Christiano Ronaldo ndiye wa kwanza kupiga Tik tak Duniani?

Christiano Ronaldo ndiye wa kwanza kupiga Tik tak Duniani?

Achana na hilo goli, chungulia takwimu, namba uwa hazidanganyi!!
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
Ndio maana akisikia kuna mkali anataka kuhamia timu yake anaanzisha vibweka vya kutishia kuhama. Tiktak ya Zlatan ilikuwa ya mita nyingi na siku nyingi tu lakini yuko poa sana. Hiyi CR ni mfadhili na msaidiaji sana kwa jamii kwa upande mwingine ukilinganisha na wachezaji wengine. Ila naona ni mtu ambaye hawezi kucheza timu moja na Salah, Suarez, Messi Neymar na wakali wengine, anapenda asuburie kwenye box apewe pande au cross kali amalizie, kwa listi hiyo atasubiri sana.
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
Excellent
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
kawaida ile sema vipaji vimepugua kipindi hiki, hivyo vitu vya kawaida vinafanywa na watu wachache.

angalia mboma patrick alichokifanya hapa mkuu.
 
Watu wote wanaomsifia na kumshabikia Cristiano Ronaldo ni ' Washamba / Mambwigira ' sana halafu hawajui Mpira wakiongozwa na Mchambuzi wa Soka na Mtangazaji wa Clouds fm na tv Shaffih Dauda. Anachokifanya leo huyo Mbwiga / Mshamba Cristiano Ronaldo vimeshafanywa sana na ' Mafundi ' wa Kutukuka akina Zinedine Zidane na Ronaldinho Gaucho. Watu kila siku unawakuta katika Vibanda umiza wakitizama ' mipira ' lakini bado mpira wenyewe hawaujui. Inasikitisha mno!
Roho inakuuma sana sio? Kunywa maji ushushe pumzi usije pata vidonda vya tumbo bure.
 
ngoja nikuulize swali naomba unijibu mafundi wote hao against ronaldo.

1. kati ya hao mafundi uliowataja ni nani mpira ukae kushoto au kulia anaweza piga shuti kali nje ya 18 na kufunga? tena sio goli moja wala mawili magoli kibao kwa kutumia miguu yote miwili?

2. ni nani kati ya hao ana uwezo wa kuruka juu kushinda majority ya wachezaji kikapu wa NBA marekani na kufunga goli?

3. kati ya hao uliowataja ni nani anaweza nata hewani sekunde 2 au 3 kusubiria mpira ambao haujafika na kupiga kichwa na kufunga?

article-2279210-179292CC000005DC-948_634x529.jpg


kuongezea tu ronaldo ana magoli zaidi ya 100 ya vichwa, magoli zaidi ya 100 ya mguu ambao hautumii sana (weak foot) hio ndio strength ya ronaldo na kitu kinachomfanya yeye awe wa kipekee kuliko fundi yoyote duniani.

kama unae unaemjua wewe alofanya zaidi ya ronaldo kwenye hayo mambo naomba umtaje hapa. nakusubiria.


Unistues mkuu akikujibu, asisahau na kutuambia walifunga magoli ya staili hiyo katika mechi gani? (za ligi, au mabingwa )
 
Baada ya kufunga magoli mawili kati ya matatu Christian Ronaldo amekua akipewa sifa nyingi hasa kwa lile goli la tik tak.
Najiuliza nini cha ajabu pale?Mbona ni wengi sana hadi sasa washafunga kwa style ile?
Nilichogundua Cr7 ana Nyota tu ya kupendwa kama ilivyokua kwa David Beckam Na ndio kikubwa kinachompa support kwa watu ingawa nakubali ni mfungaji hodari Mwenye shabaha ya goli,ni shabaha na kariba zilezile za akina Van Persie..Didier...Alex Sanchez Drogba .Suarez...lewadonsk..Naymar Jr..nk
Mwisho wa Siku unagundua cr7 anasafiria Nyota za kupendwa lkn ni wa kawaida sana
Kosa moja kubwa walifanyalo wapenzi wa cr7 ni kutaka kumshindanisha Na Messi,Kiukweli Messi ana Kariba Na style tofauti Na cr7 Kariba ya messi kwa sasa waweza waweka group moja Na Mohd Salah,Eden Hazard, hawa sio watu wa front kusubiri kufunga kundi hili wanakua Na majukumu mengi zaidi ya nyavu.
Ungekuwa umefanya la maana sana kama ungewashangaa mashabiki wa timu hasimu(juventus)kuliko kuja kutushangaa sisi huku kwenye bara la giza.Maana wao waliokuwa wanamzomea muda woote wa mchezo Ila baada tuu ya kufunga goli lile walianza kushangilia na kumtolea salaam heshima tena cha kuvutia zaidi ilikuwa ndani ya uwanja wao.Tupunguze japo kias chuki kwa waliofanikiwa na kupendwa
 
Watu wote wanaomsifia na kumshabikia Cristiano Ronaldo ni ' Washamba / Mambwigira ' sana halafu hawajui Mpira wakiongozwa na Mchambuzi wa Soka na Mtangazaji wa Clouds fm na tv Shaffih Dauda. Anachokifanya leo huyo Mbwiga / Mshamba Cristiano Ronaldo vimeshafanywa sana na ' Mafundi ' wa Kutukuka akina Zinedine Zidane na Ronaldinho Gaucho. Watu kila siku unawakuta katika Vibanda umiza wakitizama ' mipira ' lakini bado mpira wenyewe hawaujui. Inasikitisha mno!

Mbona sasa kapiga kama yeye ndo kaanzisha tikitaka?
 
huu uzi wataalamu wa soka walitakiwa walijibu, wengine wamejibu kwa mahaba tu hakuna jipya!
 
Hata kama wengine walishafunga..hili ndio goli zuri latest..hayo mengine yalifungwa na yakaongelewa kwa wakati wake..atakuja mwingine atafunga goli zuri naye ataongelewa vile vile
 
Ila huyu mjinga katusababishia vidonda vya tumbo haters wengi sana maana tunamchukiaaa mwisho wa siku anaendelea na maisha yake , anafunga na mpunga mrefu anavuta ila sisi hata hatujui ila tunamchukia..
 
Huo ni mtazamo wako pia goli kama hilo wamefunga wengi sawa ila kwenye michuano gani? Walicheza na nani wakiwa na umri gani na kulikuwa na faida gani kwa hill goli kwa sababu

Hta zlatan kapiga tena zuri zaidi ila ni mechi ya kirafiki na England

Rooney kapiga ilikuwa EPL na akiwa na umri mdogo sana tuna consider unyumbufu unapungua ukiwa na umri kama RONALDO

Wapo wengi hyo ni mifano lakini unatakiwa kuangali hivyo vigezo

Kwani hata tukisema RONALDO na messi wana wa over rate leo hii ukiangalia hakuna anae stahili kuwa juu yao wote mtoto wingi na ubishioo
 
Back
Top Bottom