Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 6,585
- 10,363
Utajihakikishiaje kuwa uchafu umetoka woteUkitumia mkono unakosea
Labda huenda presha ya maji ilikuwa ndogo
Ila kinaondoa nnya vizuri tu
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajihakikishiaje kuwa uchafu umetoka woteUkitumia mkono unakosea
Labda huenda presha ya maji ilikuwa ndogo
Ila kinaondoa nnya vizuri tu
Acha hiyo tabia mara moja unafanya jambo la hatari sananikikikuta Public huwa nachuchumaa jua yake, siwezi kaaa
Ukienda maofsini, kati ya vyoo vya wanawake na wanaume, vyoo vinavyoongoza kuharibika shattaf ni vyoo vya wanawakeHiki kifaa nilikuta mahali wadada wanakisifia sana kuwa kuna namna kinawasaidia sababu ya ile presha yake basi wanapulizia kwenye papsi
Hukuona shat app pembeni?Sasa unajisafishaje na choo ni cha kukaa
HavihusianiKwa mwanaume pressure ya maji ikupige kwenye kinyeo aisee...seriously aisee hii hatari ndomana kuna matumikio ya ushoga yanaongezeka
Faida nyingine ya vyoo vya kukaa ni kwamba vina mifuniko. Chooni huwa kuna vijidudu/bacteria wengi sana na kama mtu angeweza kuona kwa kutumia microscope [emoji436] vijidudu wakati wa kura flash kinyesi angekimbia. Hivyo inashauriwa kwamba ukimaliza kushusha mzigo na kujisafisha, funika mfuniko wa choo ndiyo uflash.Vyoo vya kukaa safi sana,mimi napenda vya kukaa,hata mgonjwa anatumia
nyegere akasome kitakua zaidi ya nyegere weeeeSiku tatu umekaa na mzigo duh hilo kimba si lilitoa harufu mithili ya kijambo cha nyegere?
Unatoka
alaahSivipendi kabisa
Siku 3 ni nyingi na anakula hadi viporonyegere akasome kitakua zaidi ya nyegere weeee
Hua siwez Acha asili yangu kizembe, nachuchumaa kwa juu ili kulinda alisili yanguPrakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.
Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.
View attachment 2935816
View attachment 2935817
Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Unakuta vyoo hivi wameweka bar, ofisi za umma n.k. huwa vinanikata kinoma...sijui huwa wanawaza nini?Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.
Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.
View attachment 2935816
View attachment 2935817
Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Akiiii niache😆😆😆Hiyo shattaf ndio naijua hapa sasahivi