Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Bro!! mala
Mungu hakupi vyote ni mzuri ila hakubahatika kuolewana chaguo lake
ya
Mungu hakupi vyote ni mzuri ila hakubahatika kuolewana chaguo lake
Bro,MALAYA hana chaguo man!!!"anafuata fursa tu,fursa ikipotea anakupoteza man" SAMSON alidanganya DELILA nampenda,kumbe delila alikuwa jasusi la wafilisti!!!,marehemu mchezaji wa YANGA,,,NDIKUMANA,alijiamnisha kwamba mke aliyenae{sitaki kumtaja jina,lakini alikuwa msanii wa kitanzania] alikuwa akimpenda,kumbe wapi,anakuja kustuka mke kaolewa na DOGO JANJA baada ya NDIKUMANA kipaji kuisha na pesa hamna!!! matokeo yake NDIKUMANA akaDANJI!!!<<< kwa sasa nafuatilia mwenendo wa DOMO-KAYA{aziz-mchezaji wa yanga na demu wake msanii wa tz nione mwisho wao}
 
Ninauhakika Christina Hana amani ya nafsi ingawa anaonyesha jamii tabasamu
 
Ninauhakika Christina Hana amani ya nafsi ingawa anaonyesha jamii tabasamu
Huyu dada nampenda sana toka kitambo mkuu hio ni namba yake kweli..nikimpata sitaish nae kama mume wake, kuna namna ya kuish na mwanamke aina ya kristina..
 
Mzee shusho chapa injili uende mbinguni, hicho anachoringia kitaishia kuliwa na nyenyere
Kinaliwa na Diamond mkuu. Huyu bwana anajua sana kudinya wanawake wazuri; hawakatizi kwake.
 
Kwahiyo kwenye kanisa lake Habari ya ndoa imekaaje!
Mahubiri yake yanatoka kitabu kipi hicho cha kisasa maana cha zamani ndio kilisema kuhusu mwili mmoja. Kwa mstari huo imeonekana ni cha zamani na hakiendani na usasa wa shusho.
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
 
Hapana,. Taraka haijawa simple kiivyo. Bali inachukuliwa kuwa ni option ya mwisho ndoa inaposhindikana ikiwepo kuepusha vifo Kwa wanandoa (kuuana). Hata kumwambia mkeo nitakupa talaka japo Kwa utani imekatazwa.. hivyo si suala lililoachwa TU kiholeza. Zipo Sheria , taratibu na kanuni juu yake.
 
Vipi mmealikwa kweli?
 

Attachments

  • MANENO_YA_CHRISTINA_SHUSHO_NA_MUMEWE_KWENYE_SEND_OFF_YA_BINTI_YAO_WA_KWANZA_ODESIA_SHUSHO.(480p).mp4
    5.2 MB
Sasa Binti yake alieolewa akiachika kesho mtamlaumu?? halafu wewe kijana ulieenda kuoa huyu binti mama yake mwenyewe hana utulivu utadumu na huoyo mke?? aweza kukuacha mapema ndio mana tunasema oa wake kadhaa hata 4 uwe nao mbona waislamu wanaoa?? usitishwe na maisha oa wake 4 wakianza kusumbua utabakia na mmoja unazeeka nae. Wakristo wametunga suala la uzushi eti mke mmoja fikiria mke mwenyewe ndio huyu sasa!!!!!
 
Huyo anafuata ndoto zake tu mkuu; hafuati maandiko ya biblia.
 
Wapi na nini hii mkuu?
Alhamisi mkuu hiyo clip imevuja tu hata mama hawezi kumpa promo Binti yake hawez kupost hata maana ni aibu kwake kuozesha binti wkt mama mtu bado anataka kudanga..anaolewa na kijana ni mc willygrayson
 
Hongera kwao
 

Attachments

  • Screenshot_20240729-170242_3.jpg
    281.4 KB · Views: 7
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…