?
Masai kazoea kuhama nyumba kulimotokea msiba sasa leo hii nyumba ya kudumu ya vioo itakuwa vipi?
Halafu hizo waya za umeme mmeweka vizuri kweli? maana kukiwa kunashoti mkumbuke masai mmoja akifa kwa umeme wote watakimbia hizo nyumba
Tuache utani ,Nina wasiwasi sana kama hiyo project ya kuwahamisha wamasai kama itadumu!
Tunaweza kuwahamisha kimwili lakini kiroho na akili bado watarudi LOLIONDO!
Hesabu za kisayansi zinaniambia masai atahamishwa Leo kutoka LOLIONDO lakini siku si nyingi atarudi LOLIONDO!
Wacha tuone?
DahUnapanda juu ya choo,na kuchuchumaa.Lazima uishi kuendana na mazingira,hao wamasai sio wabantu,wanatokea milima ya Golan,Pembe ya Afrika,mbona wamekuja kwa wabantu,na wanaishi,kwenye mazingira ya wabantu.
Nakazia,,,Choo cha kukaa ni kwa ajili ya wazee, wagonjwa, vibonge na wala urojo!