Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
Anapingana na biblia anayoitumia, lazima kuna shida kwenye circuit
 
Sasa Binti yake alieolewa akiachika kesho mtamlaumu?? halafu wewe kijana ulieenda kuoa huyu binti mama yake mwenyewe hana utulivu utadumu na huoyo mke?? aweza kukuacha mapema ndio mana tunasema oa wake kadhaa hata 4 uwe nao mbona waislamu wanaoa?? usitishwe na maisha oa wake 4 wakianza kusumbua utabakia na mmoja unazeeka nae. Wakristo wametunga suala la uzushi eti mke mmoja fikiria mke mwenyewe ndio huyu sasa!!!!!
Nitaufuata huu ushaur wako..
 
Ila ukweli mchungu muonekano wa yule mzee shusho hapana kwakwel ingawa mwanaume Hana ulazima wa Kuwa mzuri ila yule Mzee kazidi kamuharibia mbegu kabisa Christina wote wamefanana na baba yao Christina ana haki ya kumuacha tu
 
Hatimaye Christina Diamond Platinumz amemuacha mzee Shusho mazima na kutimkia nchini Kenya milele. Inauma sana jinsi mzee wa watu alivyoachwa bachelor wakati huu anapohitaji mwanamke awe karibu naye kwa ajili ya kumdinya na kumtunza. Wanaume tumeumbiwa kuishi kwa mateso hapa duniani. Mungu anatuona.

 
Hatimaye Christina Diamond Platinumz amemuacha mzee Shusho mazima na kutimkia nchini Kenya milele. Inauma sana jinsi mzee wa watu alivyoachwa bachelor wakati huu anapohitaji mwanamke awe karibu naye kwa ajili ya kumdinya na kumtunza. Wanaume tumeumbiwa kuishi kwa mateso hapa duniani. Mungu anatuona.

Duh! Haya maisha, tuishi kwa imani,maana wote kesho yetu hatuijui itakuwaje! Christina amekengeuka utu uzimani,ni kama vile kuna stage aliiruka!!
 
Duh! Haya maisha, tuishi kwa imani,maana wote kesho yetu hatuijui itakuwaje! Christina amekengeuka utu uzimani,ni kama vile kuna stage aliiruka!!
Huyu mwanamke ana shida ya kisaikolojia. Lakini kwa kuwa bado umri unaruhusu kudinywa, mwache Diamond ajidinyie kwa kwenda mbele.
 
Hatimaye Christina Diamond Platinumz amemuacha mzee Shusho mazima na kutimkia nchini Kenya milele. Inauma sana jinsi mzee wa watu alivyoachwa bachelor wakati huu anapohitaji mwanamke awe karibu naye kwa ajili ya kumdinya na kumtunza. Wanaume tumeumbiwa kuishi kwa mateso hapa duniani. Mungu anatuona.

Itakuwa kampata anaempenda huko kenya
 
Anajiona mzuri sana haendani na Mzee shusho
Hiki ndicho kitu hasa kinachomtia uchizi na kumfanya awe na dharau kwa mzee wa watu. Haikubaliki hata kidogo huyu mwanamke kumuacha mume wa ujana wake kisa ni mzee na kumfuata kijana Diamond Platinumz. Anamkosea sana Mungu.
 
Hiki ndicho kitu hasa kinachomtia uchizi na kumfanya awe na dharau kwa mzee wa watu. Haikubaliki hata kidogo huyu mwanamke kumuacha mume wa ujana wake kisa ni mzee na kumfuata kijana Diamond Platinumz. Anamkosea sana Mungu.
Ndio maana Mungu kampiga kofi na uzuri wote alionao watoto wake wote wamefanana na Mzee shusho
 
Back
Top Bottom