Choo cha kukaa hakimalizi haja; Wamasai wa Loliondo wapewe pesa wajenge nyumba zao wenyewe kulinda asili yao

Choo cha kukaa hakimalizi haja; Wamasai wa Loliondo wapewe pesa wajenge nyumba zao wenyewe kulinda asili yao

Nakumbuka nilipanga nyumba moja hivi ilikuwa na hicho choo cha kukaa. Mbona nilikuwa napanda juu yake halafu ninachuchumaa
Kuna jamaa alitumia choo cha kuflashi Kwa Mara ya kwanza alipovuta kamba maji yalitoa sauti kubwa jamaa akatoka nduki nje na nusu gogo[emoji2]
 
Kila mtu ana asili yake! Na maendeleo ya mtu ili yawe na maana lazima yaguse asili ya mtu!

Ukimtoa masai umasaini aje aishi masaki, hii siyo maendekeo kwake bali ni kashfa na ni kumuua (kumharibu kiasilia na lazima siku atarudi alikotoka)

Mtu aliyezoea kunjunga haja yake polini ukimjengea choo cha kukaa hawezi kufulahia hata kidogo!

Mfano! Mimi mwenyewe siyo masai, pamoja na kufika mataifa kadhaa lakini raha ya choo cha kuchuchumaa bado naona ni bora sana kuliko choo cha kukaa!

Kwanza utafiti wangu huwa unaniambia choo cha kukaa huwa hakimalizi haja vizuri kama ilivyo choo cha kuchuchumaa!

Ebu waza ukila matunda ya FURU unavyopata tabu kutenga vifungu vifungu huko polini halafu leo ukajisaidie haja kwenye choo cha kukaa hata iweje HAKITOKI hata ukae chooni siku nzima!

Choo cha kukaa ni kwa ajili ya wazee, wagonjwa, vibonge na wala urojo!

Lakini mtu jabari shababi choo cha kukaa hakifai, kwanza huwa kinanichanganya hata nisijue MKONGE uning'inie kwa ndani au uegemee sinki inje!

Wamasai wa loliondo hawakutakiwa kabisa kujengewa nyumba, Bali wangepewa chaguo ili wajenge nyumba zao wenyewe popote wanapotaka kwenda! Yaani watawanyike kila mtu aende kijiji anachokijua yeye mwenyewe!

Hivi Masai aliyezoea choo cha pori kwa pori atamudu vipi usafi wa choo cha kuflashi kweli?
Hiyo bili ya maji na umeme nani atamlipia?

Amezoea nyumba ya dongo na nyasi unamuwekea bati hizo kelele za mvua kwenye bati mnauhakika masai atazivumilia kweli?

Mtu aliyezoea upepo asilia kuanzia chumbani hadi mavazi yake havai hata chupi Leo mnamuwekea dirisha la vioo mnauhakika ataishi humo?

Asilimia 80% masai wanategemea dawa kutoka polini (mitishamba), Leo unamhamisha kutoka LOLIONDO kwenye miti ya tiba aliyozoea unampeleka wapi? Ebu niambie tanga kuna Mkongoraah?

Masai kazoea kuhama nyumba kulimotokea msiba sasa leo hii nyumba ya kudumu ya vioo itakuwa vipi?

Halafu hizo waya za umeme mmeweka vizuri kweli? maana kukiwa kunashoti mkumbuke masai mmoja akifa kwa umeme wote watakimbia hizo nyumba

Tuache utani ,Nina wasiwasi sana kama hiyo project ya kuwahamisha wamasai kama itadumu!

Tunaweza kuwahamisha kimwili lakini kiroho na akili bado watarudi LOLIONDO!

Hesabu za kisayansi zinaniambia masai atahamishwa Leo kutoka LOLIONDO lakini siku si nyingi atarudi LOLIONDO!

Wacha tuone?
Hii reseach yako ni kama mtaalam anayejifungia chumbani aseme anafanya utafiti wa samaki kwa ku google?
Kwa taarifa tu:
1. Ngorongoro Kuna ongerezeko la nyumba nzuri sana za kisasa na ndio sababu zinafanya lile eneo kukosa uhalisia wa kimaasai hivyo sio kweli kuwa wamasai hawapendi au hawajui vitu vizuri
2. Wamasai ndio wanao ongoza kwa kuhama hama kutafuta malisho na kuishi maeneo mapya kwa miezi mitatu hivi na wasipofukuzwa huhamia kabisa; wapo kila mahali huko morogoro, tanga nk ni vile tu walikuwa hawajapangiwa eneo rasmi ila wamezoea kuhama pengine kuliko kabila lingine
3. Choo cha kukaa ni fasheni ila pia kinahitajika kwa wazee na wenye matatizo ya magoti nk. Nafikiri Mungu akikubariki umri utakuja hapa kuandika vinginevyo
4. Dawa za wamasai hazipatikani eneo moja tu; na kuachia hili pia ulifanyie utafiki wako wa ku google....
 
Kila mtu ana asili yake! Na maendeleo ya mtu ili yawe na maana lazima yaguse asili ya mtu!

Ukimtoa masai umasaini aje aishi masaki, hii siyo maendekeo kwake bali ni kashfa na ni kumuua (kumharibu kiasilia na lazima siku atarudi alikotoka)

Mtu aliyezoea kunjunga haja yake polini ukimjengea choo cha kukaa hawezi kufulahia hata kidogo!

Mfano! Mimi mwenyewe siyo masai, pamoja na kufika mataifa kadhaa lakini raha ya choo cha kuchuchumaa bado naona ni bora sana kuliko choo cha kukaa!

Kwanza utafiti wangu huwa unaniambia choo cha kukaa huwa hakimalizi haja vizuri kama ilivyo choo cha kuchuchumaa!

Ebu waza ukila matunda ya FURU unavyopata tabu kutenga vifungu vifungu huko polini halafu leo ukajisaidie haja kwenye choo cha kukaa hata iweje HAKITOKI hata ukae chooni siku nzima!

Choo cha kukaa ni kwa ajili ya wazee, wagonjwa, vibonge na wala urojo!

Lakini mtu jabari shababi choo cha kukaa hakifai, kwanza huwa kinanichanganya hata nisijue MKONGE uning'inie kwa ndani au uegemee sinki inje!

Wamasai wa loliondo hawakutakiwa kabisa kujengewa nyumba, Bali wangepewa chaguo ili wajenge nyumba zao wenyewe popote wanapotaka kwenda! Yaani watawanyike kila mtu aende kijiji anachokijua yeye mwenyewe!

Hivi Masai aliyezoea choo cha pori kwa pori atamudu vipi usafi wa choo cha kuflashi kweli?
Hiyo bili ya maji na umeme nani atamlipia?

Amezoea nyumba ya dongo na nyasi unamuwekea bati hizo kelele za mvua kwenye bati mnauhakika masai atazivumilia kweli?

Mtu aliyezoea upepo asilia kuanzia chumbani hadi mavazi yake havai hata chupi Leo mnamuwekea dirisha la vioo mnauhakika ataishi humo?

Asilimia 80% masai wanategemea dawa kutoka polini (mitishamba), Leo unamhamisha kutoka LOLIONDO kwenye miti ya tiba aliyozoea unampeleka wapi? Ebu niambie tanga kuna Mkongoraah?

Masai kazoea kuhama nyumba kulimotokea msiba sasa leo hii nyumba ya kudumu ya vioo itakuwa vipi?

Halafu hizo waya za umeme mmeweka vizuri kweli? maana kukiwa kunashoti mkumbuke masai mmoja akifa kwa umeme wote watakimbia hizo nyumba

Tuache utani ,Nina wasiwasi sana kama hiyo project ya kuwahamisha wamasai kama itadumu!

Tunaweza kuwahamisha kimwili lakini kiroho na akili bado watarudi LOLIONDO!

Hesabu za kisayansi zinaniambia masai atahamishwa Leo kutoka LOLIONDO lakini siku si nyingi atarudi LOLIONDO!

Wacha tuone?
Kwani Handeni mapori ya kunya au kuishi hakunaa? Si wapangishe hizo nyumba wapate pesa walipe kodi zijengee sgr.
 
Ndio wajue ustaarabu sasa waacheni uchafu
Yonomamo na Kayapo ni jamii mbili ambazo ndizo za asilia katika msitu wa Amazon, ndiyo asili yao hata mjini hawapataki wao kukaa mle na mijoka wanaona ndiyo utajiri wao, na dunia imeamua kuwalinda wasisumbuliwe. Ajabu wao hatà hawana effect ya uharibifu wa msitu, ila sasa waliostaarabika ndiyo wanaharibu msitu kwa kudondosha miti wakikata mbao, na kuchoma msitu na kuanzisha migodi ya dhshabu ndani ya msitu. Kule Australua kuna waboriginal nao wako kilocal local tu na wameachwa waendelee kuishi hivyo.
Kuna wengine nimesahau wako nchi gani, wao wanaishi msituni na wakikutuhumu wewe ni mchawi wanakuua na wanakutafuna kabisa kama ng'ombe tu
 
Public toilet choo ni cha kuchuchumaa, mastertoilet ni cha kukaa, sasa choo cha kukaa uzuri wake kuwe na magazeti ndani unajisomea ni kizuri hakichoshi miguu na ni choo bora zaudi kama sio cha kushare
 
Hawa walioko huku mjini huwa wanaenda Vijijini kwao kujisaidia kisha wanarudi tena mjini?

Hadi kunya vichakani ni sehemu ya tamaduni zetu? Kweli?
Tamaduni zingine zimepitwa na wakati, sasa kunya vichakani mnaona ni utamaduni mzuri huo ni ushamba
 
Ushawahi kujiuliza kwanini binadamu umbo lake lina mreji sehemu inayotenganisha makalio!?
Sehemu ya haja imejificha hadi huyo binadamu achutane ndo vionekane?
Hilo peke yake litakupa majibu kwanini unatakiwa uchuchumae
Umewaza kama mtoto anaeanza kujifunza sayansi wa darasa la nne
 
Siku za mwanzo,serikali imelipa,the rest watajijua,na wengi watakufa,wamezoea kujitibu kwa madawa asilia,huko miti iliyokua kule,mingine hakuna,sijui itakuaje?
Uzi mzima hoja ya msingi ni hii hapa,
 
Choo cha kukaa hakikubuniwa kwa ajili ya starehe. Choo hiki kilibuniwa baada ya watu kugundua kuwa watu walio na vitambi au wale ambao ni wajawazito; huwa inakuwa shida saba kwao kuchuchumaa; si rahisi sana kwao kuchuchumaa
[emoji108][emoji108]
 
Nakumbuka nilipanga nyumba moja hivi ilikuwa na hicho choo cha kukaa. Mbona nilikuwa napanda juu yake halafu ninachuchumaa
Don't do it again, vile vyoo havijatengenezwa kuhimili uzito wako wote, nimeshashuhudia Dada mmoja aliye fanya kama wewe halafu kikavunjika na kumchana vibaya sana kwenye paja! Ilichukua takribani masaa 3 kurudishia piece ya steak ya paja iliyokuwa inaning'inia. Hivi vyoo ni vya udongo na nje vina just Ile thin layer ya glass Mfano wa tiles wala tusiviamini Sana kuvipa uzito wote!
 
Hii reseach yako ni kama mtaalam anayejifungia chumbani aseme anafanya utafiti wa samaki kwa ku google?
Kwa taarifa tu:
1. Ngorongoro Kuna ongerezeko la nyumba nzuri sana za kisasa na ndio sababu zinafanya lile eneo kukosa uhalisia wa kimaasai hivyo sio kweli kuwa wamasai hawapendi au hawajui vitu vizuri
2. Wamasai ndio wanao ongoza kwa kuhama hama kutafuta malisho na kuishi maeneo mapya kwa miezi mitatu hivi na wasipofukuzwa huhamia kabisa; wapo kila mahali huko morogoro, tanga nk ni vile tu walikuwa hawajapangiwa eneo rasmi ila wamezoea kuhama pengine kuliko kabila lingine
3. Choo cha kukaa ni fasheni ila pia kinahitajika kwa wazee na wenye matatizo ya magoti nk. Nafikiri Mungu akikubariki umri utakuja hapa kuandika vinginevyo
4. Dawa za wamasai hazipatikani eneo moja tu; na kuachia hili pia ulifanyie utafiki wako wa ku google....
Hauko mbali na mada
Yonomamo na Kayapo ni jamii mbili ambazo ndizo za asilia katika msitu wa Amazon, ndiyo asili yao hata mjini hawapataki wao kukaa mle na mijoka wanaona ndiyo utajiri wao, na dunia imeamua kuwalinda wasisumbuliwe. Ajabu wao hatà hawana effect ya uharibifu wa msitu, ila sasa waliostaarabika ndiyo wanaharibu msitu kwa kudondosha miti wakikata mbao, na kuchoma msitu na kuanzisha migodi ya dhshabu ndani ya msitu. Kule Australua kuna waboriginal nao wako kilocal local tu na wameachwa waendelee kuishi hivyo.
Kuna wengine nimesahau wako nchi gani, wao wanaishi msituni na wakikutuhumu wewe ni mchawi wanakuua na wanakutafuna kabisa kama ng'ombe tu
Ushawahi kuona jangili mmasai? Maana majangili ni wakubwa ambao ndo wangelitupisha
 
Jana tu waliotangulia huko Handeni wamekuta matatizo ya network. Baada ya kutatua la network yakaibuka mengine mengi mara sehemu ya kupitishia mifugo, maji wanajaziwa kwenye tenki sijui itaendelea mpaka lini, mifugo haipati pa kunywea maji....
 
Don't do it again, vile vyoo havijatengenezwa kuhimili uzito wako wote, nimeshashuhudia Dada mmoja aliye fanya kama wewe halafu kikavunjika na kumchana vibaya sana kwenye paja! Ilichukua takribani masaa 3 kurudishia piece ya steak ya paja iliyokuwa inaning'inia. Hivi vyoo ni vya udongo na nje vina just Ile thin layer ya glass Mfano wa tiles wala tusiviamini Sana kuvipa uzito wote!
Duh!ashukuru sana halijamchana kwenye tunda la Eden.
 
Back
Top Bottom