Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Angel Bernard ana kismati ya kuolewa kaolewa huko USA BABY na mjeda mwaka sasa
 
Ch
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Christina aliondoka siku nyingi sana kwa mumewe kabla ya haya mahojiano. Tangu membe rip akiwa waziri.
 
Umaarufu na pesa ni shetani mkubwa wa wanawake
Kisaikolojia wanataka waliowazidi Ili wawaongoze ila akikuzidi tuu tayari ni tatizo.

Hapo kwenye kumzidi wanataka Kila kitu,urefu,pesa,umaarufu,akili nk

Nimewahi chukua wanawake mara 3 nikawapeleka geto ,hao walikuwa wanajitegemea na mwingine Bado ila Sasa walivyofika kwangu walijilinganisha mageto Yao na langu wakaona mbona Bora wao,hawakuonekana tena 🤣🤣
 
Ushawishi wake kwa wanandoa unapotosha pakubwa najua kila lifanyikalo lina Shelia na katiba yake na tukiingia kisimani kuna vitabu vitakatifu je yeye hayo aliyafanya kwa mjibu wa maandiko au ni mihemko yake tu,je waumini atakawowaongoza nawe watamani waachiwe ili wakatimize ndoto zao
 
Waweza kuwa na point yenye akili lamekiAgustino, lakini namna ya uwasilishaji mkuu, ndiyo umekuja kivingine.

Kuweka vizuri mambo, embu ngoja nikuulize, kama ukristo ni dini ya wajinga kwa sababu ulizoziainisha, je ni dini gani ya wenye akili ambayo ni nzuri kuifuata ambayo haina longo longo kama hizo?
 
al Islam diina
 
Anataka aitwaje Sasa?....
 
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Watumishi Donatila Mademoiselle Rabbon semeni kitu...
 
Kweli kabisa!
Ukishamjua YESU kila kitu unaona kawaida, kiu ya kutaka kumjua zaidi ni zaidi ya kiu ya maji...

Tunaweza ona Christina alifurahi kumuacha mumewe ila hakufurahi, ila Yesu akikuita utamfuata tu...

Sio rahisi haya mambo kama watu wanavyodhani...

Fikiria vile Maria alivyopata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu alafu alikuwa na mchumba wake Yusufu...

Yusufu alitaka kumuacha kwa Siri Mariamu ila akapata maelekezo kwa Mungu hakumuacha...

Mambo ya Rohoni zaidi
 
Hivi, akiwa kama mchungaji, ATAFUNGISHA NDOA?
hawezi kuwa mchungaji, mume wake alihangaika kumpeleka hata chuo cha uchungaji dodoma pale, akasoma miezi kadhaa akaacha. siku hizi huwezi kuwa mchungaji kama hauna cheti cha kisomo kuwa mchungaji. nadhani ndio maana hataki kuwa mchungaji. hata huduma yake kama wakifuatilia watajua ipo kimakosa,labda kama kanunua cheti au amesoma online au kisirisiri. wanaomjua wanajua wanalijua hili.
 
Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
acheni kusingizia kila kitu walokole, sio wote walokole.
rose.....muanglican
muhone....mlutheran (akama nimekosea nisahihisheni)
angel....mrutheran tena mwakasege ndio anaita babake kiroho
bukuku (mlokole wa zamani)
shusho (mlokole wa zamani)
mwaipaja(mlokole wa zamani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…