Unajua nini kuhusu Body AnatomyChoo chochote mzigo unashuka. Wacha hizi sayansi za bush za kudanganya kuwa ukichuchumaa ndiyo mzigo unatoka zaidi. Wenye mawazo kama haya hawajui sayansi ya excretion system.
Usiende mbali mkuu mwambie tu ni rahisi nyonga na sphincter muscles kutanuka na kupitisha mavi ukiwa umechuchumaa kuliko wakati ukiwa umekaa huki choo kikiwa kimefinya baadhi ya nyama za paja na matako.Unajua nini kuhusu Body Anatomy
Ni wewe tu mawazo yako yamekupeleka hukoKama ww n mwanaume bc nakuomba uache hy tabia mana unakoelekea ni kubaya, itafika wakati unaenda kujimwagilia tuu kwa starehe zako binafsi.
Daah! Haujazoea labdaAloo kuna siku nikatumia iki choo ilikuwa i lazima maana hakukuwa na mbadala sasa iko kidude nikakitumia sikujuwa presha yake nikajupinda nijitawaze aloo neminya tu nusu nichane marinda ile presha yake ni kali mtu akikunyooshea anaweza toboa ngozi dk tangia apo sikukitumia tena
Kwani vijijin kwenu hakuna wazee?Hawa wote wanaoviponda vyoo vya kukaa ni vijana wadogo. Ngoja uzeeke au uwe na mwanafamilia mzee utajua umuhimu wa choo cha kukaa
Hiyo ni changamoto mkuu, kama dushe ni kubwa mkojo utaruka tu.Angalau unajibu linalo elekea swali nalo uliza. Sasa wasiwasi wangu nikuwa unapo ipindisha uelekeo wa shimo mikojo haikurukii?
Hahaha............Kwa sisi Wazee vyoo vya aina hiyo vinatufaa sana maana hatupati maumivu ya miguu tukivitumia 🤗Kama lengo ni kukaa si viti vipo?
Lengo la choo kizuri ni mzigo ushuke wote kabisa.
Kuna bombaa ndogo niraha sanaPrakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.
Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.
View attachment 2935816
View attachment 2935817
Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Wanatakiwa wawe wanasafisha/kausha sink la kukalia kabla hawajaanza kupata huduma.Wanawake hawapendi kabisa kushea Sitting Toilet na mwanaume.
Kwanini?
Kwa sababu mwanaume anapokojoa, hata awe na shabaha vipi, lazima matone ya mikojo yasambae pale juu kwenye sinki ya kukalia.
Maoni yako...
Vioo viakukaa nivia wagonjwa wasio weza kuchuchumaa pia baada ya kunya unachamba sio kutawadha kutumia tishu ni kujipakaza mavi [emoji125][emoji125][emoji125]Prakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.
Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.
View attachment 2935816
View attachment 2935817
Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Kwanza vyoo vya kuketi lasimi kwa wagonjwa wasio weza kuchchumaa,kutumia tishu ni kujipaza kinyesi uwe unatumia majiPrakatatumba abaababaa nilienda sehemu moja ugenini, kama ilivyo ada ugenini hata ukae siku mbili Lazima ujibane usiende chooni hovyo hovyo, siku ya tatu nikaona hali sio poa acha niende chooni kufanya harakati muhimu.
Cha kushangaza nikakuta choo cha kukaa, sijawai kukitumia before, nikapiga mahesabu maana nimeshazoea vyoo vyetu vya kulenga, nikasema acha nifanye harakati, baada ya harakati nikaflash fresh maana niliona sehemu ya kubonyeza, Kimbembe kilikuja namna ya kujitawaza maana tishu sikuiona, nikapiga mahesabu kama dakika kumi namna ya kujisafisha, kwa utabe wangu wa namba kwa kusolve, logarithim, integration, na complex number nilishindwa kung'amua ni kwa jinsi gani naweza kujisafisha kwenye choo cha kukalia nikaona hii sasa ni Soo, nikasepa moja kwa moja mpaka nyumba jirani kuomba usaidizi. Jioni ikabidi nimuage mwenyeji kwamba nimepata dharula.
View attachment 2935816
View attachment 2935817
Hivi mlioweka hivi vyoo vya kukaa na hamna tishu huwa mnajisafisha vipi? Nitoeni ushamba.
Hakuna kutawadha baada ya kunya bhana sema kuchamba au kujisafisha kwa maji,kutumia tishu ni uchafuKunakuwa na kibomba Cha maji na mshikio unajitawaza mkuu.. lkn TAHADHARI Usinye kabla hujaona Cha kujitawazia
Kweli watu wachafu jamani,yani mtu anaona bola atumie hicho kibomba au tishu kuliko kujisafisha kwa mikono yake ndio maana mimi simpi mtu mkono wanguUkiwa na choo cha kukaa lazima uwe na shattaf ya kutawazia
View attachment 2935822
Au wao wameweka bila hiyo shattaf
Ukiwa na hiko kifaa choo cha kukaa ni salama zaidi kuliko wanaoshika mavi wakati wa kutawaza
Ila choo hiki kinafaa kwa matumizi binafsi au wanandoa tu