Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
😂😂😂😂sadaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂sadaka
hukumu ya Mungu huanzia nyumbani kwake, acha ahukumiweAcha samaki wavuliwe, ni njia tu ya kuwafikia watu wa Mungu...
Acheni kuhukumu watu...
Hata Yesu hakuja kwaajili ya wasio na dhambi alikuja kwaajili ya wenye dhambi.
Hii imeenda😂Kisaikolojia wanataka waliowazidi Ili wawaongoze ila akikuzidi tuu tayari ni tatizo.
Hapo kwenye kumzidi wanataka Kila kitu,urefu,pesa,umaarufu,akili nk
Nimewahi chukua wanawake mara 3 nikawapeleka geto ,hao walikuwa wanajitegemea na mwingine Bado ila Sasa walivyofika kwangu walijilinganisha mageto Yao na langu wakaona mbona Bora wao,hawakuonekana tena 🤣🤣
keshaharibu, haina maana tena kusikiliza nyimbo zake. Aliimba vitu ambavyo hana imani navyoNazikubali sana nyimbo zake huyu.
Ukiwa na mume mkashirikiana mbona unaishi ndoto zako tu. Tatizo ndoto zenyewe sasa unakuta mtu anataka uhuru wa kudanga 😂Wengi hapa mahusiano yao yapo juu ya mawe😅😅😅
Ila kiukweli ukiwa mwanamke kama una ndoto/malengo yako ni mara chache sana kutimiza ukiwa kwa mume.
So Shusho is right atimize ndoto zake...maisha ndo haya haya
anatakiwa kuomba toba, asishupaze shingo, Mungu hadhihakiwiYESU kamwe hawezi kukuita na kukuelekeza uachane na mumeo ambaye ni mtumishi wa Mungu.
Huyo hayo anayoongea ni dalili ya makubwa zaidi yanakuja ya kulichafua Kanisa.
Ameshakengeuka huyo.
Ukishazaa na mwanamke mmeunda undugu tayari. Watoto watawafungamanisha hata mkitengana. Wana DNA zenuHakuna undugu Kati ya mume na mke usijizime data.
Mke wako ndugu zake ni watoto mliozaa siyo wewe, Kwa akili hizi mtaendelea Sana kuteswa na wanawake maana hamuwajui.
bado anayo nafasi ya kuomba toba, shetani kamteka na mwisho atamfedhehesha kama hataomba tobanyimbo zake nzuri sana, na alikuwa na karama hiyo mno, ajabu shetani kwasababu hapendi aendelee kuhudumia mioyo ya watu, amemwingia na anataka kumteketeza kabisa kipawa chake alichopewa na Mungu pamoja na yeye. hatajua hili hadi yamkute, Mungu amsaidie aelewe. kiburi na jeuri iliyomjaa anahitaji kuombewa, wala sio yeye, amepagawa. wenye macho ya kiroho wanajua hili. hakuna aliyepandisha mabega baada ya kuinuliwa ambaye hajawahi kushushwa kwa aibu.
na hivi alivyonona na kupendeza simba hataacha kutafuna mnofu huoMke mwenza wa zuchu.. anajificha kwenye kwenye dini.. soon yatavumbuluka.. simba haachi nyama inayotembea.
ni kweli, ni suala la muda tu yatatokea makubwaNimekwambia, yapo makubwa zaidi mbeleni.
Nitarudi kutukumbusha.
Tusubiri.
Njaa mbaya sana, kwahio aliolewa ili ajiondoe kwenye umasikini. Sahizi kapata umaarufu zaidi na vichenchi kaona amtupe mwamba. Wanawake wanafiki sana aisee!Yuko sahihi km mtu haheshimu ndoto zako wa nini kuendelea naye?!! Seme Christina mjanja kaona kashapata pesa na umaarufu akiangalia mwanaume kachakaa yy bado anadai kina simba washamuonjesha michezo mipya ya mahaba awwww kwann asitoke ndruki 🤣🤣🤣🤣
Huyu baharia alijificha, ila kamlipa fadhila za kumuhifadhi… wakongo majeuri sana..!!
kwa sie ambao hatujaoa tukitaka kuoa huwa tunafanya assessment kujua ndoto/malengo ya mke tunayetaka kuingia naye kwenye ndoa kuona kama ndoa haitaathirikaWakati tunaendelea na comment fupifupi, na wewe msomaji kama Una mke anayetafuta ndoto zake tena ana masters yake, tia nywele zako maji.
halafu anataka kuwa mchungaji, hii ni kufuruAnapingana na maandiko.
Upo sahihi kabisa yani, kujiendeleza ama kufuatilia ndoto zako hakuna uhusiano na kutengana. Yeye ana sababu ingine ila sio hio aliyoitoa.Malaya ni malaya tu.Wake zetu mbona wamejiendeleza kimasomo,kufungua biashara tena chini ya uangalizi wetu na wamefanikiwa.Sasa anakuja malaya mmoja anapingana na biblia harafu huyo huyo anaimba maswala ya Mungu ...Poleni mlio hata ni nyimbo za malaya kama huyo kwenye simu ama hata majumbani mwenu.
Uzuri ni mwanamke wa KIHA hao wakishajanjaruka na mji huwa wanapenda hela kinoma. Mostly huwa malaya tu sababu wanapenda kuhongwa.Kama anakuwa, kikwazo, kufikia ndoto, na kutumia (to the maximum) Karama alizokupa Mungu, huyo piga chini.
Ila, ki bongo bongo hawa Dada, zetu tunawajua, hakuna cha wito hapo, ngono inahusika, napata promota,kaona isiwe tabu, Hawa wadada wa, "kilokole" Born again, udhaifu wao ni pesa tu, akitokea mtu akapaki V8, Vogue, ana kula msambwanda for, Frola, mbasha, Martha mwaipaja, bahati bukuku, ni wale wale tu,
Hapo kosa sio kuongea bali kumuacha mumeTufanye alipost akiwa amelewa me nitamvumlia kufanya Kosa sio kosa Kosa kurudia Kosa
We unaongea kama mlevi leo, kulikoniUkiwa karibu sana Mungu Wala tendo la ndoa huwazi...narudia karibu...
Hapana mzee sizungumzii malaya wadangaji. And lets not generalize.Kikwazo kwa maendeleo kivipi? Kama kudanga ni maendeleo basi wengi tutakuwa vikwazo haswaa!