ni mpuuzi, kiburi na majivuno hakijawahi kumuacha mtu salama, ajiandae kisaikolojia kwa kitakachomtokeaBila akili, nguvu, busara, juhudi na mali za mume wake (Pastor Shusho) huenda leo hii hakuna mtu angekuwa anamjua Shusho kwa level ile ya umaarufu wa kuimba. Kwa sasa Christina Shusho ameamua kuizamisha boti (ndoa) iliyombeba kumsafirisha katika bahari yenye mawimbi mengi akiamini boya (umaarufu) litamsaidia kusafiri mbali.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
Tusubiri zaidi.
Kwani Dayamondi anadumu na mwanamke mkuu? Naye ipo siku atambwaga tu kama alivyowabwaga wengine.ni kweli, huyu dada anasumbuliwa na tamaa za ujanani, kapendeza/kanona na anavutia kila mwanaume mwenye kujua urembo wa mwanamke. Ngoja akizeeka atatulia kwenye ndoa yake mpya atakayoipata uzeeni
he! Kumbe huko ukatolikini nako kuna ukuda huu? Sasa ni wapi pa kuponea ndoa?Nampongeza kwa uwazi wenye mashaka. Wanaume wakatoliki ndoa zao zinadorora na kisha kuvunjika kwq sababu ya WAWATA lakini wako kimya. Kanisa katoliki wamewapa WAWATA uhuru mkubwa dhidi ya kuwepo kwa ndoa zao na kuathiri ndoto za waume zao.
Aisee!! na anatumia biblia kufundisha? Unamaanisha yeye reference yake ni Rwakatare na sio kilichomo kwenye biblia?Hata Lwakatare aliasi ndoa lakini alikuwa anafungisha ndoa na alikuwa akiwaasa wanawake kutulia kwenye ndoa zao na walikuwa wanamuelewa bila tatizo. The same case applies to Shusho na maisha yanaendelea.
tayari amechana nalo, anaitwa madame christina, kaiga kwa madame floraAachs
Aachane na hilo jina pia.
kwani we hujui mwenendo wa kahaba? Mbona hata kwa macho ya kawaida anaonekana tu!Je uliwahi mkuta Mitaa ipi akifanya ukahaba?
uthibitisho gani unaohitajika wakati yeye mwenyewe kasema kusudio lake? Acheni kuremba dhambi wacha abebeshwe lawamaNi dhambi kumshudia mtumishi wa mzungu au mtu yeyote uongo.
Unless unaweza kuthibitisha pasina shaka!
Conclusion yako ni ipi sasa mkuu?Hapana mzee sizungumzii malaya wadangaji. And lets not generalize.
Unaweza anza mahusiano na mwanamke ukakuta ana shughuli fulani na ana ndoto nayo ya kwenda nayo mbali. Sasa mwanaume ana muoa anakua abusive na anazuia plan zake kukua ambazo kimsingi ni za manufaa kwa familia yote. Dunia imeshuhudia mf historia ya Tina turner kwenye ndoa yake ya kwanza ilikua impoteze kwenye muziki. Wapo wanawake ambao waume zao wamewasupport wake zao na still ni respectful kwa ndoa zao, mf Yvonne Chaka chaka.
Huyo ni malaya kama malaya wengine na hawa ndo wanaharibu wake zetu ni kuwakemea kabisa na mm mke nimeshafuta nyimbo zote za hilo puuuzi.Upo sahihi kabisa yani, kujiendeleza ama kufuatilia ndoto zako hakuna uhusiano na kutengana. Yeye ana sababu ingine ila sio hio aliyoitoa.
macho ya rohoni yapo kitabu gan ktk biblia?Ni Kweli usemacho,
Mariam Magdalene hatuambiwi kokote kuwa alimwacha mumewe.
Na ni UKWELI kuwa, hakuwa mmoja wa mitume, Bali mashirika katika kristo katika kusaidia mambo mbalimbali.
Wanasema katika ukristo mume anatoka kwa MUNGU au?Hapana mzee sizungumzii malaya wadangaji. And lets not generalize.
Unaweza anza mahusiano na mwanamke ukakuta ana shughuli fulani na ana ndoto nayo ya kwenda nayo mbali. Sasa mwanaume ana muoa anakua abusive na anazuia plan zake kukua ambazo kimsingi ni za manufaa kwa familia yote. Dunia imeshuhudia mf historia ya Tina turner kwenye ndoa yake ya kwanza ilikua impoteze kwenye muziki. Wapo wanawake ambao waume zao wamewasupport wake zao na still ni respectful kwa ndoa zao, mf Yvonne Chaka chaka.
Ukitaka kuvuruga mwanamke mpe umaarufuUtafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho
Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Nashangaa wamekariri.
Wakati mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa.
Sizani.Wanasema ana date na Dayamondi. Lisemwalo lipo mkuu.
kama kawaida yake mond hataacha kutafuna mnofu huo uliojileta kwakeNdio a
Ndio akambatane na Diamondi !
ni mpuuzi, kiburi na majivuno hakijawahi kumuacha mtu salama, ajiandae kisaikolojia kwa kitakachomtokea
Ndio. In short, vijana wa kike wanazidi kuonyeshwa kuwa mwanaume hana umuhimu na vijana wa kiume wanakazana na kataa ndoa. Miaka 30 ijayo tunategemea wawe baba na mama wa kizazi kipya kijacho.Sijui hata kanisani kwake anawafundisha nini? Kwamba mkitaka kufanikiwa muachane na wanaume?