nzaghamba
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,212
- 1,431
Duh nabii?Hao ni mbwa mwitu katika mavazi ya Kondoo.
Kwanza mwanamke hajaruhusiwa kuwa Mchungaji kibiblia.
Anaweza kuwa nabii nknk Mchungaji HAPANA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nabii?Hao ni mbwa mwitu katika mavazi ya Kondoo.
Kwanza mwanamke hajaruhusiwa kuwa Mchungaji kibiblia.
Anaweza kuwa nabii nknk Mchungaji HAPANA.
Ndio ndani ya Kanisa, IPO karama ya unabii.Duh nabii?
Jambo jema ni kwamba anapingana na andiko la Biblia Takatifu kitabu chaHii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Labda ilishawahi kutokea katika karne za mitume Waliokuwepo awali?au wapi kwenye biblia ametajwa nabii yeyote mwanamke?Ndio ndani ya Kanisa, IPO karama ya unabii.
(Acts 2:17)Labda ilishawahi kutokea katika karne za mitume Waliokuwepo awali?au wapi kwenye biblia ametajwa nabii yeyote mwanamke?
KAMA SHIDA NI NABII MWANAMKE TU, WAPO.Labda ilishawahi kutokea katika karne za mitume Waliokuwepo awali?au wapi kwenye biblia ametajwa nabii yeyote mwanamke?
Kukemea ndio kufanyaje ndugu?Kauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.
Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
SawasawaSiku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Walio andika biblia walijua kabisa ipo siku watu wataamka na kuujua ukweli ndio maana walijifanya kutabiri ili kondoo mkiona hilo mkae kikondoo mpka kufa kwenu.Tuliambiwa mwishoni kutakuwa na ujuaji mwingi sana.
Kaamua afanye umalaya kwa uhuru kwa kupitia mapato ya biashara ya kabisa lake, muacheni.Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
OK, sasa yeye kama mchungaji, ameachana na mume, nani anafanya naye tendo la ndoa? au hafanyi tena, na kama anafanya, haoni kama atakuwa anazini? au imani yake inafundishaje?Ameongea ukweli. Nyie mamburula ndio hua mnadanganywa na hao wachungaji feki na kudangaamyana eti mwili mmoja