Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

Aloo kuna siku nikatumia iki choo ilikuwa i lazima maana hakukuwa na mbadala sasa iko kidude nikakitumia sikujuwa presha yake nikajupinda nijitawaze aloo neminya tu nusu nichane marinda ile presha yake ni kali mtu akikunyooshea anaweza toboa ngozi dk tangia apo sikukitumia tena
Daah! Haujazoea labda
 
Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.

Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.

View attachment 2935816

View attachment 2935817


Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Kuna bombaa ndogo niraha sana
 
Hivi vyoo vitumike kwa mtu mmoja tu ,viwe kwenye master tu ,unajisaidia kisha unanyanyuka unaenda pembeni kwenye bafu unaoga moja kwa moja.

MBR.jpg
 
Ishu sio ushamba wa kutoka kijijini, mm naishi mjini na siwezi kutumia hvy vyoo n lazima nikae juu yake
Ndio wewe unaishi mjini lakini umekulia vijijini huko. Huo ushamba wa kijijini ulionao hauwezi kufutika milele. Mbaga Jr
 
Wanawake hawapendi kabisa kushea Sitting Toilet na mwanaume.

Kwanini?

Kwa sababu mwanaume anapokojoa, hata awe na shabaha vipi, lazima matone ya mikojo yasambae pale juu kwenye sinki ya kukalia.

Maoni yako...
Wanatakiwa wawe wanasafisha/kausha sink la kukalia kabla hawajaanza kupata huduma.

Mimi huwa nafanya vile nikikuta sink lina majimaji kwa juu sehemu ya kukalia. Nafanya vile sababu kila mtu anatumia kwa namna yake na kila mmoja ana ustaarabu tofauti, pia kuepusha contamination ya uchafu kati ya mimi na hayo maji.

Ni vizuri uwe unasafisha kwanza kwa tishu au maji hiyo sehemu ya juu ya sink kabla haujaanza kupata huduma
 
Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.

Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.

View attachment 2935816

View attachment 2935817


Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Vioo viakukaa nivia wagonjwa wasio weza kuchuchumaa pia baada ya kunya unachamba sio kutawadha kutumia tishu ni kujipakaza mavi [emoji125][emoji125][emoji125]
 
Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.

Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.

View attachment 2935816

View attachment 2935817


Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Kwanza vyoo vya kuketi lasimi kwa wagonjwa wasio weza kuchchumaa,kutumia tishu ni kujipaza kinyesi uwe unatumia maji
 
Ukiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822

Au wao wameweka bila hiyo shattaf

Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza

Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu
Kweli watu wachafu jamani,yani mtu anaona bola atumie hicho kibomba au tishu kuliko kujisafisha kwa mikono yake ndio maana mimi simpi mtu mkono wangu
 
Back
Top Bottom