Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Asirudi kuanza kulialia..!!
Unapoolewa au unapoowa, kuna mambo utayaacha. Sasa yeye alitaka aendelee na mambo yake kama bachela..!!?? Atoe ujinga wake..!!!

Katika vitu vinayowashinda wanawake, baadhi ni hivi;

1. Umaarufu
Wengi wa wanawake maarufu ndoa zao zina shida sana. Huwa wakishakuwa maarufu wanaona ndoa ni utumwa. Anataka awe popote muda wowote. Hii inakwenda hadi namna anavyowalea watoto wake.

2. Fedha
Mwanaume, anaweza akaishi na mwanamke asiye na kitu kwa maisha yao yote, lakini kwa wanawake walio wengi mwenye hela kuishi na mwanaume asiye na kitu, ikizidi sana wiki..!!

3. Cheo
Kuwa na cheo nako baadhi ya wanawake wameshindwa kujizuia kuwanyanya waume zao kwa vyeo vyao.

Huyu umaarufu tu unamsumbua..!!
Mwanamke akiwa na hivi vitu mume anaonekana hana maana. Huyu dada ni katika ile mifano hai inayozidi kujionyesha, na hii ji true nature ya mwanamke
 
Ukishamjua YESU kila kitu unaona kawaida, kiu ya kutaka kumjua zaidi ni zaidi ya kiu ya maji...

Tunaweza ona Christina alifurahi kumuacha mumewe ila hakufurahi, ila Yesu akikuita utamfuata tu...

Sio rahisi haya mambo kama watu wanavyodhani...

Fikiria vile Maria alivyopata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu alafu alikuwa na mchumba wake Yusufu...

Yusufu alitaka kumuacha kwa Siri Mariamu ila akapata maelekezo kwa Mungu hakumuacha...

Mambo ya Rohoni zaidi
Kwa hiyo Shusho kapata maelekezo ya kumuacha mumewe baada ya kuitwa ?.....acheni kutumia vibaya maandiko
 
Nimekwambia, yapo makubwa zaidi mbeleni.

Nitarudi kutukumbusha.

Tusubiri.
Watu wengi huwa wanashangaa kwanini watu maarufu wanawindwa sana na shetani. ukienda kwenye dunia, hata hao mafreemasons, au cult zozote zile, huwa zinapenda sana kuwachukua watu maarufu, kwasababu shetani akiwaingia impact yao kwa wanadamu inakuwa kubwa,shetani anavuna matunda mengi. mfano, diamond tu na wengine wanamuziki wa marekani, nyimbo zao zinachafua sana nafsi za watu na kufungua milango shetani kuingia kwao, na kwa watoto pia.

ukija kwa waliookoka na ni maarufu, shetani atawinda sana ndoa zao au hata maisha yao awadondoshee kwenye uzinzi au dhambi inayokera kwa macho ya kibinadamu, na anguko lao linaondoka na kundi kubwa sana la watu waliokuwa wanawafuatilia. shusho mfano, ana wafuasi wengi kwa sababu ya nyimbo zake, akifanya chochote cha ajabu mioyo ya wengi itarudi nyuma na kuona walikuwa wanafuata kisicho sahihi, na yeye atalipa garama hiyo mbele za Mungu. ukikabidhiwa uwakala wa chochote na Mungu hakikisha unakilinda kisilete negative impact kwa wanadamu.

hatutakiwi kumpiga mawe weee, ila tunatakiwa kumwombea Mungu amrehemu, na akishupaza shingo yake, yeye mwenyewe atarudi na kukiri kwamba alipotea baada ya kukutana na aliyemwita awali.
 
Watu wengi huwa wanashangaa kwanini watu maarufu wanawindwa sana na shetani. ukienda kwenye dunia, hata hao mafreemasons, au cult zozote zile, huwa zinapenda sana kuwachukua watu maarufu, kwasababu shetani akiwaingia impact yao kwa wanadamu inakuwa kubwa,shetani anavuna matunda mengi. mfano, diamond tu na wengine wanamuziki wa marekani, nyimbo zao zinachafua sana nafsi za watu na kufungua milango shetani kuingia kwao, na kwa watoto pia.

ukija kwa waliookoka na ni maarufu, shetani atawinda sana ndoa zao au hata maisha yao awadondoshee kwenye uzinzi au dhambi inayokera kwa macho ya kibinadamu, na anguko lao linaondoka na kundi kubwa sana la watu waliokuwa wanawafuatilia. shusho mfano, ana wafuasi wengi kwa sababu ya nyimbo zake, akifanya chochote cha ajabu mioyo ya wengi itarudi nyuma na kuona walikuwa wanafuata kisicho sahihi, na yeye atalipa garama hiyo mbele za Mungu. ukikabidhiwa uwakala wa chochote na Mungu hakikisha unakilinda kisilete negative impact kwa wanadamu.

hatutakiwi kumpiga mawe weee, ila tunatakiwa kumwombea Mungu amrehemu, na akishupaza shingo yake, yeye mwenyewe atarudi na kukiri kwamba alipotea baada ya kukutana na aliyemwita awali.
Uzi UFUNGWE hapa..[emoji375][emoji375][emoji375]
 
Watu wengi huwa wanashangaa kwanini watu maarufu wanawindwa sana na shetani. ukienda kwenye dunia, hata hao mafreemasons, au cult zozote zile, huwa zinapenda sana kuwachukua watu maarufu, kwasababu shetani akiwaingia impact yao kwa wanadamu inakuwa kubwa,shetani anavuna matunda mengi. mfano, diamond tu na wengine wanamuziki wa marekani, nyimbo zao zinachafua sana nafsi za watu na kufungua milango shetani kuingia kwao, na kwa watoto pia.

ukija kwa waliookoka na ni maarufu, shetani atawinda sana ndoa zao au hata maisha yao awadondoshee kwenye uzinzi au dhambi inayokera kwa macho ya kibinadamu, na anguko lao linaondoka na kundi kubwa sana la watu waliokuwa wanawafuatilia. shusho mfano, ana wafuasi wengi kwa sababu ya nyimbo zake, akifanya chochote cha ajabu mioyo ya wengi itarudi nyuma na kuona walikuwa wanafuata kisicho sahihi, na yeye atalipa garama hiyo mbele za Mungu. ukikabidhiwa uwakala wa chochote na Mungu hakikisha unakilinda kisilete negative impact kwa wanadamu.

hatutakiwi kumpiga mawe weee, ila tunatakiwa kumwombea Mungu amrehemu, na akishupaza shingo yake, yeye mwenyewe atarudi na kukiri kwamba alipotea baada ya kukutana na aliyemwita awali.
Ni Kweli tumwombee arudi Kwa mstari,

Lakini akikataa, apumzishwe Ili asiharibu zaidi.
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa 5newsTZ.
View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Amekengeuka muda sana
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa 5newsTZ.
View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Advice kwa vijana mna oa sasa, kama unajua mchumba wako analanyaga kwenye makanisa aina hiyo( kuacha yale regular ), moige marufuku, mpe ultimatum either achague ndoa au hilo kanisa, otherwise hilo kanisa especiall wachungaji wa kisasa, wata m brainwash to extent atakuoma wewe ndio shetani
 
Wengi hapa mahusiano yao yapo juu ya mawe[emoji28][emoji28][emoji28]

Ila kiukweli ukiwa mwanamke kama una ndoto/malengo zako ni mara chache sana kutimiza ukiwa kwa mume.
So Shusho is right atimize ndoto zake...maisha ndo haya haya
Afu tunaishi mara 1 tyuuh dear, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwimbaji nguli wa nyimbo za injili ambaye kwa sasa amegeukia kazi ya uchungaji, mchungaji Christina Shusho, amesema aliamua kuachana na mume wake ili atimize ndoto zake. Haya sio maneno yangu bali amenukuliwa akitamka maneno hayo na mtandao wa 5newsTZ.
View attachment 2959387

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"

"Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"-Christina Shusho Mwimbaji nguli wa muziki wa Injili

MAONI YANGU
Mimi namuunga mkono mchungaji kwa asilimia 100 kwani mume sio ndugu yako bali ni kama rafiki mliyekutana ili kuunda familia. Ukiona mume/mke anasababisha malengo yako yasitimie, achana naye mara moja. Nawashauri wanaume msiwe vikwazo kwenye ndoto za wake zenu. Namtakia kila la kheri mchungaji Shusho kwenye kazi yake mpya ya kueneza injili ya Bwana. Mungu ambariki sana.
Kuwa mwili mmoja si kufanya kazi au huduma ya aina moja pamoja. Bali ni kuwa na makubaliano ya pamoja ya kuheshimu na kujali kazi au huduma ya mwenza wako kama ya kwako.

Kuwa mwili mmoja ni kusaidiana, kutiana moyo na kujenga mahusiano mema pasina kutengana. Christina angeweza kuendelea na ndoto zake, huduma yake au uchungaji wake pasina kumwacha mumewe. Mume anaweza kuwa mchungaji na mke pia, au wakawa na huduma tofauti pasina kutofautiana.

Mume anaweza kuwa askari, mke akawa muuguzi.
Mume anaweza kuwa mhandisi wa umeme, mke akawa mchungaji.
Mke anaweza kuwa mfanyabiashara, mume akawa mchungaji, nk. Kila mtu katika ndoa ana kipaji chake, fani yake, utaalamu wake, huduma yake, wito wake au ndoto zake tofauti pasina kuathiri ndoa.

Christina kakosea kwa kutojua au kwa makusudi. Au la, kuna sababu nyingine asiyoisema ya kutengana kwake na mumewe.
 
Back
Top Bottom