Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

Nadhani kiumbe hatari zaid ni Mwanamke mwenye pesa📌
Nilikuwa nafanya kazi na wanawake hizi taasisi za mishahara mirefu wana nyodo kinoma ,kwa vile mnalipwa sawa pale ni dharau kwenda mbele hakuna heshima.

Wengi miaka 30 ila ndoa hawana kabisa ,wanajiona wanajua kila kitu ...Kuna mmoja anapenda mambo ya uongozi kujiweka mbele mbele hana hata aibu .
 
Kauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.

Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
Kweli kabisa. Katumwa huyo na hapo alipo ana hela ndefu tu mafichoni
 
Nilikuwa nafanya kazi na wanawake hizi taasisi za mishahara mirefu wana nyodo kinoma ,kwa vile mnalipwa sawa pale ni dharau kwenda mbele hakuna heshima.

Wengi miaka 30 ila ndoa hawana kabisa ,wanajiona wanajua kila kitu ...Kuna mmoja anapenda mambo ya uongozi kujiweka mbele mbele hana hata aibu .
Hawa ni wa kuwapuuza na kuwatenga kabisa, kiukwel Mwanamke ni kiumbe cha hovyo hovyo sana. Usiwape consideration hata kidogo na dawa yao ni kuwadharau na kuwapuuza kabisa.
 
Kauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.

Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
Ndugu mbona 'code' rahs hvyo umeshndwa kunielewa??
 
Si vyema kufanya ujasiriamali kwa kumtumia Mungu. TAFAKARI CHUKUA HATUA
 
Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.

"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.

Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Malaya tu
 
Achana na Shusho vipi hao waumini wa kanisa lake? Ni watu wenye utaahira wa kiwango gani kuamini huyo malaya wa karne kuwa ni mchungaji? Kwa upande mwingine huyo kahaba ana nyimbo kali sana za Gospel. Huwa ninasikiliza sana nyimbo zake. Pia kajaliwa sana shepu kali. Kwa mabazazi waliomuonja wanaweza kutupa mrejesho.
 
Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.

"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.

Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Kafananisha kanisa na fremu pale kariakoo
 
Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.

"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.

Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Kunguru hafugiki.....eti mchungaji..Hahaha.. matakooooo ya nyani
 
Ukishaujua ukweli watasema umechanganyikiwa ili kila usemacho jamii ione kasema chizi, Christina yuko sawa kabisa, kwa miaka mingi jamii zetu zimelaghaiwa sana na masuala ya dini. Kama Mungu alituma hao mitume kwa nini sie waafrika tuwajue kupitia wazungu na waarabu. Sie hatuna mtume au nabii wetu ambae wazungu wanaweza kutoka na kusema huyu alkuwa Muafrika. Wake up guys. Kwa wale wa Technical schools watanielewa, hakuna somo la History maana yake halina umuhimu.
 
Back
Top Bottom