Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Hata huyo shetani anasingiziwaSasa si akaendeshe ibada za kishetani tujue moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huyo shetani anasingiziwaSasa si akaendeshe ibada za kishetani tujue moja?
Nilikuwa nafanya kazi na wanawake hizi taasisi za mishahara mirefu wana nyodo kinoma ,kwa vile mnalipwa sawa pale ni dharau kwenda mbele hakuna heshima.Nadhani kiumbe hatari zaid ni Mwanamke mwenye pesa📌
Kweli kabisa. Katumwa huyo na hapo alipo ana hela ndefu tu mafichoniKauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.
Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
Hawa ni wa kuwapuuza na kuwatenga kabisa, kiukwel Mwanamke ni kiumbe cha hovyo hovyo sana. Usiwape consideration hata kidogo na dawa yao ni kuwadharau na kuwapuuza kabisa.Nilikuwa nafanya kazi na wanawake hizi taasisi za mishahara mirefu wana nyodo kinoma ,kwa vile mnalipwa sawa pale ni dharau kwenda mbele hakuna heshima.
Wengi miaka 30 ila ndoa hawana kabisa ,wanajiona wanajua kila kitu ...Kuna mmoja anapenda mambo ya uongozi kujiweka mbele mbele hana hata aibu .
Amezeeka alafu amekuwa mbaya. Anataka kuanza kudanga wakati jioni imeingia. Atakuwa anapigwa miti na wazee wenzie wa kidini kinyemela. Aibu kweliKazeeka urembo umeisha
Kivipi mkuu?Hao ni mbwa mwitu katika mavazi ya Kondoo.
Kwanza mwanamke hajaruhusiwa kuwa Mchungaji kibiblia.
Anaweza kuwa nabii nknk Mchungaji HAPANA.
Anaposema Mimi ni mchungaji ila sipendi kusikia watu wakiniita mchungaji, unaelewaje?Kivipi mkuu?
Ndugu mbona 'code' rahs hvyo umeshndwa kunielewa??Kauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.
Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
Malaya tuHii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Kafananisha kanisa na fremu pale kariakooHii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Labda anachunga vingine...Anaposema Mimi ni mchungaji ila sipendi kusikia watu wakiniita mchungaji, unaelewaje?
Sana yaniAmezeeka alafu amekuwa mbaya. Anataka kuanza kudanga wakati jioni imeingia. Atakuwa anapigwa miti na wazee wenzie wa kidini kinyemela. Aibu kweli
Kunguru hafugiki.....eti mchungaji..Hahaha.. matakooooo ya nyaniHii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"