Anapingana na biblia anayoitumia, lazima kuna shida kwenye circuit"Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia. Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake"
Usichana unamsumbuaAnapingana na biblia anayoitumia, lazima kuna shida kwenye circuit
KabisaUsichana unamsumbua
Na haamini kama yeye ni mama mkwe wa mtu.. mkwe akiwa mjanja anakula kuku na yai lakeKabisa
Hajakua wala kukomaa
Nitaufuata huu ushaur wako..Sasa Binti yake alieolewa akiachika kesho mtamlaumu?? halafu wewe kijana ulieenda kuoa huyu binti mama yake mwenyewe hana utulivu utadumu na huoyo mke?? aweza kukuacha mapema ndio mana tunasema oa wake kadhaa hata 4 uwe nao mbona waislamu wanaoa?? usitishwe na maisha oa wake 4 wakianza kusumbua utabakia na mmoja unazeeka nae. Wakristo wametunga suala la uzushi eti mke mmoja fikiria mke mwenyewe ndio huyu sasa!!!!!
Duh! Haya maisha, tuishi kwa imani,maana wote kesho yetu hatuijui itakuwaje! Christina amekengeuka utu uzimani,ni kama vile kuna stage aliiruka!!Hatimaye Christina Diamond Platinumz amemuacha mzee Shusho mazima na kutimkia nchini Kenya milele. Inauma sana jinsi mzee wa watu alivyoachwa bachelor wakati huu anapohitaji mwanamke awe karibu naye kwa ajili ya kumdinya na kumtunza. Wanaume tumeumbiwa kuishi kwa mateso hapa duniani. Mungu anatuona.
Christina Shusho mulls move to Kenya
Shusho says she feels the time has come to own a home in Kenya.nation.africa
Huyu mwanamke ana shida ya kisaikolojia. Lakini kwa kuwa bado umri unaruhusu kudinywa, mwache Diamond ajidinyie kwa kwenda mbele.Duh! Haya maisha, tuishi kwa imani,maana wote kesho yetu hatuijui itakuwaje! Christina amekengeuka utu uzimani,ni kama vile kuna stage aliiruka!!
Itakuwa kampata anaempenda huko kenyaHatimaye Christina Diamond Platinumz amemuacha mzee Shusho mazima na kutimkia nchini Kenya milele. Inauma sana jinsi mzee wa watu alivyoachwa bachelor wakati huu anapohitaji mwanamke awe karibu naye kwa ajili ya kumdinya na kumtunza. Wanaume tumeumbiwa kuishi kwa mateso hapa duniani. Mungu anatuona.
Christina Shusho mulls move to Kenya
Shusho says she feels the time has come to own a home in Kenya.nation.africa
Anajiona mzuri sana haendani na Mzee shushoAmeamua kwenda Kenya ili kumpoteza maboya mzee Shusho. Diamond atakuwa anamfuata hukohuko ili kumdinya.
Hiki ndicho kitu hasa kinachomtia uchizi na kumfanya awe na dharau kwa mzee wa watu. Haikubaliki hata kidogo huyu mwanamke kumuacha mume wa ujana wake kisa ni mzee na kumfuata kijana Diamond Platinumz. Anamkosea sana Mungu.Anajiona mzuri sana haendani na Mzee shusho
Ndio maana Mungu kampiga kofi na uzuri wote alionao watoto wake wote wamefanana na Mzee shushoHiki ndicho kitu hasa kinachomtia uchizi na kumfanya awe na dharau kwa mzee wa watu. Haikubaliki hata kidogo huyu mwanamke kumuacha mume wa ujana wake kisa ni mzee na kumfuata kijana Diamond Platinumz. Anamkosea sana Mungu.
Hakuna huduma hapo Zaid ya show off tu dunia imuone alovyo mzuri madanga yapandishe dauUmalaya tuu,anachohubiri huko kinatisha