Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Umeona, kataa ndoa....ndoa inafubazamwenzio kawa mzuri, kanona na anavutia upya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona, kataa ndoa....ndoa inafubazamwenzio kawa mzuri, kanona na anavutia upya
isiwa ajabu kanisa lake kujaza wanawake walioachana na ndoa zao itapendeza sana japo wanaume wehu hawatakosekana sie wengine tunaotaka kuoa na kuwa na ndoa imara kanisa lake halitufaiKwa hiyo kanisa lake litakuwa la ma single mom pekee!
vipi kuzaa watoto watapatikana kiholela tu kama wanyama wanavyopigana miti na kuachana?Ndoa ni kwa ajili ya watu 'mediocre' wasio na malengo makubwa.
Kwamba MUNGU ni anajipinga na muongo sio?Kila mtu huitwa kivyake...
Sio lazima wawe pamoja...
Ikumbukwe Kila mtu hapa Duniani anakazi ambayo amepewa na Mungu kufanya.
Ndoa ni mambo ya Duniani tu.
Naked truth! Wanaziheshimu ndoa kwasababu ni sehemu ya kusitirika lakini kiuhalisia wanapenda uhuru sanaWanawake nao wana uhuru wao.
Kiuhalisia wanawake hawapendi ndoa.
Atafungisha wanyakyusa wenzake na watu wapendao jamaa hizo za kanisaHivi, akiwa kama mchungaji, ATAFUNGISHA NDOA?
Hakuna watoto wa wanyama wanaopatikana kiholela, toa mfano?vipi kuzaa watoto watapatikana kiholela tu kama wanyama wanavyopigana miti na kuachana?
Maana yake wenyewe hawana dhambi na hawafanyi.. huwa nawacheka sanaHalafu walokole..!!
Ukiwakuta wanakusema na kutokuokoka kwako, wanajisikiaga wapo na Moses mbinguniMaana yake wenyewe hawana dhambi na hawafanyi.. huwa nawacheka sana
Yaani huwa nawakatiza hapohapo kwamb umesema umeokoka.. then mbona hapa unachonieleza niuongo.. kama nina reference yake hata ndogo tu nampaUkiwakuta wanakusema na kutokuokoka kwako, wanajisikiaga wapo na Moses mbinguni
Hosea 4:6aHakuna undugu Kati ya mume na mke usijizime data.
Mke wako ndugu zake ni watoto mliozaa siyo wewe, Kwa akili hizi mtaendelea Sana kuteswa na wanawake maana hamuwajui.
Huyo kasharanduka kajivika mabomu haogopi yoyote, kina kuhani mkuu washapiga muhuri wamempa pesa kajaa kiburi ss hivi amuogope nani??Alichoongea ni kweli, ila hakutakiwa kusema hadharani, atajishushia hadhi kwa waja, km anajali hilo lakini.
Tena zaidi ya kahaba ndoa ya Kikristo ni hadi kifo huyo ni kahaba malaya wa kawaida tu kama wanajiuza tuKahaba..........
Marehemu Membe anamjua vizuri ukahaba wakeKahaba..........
Kanisa lake anajaza makahaba tu sio watu wa maanaAtawaambia nini wanandoa. Kama mtu ambae anatakiwa kuilinda taasisi ya ndoa yeye alilvunja ndoa ataambia nini watu wamwelewe. Labda misukule.