Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Sema lolote utakalo. Ni haki yako kikatiba. Hainisumbui kabisaa.
Naona imekuuma sana mkuu. Sorry 4 that. Ingawa ni black mwenzetu ila sio kumpa sifa kihivyo.lazima tuseme ukweli. Messi na Diego wameufikisha mbali sana mpira ukilinganisha na hako kapele kako media zinamlinda.