Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Katika maisha haya nimejifunza kwamba unaweza kuwa na karama au kipaji purely but kipaji na tabia ni vitu viwili tofauti.... Ndomana imeandikwa kila neno atakalolifanya mwanadamu chini ya jua atatoa hesabu..... Pia watasema tulikuwa wachungaji, manabii, waliimu na tuliponya kwa jina lako naye atasema ondokeni kwangu mimi siwatambui......
 
Sawa mama umeamua kuwa mchungaji, sasa utakuwa mchungaji wa namna gani usiye na ushuhuda mzuri wa ndoa? Waumini wako watakuwa kama wewe mchungaji wao, hawatakuwa na utii kwa waume zao, watakuwa ni wakaidi kutaka ndoto zao zitimie nje ya ndoa
 
Ndoa sasa hivi hazina thamani kabisa, hata hao wanawake wenyewe hawataki tena kuzaa Kwa uchungu wanataka kuzaa Kwa oparesheni.

Haya sasa hawa ndio tuwaite wacha Mungu hali iko hivi, vipi Sisi tusioujuwa hata mlango wa kanisa?

Mungu atusaidie tu.
 
Hiyo ndio nature ya mwanamke ninayoifahamu, huyo jamaa ashukuru huyu hata alikuwa amejificha kwenye kivuli cha dini vinginevyo huyo jamaa angekuwa futi sita chini muda huu, huku bibie akibaki na siri yake moyoni.

Kama unapanga mipango yako then ukamuweka mwanamke kwenye ramani 90% utakwama, nafasi ya mwanamke ni jikoni, ukimleta sebuleni lazima akumalize
 
Sawa mama umeamua kuwa mchungaji, sasa utakuwa mchungaji wa namna gani usiye na ushuhuda mzuri wa ndoa? Waumini wako watakuwa kama wewe mchungaji wao, hawatakuwa na utii kwa waume zao, watakuwa ni wakaidi kutaka ndoto zao zitimie nje ya ndoa
Kama Masanja ameweza kuwa Mchungaji hilo siyo tatizo hata kidogo.

Ila watu wanapaswa kuelimishwa hayo siyo Makanisa (Churches) bali ni huduma (Ministries).
 
Taliban ndio wanaijuwa nafasi ya mwanamke Kwa usahihi.

Shida zote hizi zimeletwa na Wamagharibi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…