Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Katudanganya wenye akili. Mazuzu nendeniKwa hiyo unataka kusema kwamba Shusho katudanganya mkuu? Hajafungua kanisa bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katudanganya wenye akili. Mazuzu nendeniKwa hiyo unataka kusema kwamba Shusho katudanganya mkuu? Hajafungua kanisa bado?
Uliwahi kuolewa ukaachika nini?
Watakuwa kashajiunga na group la kataa ndoaUliwahi kuolewa ukaachika nini?
Kama sio type yake mbona kamfyatulisha watoto watatu mkuu? Angekubali hadi azalishwe watoto wote hao?
nilijiongeza
Na sio ndoto za Mungu!Ili akatimize ndoto zake.
Hakika undugu wa mke na mme hauvunjiki kamweNdomana wakristo tunadharauliwa sana sababu ya watu kama hawa! Yaani kamwacha mch. Ili awe mchungaji... Atambue kwamba hilo neno wawili watakuwa mwili mmoja halitabadilika kamwe!
Katika maisha haya nimejifunza kwamba unaweza kuwa na karama au kipaji purely but kipaji na tabia ni vitu viwili tofauti.... Ndomana imeandikwa kila neno atakalolifanya mwanadamu chini ya jua atatoa hesabu..... Pia watasema tulikuwa wachungaji, manabii, waliimu na tuliponya kwa jina lako naye atasema ondokeni kwangu mimi siwatambui......Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa 5newsTZ.View attachment 2959387
"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili
MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Kama Masanja ameweza kuwa Mchungaji hilo siyo tatizo hata kidogo.Sawa mama umeamua kuwa mchungaji, sasa utakuwa mchungaji wa namna gani usiye na ushuhuda mzuri wa ndoa? Waumini wako watakuwa kama wewe mchungaji wao, hawatakuwa na utii kwa waume zao, watakuwa ni wakaidi kutaka ndoto zao zitimie nje ya ndoa
Taliban ndio wanaijuwa nafasi ya mwanamke Kwa usahihi.Hiyo ndio nature ya mwanamke ninayoifahamu, huyo jamaa ashukuru huyu hata alikuwa amejificha kwenye kivuli cha dini vinginevyo huyo jamaa angekuwa futi sita chini muda huu, huku bibie akibaki na siri yake moyoni.
Kama unapanga mipango yako then ukamuweka mwanamke kwenye ramani 90% utakwama, nafasi ya mwanamke ni jikoni, ukimleta sebuleni lazima akumalize
Umaarufu na pesa ni shetani mkubwa wa wanawakeUtafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho
Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Hakuna undugu Kati ya mume na mke usijizime data.Hakika undugu wa mke na mme hauvunjiki kamwe