bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Lete video akiongea hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu yangu!!!! dunia ya leo haukuna mwanamke anakubali kuwa chini ya mwanaume!!"HAMNA"!!!Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Nimesikia mahojiano hayo akisema japo ni Mchungaji, hapendi kuitwa Mchungaji.Lete video akiongea hayo
Labda dunia yako mkuuNdugu yangu!!!! dunia ya leo haukuna mwanamke anakubali kuwa chini ya mwanaume!!"HAMNA"!!!
Wanawake hawaruhusiwi kuwa wachungajiNimesikia mahojiano hayo akisema japo ni Mchungaji, hapendi kuitwa Mchungaji.
Dini zimepoteza mwelekeoHii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Hii ni kauli ya dada mwimbaji wa siku nyingi aitwae Christina Shusho, "Kusema ule ukweli mimi niliondoka kwa mume wangu ili nianzishe kanisa langu, nilijiongeza ili ndoto zangu ziweze kutimia maana kama ningeendelea kuungana na mume wangu sehemu moja ningeendelea kudidimia.
"Siku hizi hakuna mambo ya mke na mume ni mwili mmoja!! hiyo haipo utapotea ndugu yangu, wewe na mume wako au na mke wako hamuwezi kuwa sawa, hiyo haipo kila mtu ana njia zake.
Na mimi siogopi watu nasema ukweli, haya ninayoyasema ndiyo yapo kichwani kwangu, huyu ndio mimi, kwanini niendelee kudanganya watu. Kwanza mimi licha ya kuwa Mchungaji lakini sipendi watu waniite Mchungaji Christina Shusho, sipendi na sitaki"
Sasa si akaendeshe ibada za kishetani tujue moja?Dini zimepoteza mwelekeo
Hawaruhusiwi.Wanawake hawaruhusiwi kuwa wachungaji
Chap kwa haraka na ndiyo maana huko kuna ndoa za mkeka..!! Binafsi sizipendi. Utaratibu wao mzima wa kufungisha ndoa na urahisi wa talaka unamfanya mtu aichukulie ndoa kimasihara sana..!!Eti "alichounganisha Mungu asitenganishe mwanadamu" . Napenda sana talaka za Kiislamu.
Hakuna kipengele kinachoruhusu kuwakemea endapo hayupo chini ya mwamvuli wa dhehebu lako.Kauli kama hizi siyo za kufumbia macho, hawa wanakuwa wanatumwa na hidden society kuharibu taasisi na jamii, hivyo ni wa kumkemea kwa njia zote.
Hakuna wito wa kuvunja Ndoa pia hakuna Mungu atakayekupa ndoto za kuvunja ndoa yako ili ukamtumikie huyo ni sheitwan bin ibirisi.
Kazeeka urembo umeishakwa hiyo kaachana na mmewe akawe MCHUNGAJI? kwani mmewe amemzuia? ila ni MREMBO yule dada....jamaa sijui kaharibu nini pale.....au kakutana na muchungaji enzake.....??
Yezebel spirit at work
kama unatumia facebook ingia huko then search paul mafue utaiona tena anaongea bila wasiwasi wowoteLete video akiongea hayo