Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Watu kama wewe mnaonekana mnapenda kuwapangia watu wengine namna ya kuishi Maisha yao, Kila mtu ana uhuru wa namna ya kuishi Maisha yake anavyotaka, kuitumia mungu au fantasy za hidden society ili wengine waonekane wabaya ni mambo ya kishenzi kabisa, ishi Maisha yako ya wengine waache wenyewe waamue wanataka kuishi vipi
 
Yule malaya tu kaamua kuondoka kwenye ndoa kajifika kwenye kichaka cha neno kanisa lake ila kusema kaamua ajiongeze kuanzisha kanisa labda kama kaamua aongeze mabwana mmoja hamtoshi.

Mi naamini kiuchumi angekuwa hana hata mia mbovu wala asingeondoka kwa mmewe.
 
Huyu Dada kuanzia alipoanza ushosti na Diamond mwaka Jana na hili Tamasha la mchongo nikikwisha jua kinachofata ni kuasi Injili na kutumikia upande wa pili so haya ni kutimiza yale aliyonena Yesu mwenyewe mbegu iliyopandwa katika ya Miiba,siyo wote wanaoita Bwana Bwana..................
Asanteni Sana na Mungu awabariki Alfajiri ya leo🙏
 
Angel Bernard ana kismati ya kuolewa kaolewa huko USA BABY na mjeda mwaka sasa
hata shusho anaweza kuolewa tena kwa jinsi sasa alivyonona na kuvutia kapendeza sana. Flora na upendo kilahiro walioolewa tena. Kuolewa ni lazima waolewe tu iwe wazi au siri, bado wanawakwa tamaa za miili
 
kwa hilo la kutimiza ndoto/malengo yake nje ya ndoa kazingua/kapotosha ukweli wa ndoa
 
we dada unalinganisha vitu viwili visivyolingana. Shusho kama angekuwa na wito huo tangu mwanzo asingeingia kwenye ndoa, angeendelea na maono yake ya kumtumikia mungu, acheni kupotosha ukweli
 
Hiyo ni namna ya kuuambia umma kwamba;-
-I'm independent creature,
-and a harlot,
-and a tramp,
-and a stripper,
-and whore,
-am a real stump too,
-I don't care the fvkk about the wedlock,
-and whatever..!
 
upendo nkone apewe maua yake, kailinda imani mpaka Mungu akamjibu haja zake, kalinda ushuhuda wake
 
ni kweli, huyu dada anasumbuliwa na tamaa za ujanani, kapendeza/kanona na anavutia kila mwanaume mwenye kujua urembo wa mwanamke. Ngoja akizeeka atatulia kwenye ndoa yake mpya atakayoipata uzeeni
 
umemuona alivyopendeza na kuvutia mwanaume anayejua mvuto wa mwanamke? Tukisema akina diamond ndio watakuwa wanampa tendo hilo hatutakosea. Dada mwenyewe yuko vile anavutia na yuko huru hana mume, nafasi iko wazi atapatikana wa kuijaza wa siri au wazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…