Mkuu mbona usharopoka teyari? Waga unaangalia game za kirafiki? Mwaka jana Portugal vs farao Island kama sijakosea jina lao Ronaldo alipiga goal la tik taka au ulikuwa unamaanisha kwenye club?Hajawai kufunga ata moja
Fatilia kabla hujaongea
Sijaja kuropoka
Kama unabisha leta ushaidi
Youtube ipo
Nipe mfano kakaR7 kesha piga tik-tak nyingi tu japo ya aina hiyo kwa maana ya mpira kuwa juu sana ilikuwa ni burudani Mpya duniani, ndiyo maana hata kocha wake Zinedane badala ya kufurahi kushangilia goli alibaki anazungusha kidole kichwani kwa kuduwaa!!!
Acha kuongopaUrefu wa R7 ni futi 6 na mpira ulikuwa futi 8 juu!! Hivi wewe unaweza kumzidi Zinedane aliyeshangazwa na tik-tak hiyo? Haikuwa ya kawaida!
Urefu wa R7 ni futi 6 na mpira ulikuwa futi 8 juu!! Hivi wewe unaweza kumzidi Zinedane aliyeshangazwa na tik-tak hiyo? Haikuwa ya kawaida!
Tena isitoshe la rooney lilikuwa juu zaidUrefu wa R7 ni futi 6 na mpira ulikuwa futi 8 juu!! Hivi wewe unaweza kumzidi Zinedane aliyeshangazwa na tik-tak hiyo? Haikuwa ya kawaida!
Pele alishafanyaga hayo mambo zamani tu enzi zetu tulipokuwa vijana. Hii iliitwa Bicycle Kick (hapa ni Brazil vs Belgium 1965; Maracana Stadium, Rio de Janeiro)Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
Pele alishafanyaga hayo mambo zamani tu enzi zetu tulipokuwa vijana. Hii iliitwa Bicycle Kick (hapa ni Brazil vs Belgium 1965)
Sawa kijana wangu.Hii mechi nakumbuka niliicheki live kabisa uwanjani wakati huo
Nipe mfano kaka
Maneno kila mtu anayo
Upo mkuu kkNi kweli kabisa
Naona umebadilishia gia angani, Samahani unaweza ukanambia jina lake? na chuki hasa humchoma yule anaeihifazi...! Jamani tuacheni chuki kwa watu ambao ata umchukie hakujui na wala humpunguzii chochote, kumpenda mchezaji mwingine sio sababu ya kumchukia mwingineHiyo sio bicycle kick
Ilo ni kama la babatov tu
Pele alishafanyaga hayo mambo zamani tu enzi zetu tulipokuwa vijana. Hii iliitwa Bicycle Kick (hapa ni Brazil vs Belgium 1965; Maracana Stadium, Rio de Janeiro)
Sema lolote utakalo. Ni haki yako kikatiba. Hainisumbui kabisaa.Haka kapele kako kamezidiwa na maradona mbali tu.Kwa king Messi ndio kamefunikwa mbali sana.
Mkuu umemaliza [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]ngoja nikuulize swali naomba unijibu mafundi wote hao against ronaldo.
1. kati ya hao mafundi uliowataja ni nani mpira ukae kushoto au kulia anaweza piga shuti kali nje ya 18 na kufunga? tena sio goli moja wala mawili magoli kibao kwa kutumia miguu yote miwili?
2. ni nani kati ya hao ana uwezo wa kuruka juu kushinda majority ya wachezaji kikapu wa NBA marekani na kufunga goli?
3. kati ya hao uliowataja ni nani anaweza nata hewani sekunde 2 au 3 kusubiria mpira ambao haujafika na kupiga kichwa na kufunga?
kuongezea tu ronaldo ana magoli zaidi ya 100 ya vichwa, magoli zaidi ya 100 ya mguu ambao hautumii sana (weak foot) hio ndio strength ya ronaldo na kitu kinachomfanya yeye awe wa kipekee kuliko fundi yoyote duniani.
kama unae unaemjua wewe alofanya zaidi ya ronaldo kwenye hayo mambo naomba umtaje hapa. nakusubiria.