Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Kauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.

Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
Watu kama wewe mnaonekana mnapenda kuwapangia watu wengine namna ya kuishi Maisha yao, Kila mtu ana uhuru wa namna ya kuishi Maisha yake anavyotaka, kuitumia mungu au fantasy za hidden society ili wengine waonekane wabaya ni mambo ya kishenzi kabisa, ishi Maisha yako ya wengine waache wenyewe waamue wanataka kuishi vipi
 
Yule malaya tu kaamua kuondoka kwenye ndoa kajifika kwenye kichaka cha neno kanisa lake ila kusema kaamua ajiongeze kuanzisha kanisa labda kama kaamua aongeze mabwana mmoja hamtoshi.

Mi naamini kiuchumi angekuwa hana hata mia mbovu wala asingeondoka kwa mmewe.
 
Huyu Dada kuanzia alipoanza ushosti na Diamond mwaka Jana na hili Tamasha la mchongo nikikwisha jua kinachofata ni kuasi Injili na kutumikia upande wa pili so haya ni kutimiza yale aliyonena Yesu mwenyewe mbegu iliyopandwa katika ya Miiba,siyo wote wanaoita Bwana Bwana..................
Asanteni Sana na Mungu awabariki Alfajiri ya leo🙏
 
Ushawishi wake kwa wanandoa unapotosha pakubwa najua kila lifanyikalo lina Shelia na katiba yake na tukiingia kisimani kuna vitabu vitakatifu je yeye hayo aliyafanya kwa mjibu wa maandiko au ni mihemko yake tu,je waumini atakawowaongoza nawe watamani waachiwe ili wakatimize ndoto zao
kwa hilo la kutimiza ndoto/malengo yake nje ya ndoa kazingua/kapotosha ukweli wa ndoa
 
Ukishamjua YESU kila kitu unaona kawaida, kiu ya kutaka kumjua zaidi ni zaidi ya kiu ya maji...

Tunaweza ona Christina alifurahi kumuacha mumewe ila hakufurahi, ila Yesu akikuita utamfuata tu...

Sio rahisi haya mambo kama watu wanavyodhani...

Fikiria vile Maria alivyopata mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu alafu alikuwa na mchumba wake Yusufu...

Yusufu alitaka kumuacha kwa Siri Mariamu ila akapata maelekezo kwa Mungu hakumuacha...

Mambo ya Rohoni zaidi
we dada unalinganisha vitu viwili visivyolingana. Shusho kama angekuwa na wito huo tangu mwanzo asingeingia kwenye ndoa, angeendelea na maono yake ya kumtumikia mungu, acheni kupotosha ukweli
 
Hiyo ni namna ya kuuambia umma kwamba;-
-I'm independent creature,
-and a harlot,
-and a tramp,
-and a stripper,
-and whore,
-am a real stump too,
-I don't care the fvkk about the wedlock,
-and whatever..!
 
acheni kusingizia kila kitu walokole, sio wote walokole.
rose.....muanglican
muhone....mlutheran (akama nimekosea nisahihisheni)
angel....mrutheran tena mwakasege ndio anaita babake kiroho
bukuku (mlokole wa zamani)
shusho (mlokole wa zamani)
mwaipaja(mlokole wa zamani)
upendo nkone apewe maua yake, kailinda imani mpaka Mungu akamjibu haja zake, kalinda ushuhuda wake
 
Hayo yote wanayoringia ni ujana tu ,huo umaarufu kuna kipind unaisha kabisa maana hata mvuto unatoweka.

Walikuwepo wakina Luiza Mbutu kweny dansi wapo wapi sasa? Washakuwa wazee hata kupiga picha ni mtihani.

Ujana unapita tu ,wengi waliamua kutulia na kuolewa ila wana pesa zao maana mda wa kuringa hautakuwepo tena .
ni kweli, huyu dada anasumbuliwa na tamaa za ujanani, kapendeza/kanona na anavutia kila mwanaume mwenye kujua urembo wa mwanamke. Ngoja akizeeka atatulia kwenye ndoa yake mpya atakayoipata uzeeni
 
atuambie, tendo la ndoa kwa umri wake huu, anafanya na nani? na tunamwona anazungukwa na vijana watanashati, kina diamond na wenzake. au hana hamu kabisa? manake sisi tuliookoka huwa tunafanya tendo kwenye ndoa tu, yeye anapomwacha mumewe ambaye ndiye mwenye haki kumfanya, anafanya na nani?
umemuona alivyopendeza na kuvutia mwanaume anayejua mvuto wa mwanamke? Tukisema akina diamond ndio watakuwa wanampa tendo hilo hatutakosea. Dada mwenyewe yuko vile anavutia na yuko huru hana mume, nafasi iko wazi atapatikana wa kuijaza wa siri au wazi.
 
Back
Top Bottom