Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Kwanza mimi huwa najiuliza ukienda kukata gogo hali uume upo katika hali ya kusimama mkojo unarukia wapi? Au basi uume umelala inabidi ukojoe kwanza mdio ukae au unakunjia uume humohumo?Ni mfumo tu labda fundi hakuweka wa shattaf. Maana shattaf unanunua kama shattaf na choo kama choo sio kwamba vinakuwa pamoja
Vyo hivi ni usumbufu na hasa iwe sehemu yenye baridi sana