Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Utafiti unaonesha Waimbaji wa kike mara nyingi ndoa zao either zina viraka au zimevunjika kabisa
1) Beatrice muhone
2)Rose Muhando
3)Bahati Bukuku
4)Martha Mwaipaja na sasa
5)Angel Bernad
6) Christina Shusho

Hii sio Coincidence kuna shida mahali.
Beatrice Muhone kafanyaje?
 
kumbuka kuwa kuna aina mbalimbali za misalaba ikiwemo hiyo ya masonic. Nenda makaburini utaiona ilivyo na maumbo ya ajabuajabu na ndugu za marehemu hawajui kuwa kuna misalaba ya mason wanaweka tu ili mradi ni msalaba
kwaiyo msalaba unaousema ww ni kitu kizur cha kuweka kanisan?? na maana yake ni nn ukiweka kanisan
 
Kwani Dayamondi anadumu na mwanamke mkuu? Naye ipo siku atambwaga tu kama alivyowabwaga wengine.
mond huwa anaopoa pisi kali yeyote anayoitaka ikinasa kwenye anga zake anayo, anakula mpaka anapata mtoto kisha anaacha mbwa yule
 
hiyo approach ya tina ni ya kihuni hailingani na mtume paulo
 
Hey Ma'am Christine hii nayo hapana,unaanzaje kumuacha mtu alietoka na wewe chini?
Hayo unayotaka sasa si ungetimiza ukiwa solo!
Money na fame zinasumbua ndoa nyingi sana,wanawake sasa hivi wanasumbuka na hivi vitu sana,akiingia tiktok aone fake life za mastaa na tiktokers anakuona we fala tu,hata ataanza kuona unafanana na n'gombe.
Anyway kila mtu na mambo yake,hebu nikondeshwe na yangu.
 
Asante sikuwahi kulijua hili kabla
 
kwa kuwa yule alimpata harmo na huyu naye akaamua ampate mond, wanajimaliza wenyewe hawa waimba injili tuliozipenda nyimbo zao sasa hatuna hamu nazo, tunawaona ni wahuni tu
uimbaji wenye kubadilisha moyo wa msikilizaji ni ule uliohusisha Roho Mtakatifu, yaani Roho ahusike wakati ule unaimba, ni kama vile Roho anaimba kupitia wewe na wimbo au neno lolote utakalotoa huwa lina impact kubwa kwa msikilizaji, hii ndio tofauti kubwa ya waumbaji wa kimwili na wale wanaoimba kwa Roho. sasa kweli unapiga collabo na hamonize muislam anayeamini Yesu Kristo sio Mungu na asiyeokoka na unaamini Roho Mtakatifu yupo pamoja nawe? na kwa shusho, kweli uwe kwenye fungamano moja na diamond wanaoshinda kwa waganga hao na wasiomwamini Mungu waliosambaza tabia chafu hadi kwa watoto wanawaiga, na uamini Mungu yupo pamoja na wewe? ili ukifanikiwa diamond au harmonize wacompete kuchukua utukufu na Mungu,badala ya utukufu kwenda kwa Mungu watu watasema uhusika wa hao wahuni ndio umefanya uibuke au ufanikiwe au vyovyote, mmeingiwa na nini ninyi waimbaji?

hata hivyo tunamwomba Mungu aibue wapya watakaomtumikia Mungu kwa Roho na kweli. Mungu ana watu wengi.
 
Hivi Mungu yupo kweli??? any way kwasababu kutenda mema, kutoa sadaka , fungu la kumi na kuhudhulia kanisani kunanipa amani ya moyo. acha niendelee kuwa hivyo but swala la kuwepo Mungu sidhani.
 
Ule muda wa maji na mafuta kujitenga umefika
Maono ya mwanandoa yeyote ni kuhakikisha ndoa inadumu
 
Nasibu we endelea kujilia hiyo mbegu ya kirundi bana, hujala cha mtu! Hata ukipiga deki ni msafi.

Nakushukuru eeh Mungu kwa kunifanya niwe mfuasi wa Yesu Kristo (JOSHUA) katika kila jambo.
...Sipendi mafungamano na mwanamke ili asimiliki nafs yangu na kunifunga hatamu, lakin nawahitaji sana( Joshua alipenda hii life style ya kunywa na kula na pisi za nyakati mpaka wafuasi wake wakaanza kusutwa kwamba wako na mhuni. Alimpenda sana Maria Magdalena kwa philia love. (Hata kitendo cha mwanamke kumsafisha kwa nywele laini zenye olive kilimpendeza mno akamfutia dhambi!)
Ukitaka kufurahia uwepo wa mwanamke usimtongoze! Ngono huua urafiki, huzaa chuki na mipaka.
...Napenda mvinyo katika utulivu( hasa mziki laini wa rhumba) huku nikiongea mambo mema/mazuri na ya kutiana nguvu na rafik wachache waletao furaha katika uwepo wao.(Joshua, muujiza wa kwanza ulkuwa kubadirisha maji taka kuwa divai ili watu wanywe na kufurahi, alipenda stori na watoza ushuru na watu wenye maongezi yenye tija....
Ikumbukwe wanasiasa si kati ya watu hao, hakuwapenda kabsa)

Nasisitiza: NDOA NI SADAKA! KAMA HAUKO TAYARI KUPOTEZA KWA AJIRI YA MWINGINE ACHANA NAYO!
 
Kwanini asingetimiza kwanza ndoto zake ndio aolewe? kama hapendi kuitwa mchungaji kwanini ameanzisha kanisa la nini? na kwakuwa ameanzisha kanisa anapendwa tumuite nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…